Lakini hii habari ni ya mwaka jana sio ya mwaka huu!!

Ila ningekua Ole wala nisingehaika na akina bruno...

Kamata Gomez, Garner na kuna yule kiungo wa under 23 mwenye manywele marefu flani hivi!!

Hawa ningehakikisha wanapanda first eleven na msimu ndio ningewatumia ipasavyo!!
Hanibal Mejbri? Bado sana ana miaka kama 16 hivi. Ila yule dogo ni balaa baada ya miaka 2 ama 3 nategemea kuwa 1st eleven.

Na tetesi Gomez amekataa kusign mkataba hivyo huwenda mwisho wa msimu akaondoka.
 
John Rushton: Haaland looks amazing, wish him well at Dortmund. He didn't slip through Man United's transfer net. He wanted to sign for a Champions League team pushing for honours, not a mid-table Premier League side pushing for Europa League qualification.

Ahh akutukanae akuchagulii tusi lakini wanayataka wenyewe kina Graezer na ED na huyo kocha wao OGS
Haaland hana ubavu wa kumtolea nje Ole, ole ndie aliemtoa kusikojulikana na kumpa chance ya kuonekana, jamaa ana respect kubwa sana kwa Ole.

Aliezingua kwenye Usajili ni Ed woodward na mwenzake Raiola. Kuna vipengele kwenye mkataba Raiola alilazimisha viwepo kama vile.
1. Rb salzburg wamepata 22m na raiola amepata 25m agent kapata hela nyingi kuliko mchezaji.
2. Pia kuna release clause ya chini ya pound milioni 50 kama kumbukumbu zangu zipo sahihi ambayo inakuwa active msimu wa pili,

Hivyo ni bomu hilo linacount, muda si mrefu drama zitaanza tena.

Anachotaka Raiola ni wachezaji wake kuhama hama sana, ili ale mpunga mrefu na huyu jamaa wachezaji wake wengi kama sio wote wanakuwa na vipaji sana ila hawafikii potential.

Ibra kakimbia champions league mara kibao, pogba ndo huyu, balotelli tunamjua, Mhitaryan etc.

Dogo ana kipaji ila huyu agent anaweza kumharibu sasa ama baadae
 
Watu huwa wanapigiana stori za uchawi sijui kuna wachawi noma sana,ila kiukweli uchawi haupo. Ungekuwepo watu kama ED Woodward na Ole Gunar Solskiejar wangekuwa washarogwa na kufia mbali
 
Tumpate Bruno na boubakary. Halafu uje tena hapa. Itakuwa ni timu ya watu wenye umri unaokaribiana. Pogba akae pembeni.

Utaona kila unachopenda United.

Liver kwa man utd is an everage team. United imevurugwa na makocha moyes, VG morinnho na wote ni makocha wazuri. Philosophy ya utd ndio inayoshinda sio kocha kichwa. Ukija na falsafa za liver pool, sijui nn unaanguka. Katika hilo unaangalia viungo wanavyocheza, na watoto waliotokea academy wanakupa ile flavour ya utd. 0 extra or injured minutes you are fuc.ked. Liverpool knows it
Hivi unajua united ya SAF ilishapigwa NNE na liver pale OT?
 
Jiulize why client wa Raiola ni wachezaji wazuri despite hizo shutuma anazopewa ?

Ukiondoa emotion (United fan) hata ungekuwa wewe serious kwa situation ya sasa sidhani kama ungeenda United badala ya Dortmund for sporting reason, for financial reason yes United pangemfaa sababu angelipwa mshahara mkubwa kuliko Dortmund

Lazima tukubali OGS hana pulling power kwenye usajili kama makocha wengine na perfomance ya timu ni mbovu so only option iliyobaki ni kutumia fedha

Haaland hana ubavu wa kumtolea nje Ole, ole ndie aliemtoa kusikojulikana na kumpa chance ya kuonekana, jamaa ana respect kubwa sana kwa Ole.

Aliezingua kwenye Usajili ni Ed woodward na mwenzake Raiola. Kuna vipengele kwenye mkataba Raiola alilazimisha viwepo kama vile.
1. Rb salzburg wamepata 22m na raiola amepata 25m agent kapata hela nyingi kuliko mchezaji.
2. Pia kuna release clause ya chini ya pound milioni 50 kama kumbukumbu zangu zipo sahihi ambayo inakuwa active msimu wa pili,

Hivyo ni bomu hilo linacount, muda si mrefu drama zitaanza tena.

Anachotaka Raiola ni wachezaji wake kuhama hama sana, ili ale mpunga mrefu na huyu jamaa wachezaji wake wengi kama sio wote wanakuwa na vipaji sana ila hawafikii potential.

Ibra kakimbia champions league mara kibao, pogba ndo huyu, balotelli tunamjua, Mhitaryan etc.

