Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh Bailly mbona yupo au ni kocha fala? Si angetumia ule mfumo wa Liverpool Jones asugue bench vizuri.
 
Chongy anaondoka, agent wake ame confirm

Sio kwamba amegombana na OGS, lakini anahisi OGS hamuamini vya kutosha, hivyo hayuko salama katika kukuza kipaji chake
Wakuu naona sky sport wanasema Tahit Chong ataondoka free kwenda Inter Milan baada ya kuhitilafiana na Ole. Halafu nimesikitika pia kama ni kweli tunamkataa Edson Cavan ambae anataka kuja eti kisa tunataka kunyanyua na kutegemea vitoto zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliangalia mzee, mlishindwa kuwafanya Arsenal wawe na hofu kuwa wakisogea wanakula.


Mechi yetu na Wao sidhani kama hata timu yetu ilicheza soka la kueleweka hata robo ya soka tulilocheza na Liverpool.

Yet uko Stamford bridge, no auba, no luiz mnazidiwa nguvu.

Basi Arteta yuko vizuri kimbinu.
Check Burnley anakupiga leo..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom