Mipira ya juu yote wanacheza mabekiThis is the worst squad we have ever had na pia tuna kocha mbovu mnoooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayenunua wachezaji si kocha, kocha kazi yake ni kuwasilisha mahitaji.Nyuma tunacheza vzr saana watu wana fight lakin huko mbele kwa martial james na pereira ni utumbo tupu...
Alafu kocha mbishi saana kusajiri yani anaona anawachezaji hawana kiwango aalafu hataki kuingia sokoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri tuna Aston Villa.Uvumilivu umeisha, hii ndiyo mechi ya mwisho kwa OGS. Sitaki tena, nasema simtaki Ole. Simtaki Ed wote hawatuatufai. Hawana maana.
Yeye akiulizwa si anajibu team inaimalika na ana aja ya mshambuliajiAnayenunua wachezaji si kocha, kocha kazi yake ni kuwasilisha mahitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app