Mkuu nimekwambia potential,
Hao uliowataja hawajafikia potential sababu ya raiola, hakuna sehemu niliosema wachezaji wa Raiola ni wabaya. Hebu tuwachambue hao wachezaji uliowataja.
1. Ibrahimovic
Moja ya regret kubwa ya Ibra ni kutokuchukua Champions league, huyu jamaa ameiacha champions league mara mbili, alivyoondoka Inter kwenda barcelona na Alivyoondoka barcelona kwenda Ac milan. Mou alikasirika sana Ibra alivyoondoka lakini kirusi kilikuwa kinafanya mambo yake.
Inter's Jose Mourinho says he is unhappy to be losing Zlatan Ibrahimovic, but says gaining Samuel Eto'o and €45m is a great piece of business
www.theguardian.com
2. Pogba
Hakuna asiemjua pogba mkuu mchezaji mzuri na pengine midfield mwenye kipaji kushinda wote duniani kwa sasa, nani anaefanya kipaji chake kisiwe na consinstency? Nani anaefanya muda wote awe anaongea na vyombo vya habari kutengeneza controversy, Raiola anaplant tabia Njingi alizoplant kwa Baloteli kuliko kumsaidia kupata Consinstency mchezaji wake.
3. Matuidi
Angalau huyu kidogo katulia ila ni mchezaji mzuri ambaye hajagombaniwa sana.
4. Na nedved mkuu ni zama za kale, kipindi hicho sidhani hata kama alikuwa akikulikana sana.
Mkuu de ligt nae anafanya nini sasa hivi? Compare na mwenzake De jong na Van de Beek miaka ijayo utaelewa tu.