Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
Mcheki beki wenu mliemchukua kwa milioni 80 mkuuDuh...... Jamaa umenichekeshesha, badala ya kutoa mifano ya mabeki au viungo mahiri waliokuwa hawapitiki (kama Canavaro, Vidic, Terry) unantajia viungo na washanbuliaji kupigwa chenga ukielewa kabisa wao kuzuia sio strength yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