Dogo ana kipaji ila huyu agent anaweza kumharibu sasa ama baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawatakia kila la kheri mpate draw ya 2 kwa 2

Walioweka GG wapate mboga wapeleke nyumbani

Walioweka Over 2.5/3.5 wafurahie matunda ya beki mbovu za Arsenal na Chelsea

Mashabiki wa United wafurahie United kupunguza gape la top 4 na Chelsea tuzidi kumwacha Arsenal

In the end every body is happy
Angalieni leo tunavyomnyonyoa Arsenal...

Point tatu + Clin shit swaafi..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesahau, hapo Chelsea na Arsenal nao wanapata point moja moja

Mwisho wa siku kila pande inafuraha
Nawatakia kila la kheri mpate draw ya 2 kwa 2

Walioweka GG wapate mboga wapeleke nyumbani

Walioweka Over 2.5/3.5 wafurahie matunda ya beki mbovu za Arsenal na Chelsea

Mashabiki wa United wafurahie United kupunguza gape la top 4 na Chelsea tuzidi kumwacha Arsenal

In the end every body is happy

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiulize why client wa Raiola ni wachezaji wazuri despite hizo shutuma anazopewa ?

Ukiondoa emotion (United fan) hata ungekuwa wewe serious kwa situation ya sasa sidhani kama ungeenda United badala ya Dortmund for sporting reason, for financial reason yes United pangemfaa sababu angelipwa mshahara mkubwa kuliko Dortmund

Lazima tukubali OGS hana pulling power kwenye usajili kama makocha wengine na perfomance ya timu ni mbovu so only option iliyobaki ni kutumia fedha



Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukatoa mfano wa mchezaji ambae Man U wamemtaka akachomoa kipindi cha Ole? Sababu issue ya Haaland si mchezaji ametukataa bali ni club chini ya Woodward wamechomoa. Ni kama issue ya Bruno sasa hivi mchezaji yupo Willing kuja ila club haikubaliani na fee. Same kwa Dybala dirisha lililopita.

Na ole ndio amemnoa Haaland kuna kitu gani cha ajabu ukienda kwa kocha aliekuibua?

Na mkuu ni wachezaji wachache sana vijana ambao wanaweza kumkataa ole, So far tumeona anatumia watoto wengi na wengi viwango vyao vime improve zaidi, watu kama Rashford, Martial, James, Williams, Mc tominay, lindelof, AWB etc ni watoto na wapo katika form of their life hawajawahi cheza vizuri kama hivi.

Na kuhusu client wa Raiola mkuu anachukua wachezaji wazuri ndio ila wanakuwa na End mbaya karibia wote, natafuta hapa mchezaji wa Raiola ambae ana End nzuri simpati nisaidie.
 
Kwenye swala la ku'trust young player OGS uwa namuelewa sana, na vijana uwa hawatak kumuangusha wanajituma mno, angalia kama yule Scot Mctomey
Ebu tumvumilie Ole mpaka mechi ya mwisho mwa msimu ndio tum'judge
Unaweza ukatoa mfano wa mchezaji ambae Man U wamemtaka akachomoa kipindi cha Ole? Sababu issue ya Haaland si mchezaji ametukataa bali ni club chini ya Woodward wamechomoa. Ni kama issue ya Bruno sasa hivi mchezaji yupo Willing kuja ila club haikubaliani na fee. Same kwa Dybala dirisha lililopita.

Na ole ndio amemnoa Haaland kuna kitu gani cha ajabu ukienda kwa kocha aliekuibua?

Na mkuu ni wachezaji wachache sana vijana ambao wanaweza kumkataa ole, So far tumeona anatumia watoto wengi na wengi viwango vyao vime improve zaidi, watu kama Rashford, Martial, James, Williams, Mc tominay, lindelof, AWB etc ni watoto na wapo katika form of their life hawajawahi cheza vizuri kama hivi.

Na kuhusu client wa Raiola mkuu anachukua wachezaji wazuri ndio ila wanakuwa na End mbaya karibia wote, natafuta hapa mchezaji wa Raiola ambae ana End nzuri simpati nisaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi wa madongo huku kijijininiliona timu haiwezi hata kupiga pasi 3 kwa usahihi alafu ole anasema "but there were signs that we are on the right track" hivi ule utumbo tuliocheza na liver Kweli ndio right track?? mimi sijui nihamie mchezo gani naona kabisa hili litimu lishakufa hakuna matumaini kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahhaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye swala la ku'trust young player OGS uwa namuelewa sana, na vijana uwa hawatak kumuangusha wanajituma mno, angalia kama yule Scot Mctomey
Ebu tumvumilie Ole mpaka mechi ya mwisho mwa msimu ndio tum'judge

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nadhani anatumia vijana sana sababu hana option nyingi. McTomminey,DJ,Greenwood na Brandon wanacheza sababu Ole hana mbadala kwa sasa.Na pia matumizi ya vijana wengi ndani ya kikosi ili uwe umefanikiwa inatakiwa matokeo sio kupata matokeo mabovu kama sisi.
 
Lingard naye ni client wa Raiola Mkuu
Jiulize why client wa Raiola ni wachezaji wazuri despite hizo shutuma anazopewa ?

Ukiondoa emotion (United fan) hata ungekuwa wewe serious kwa situation ya sasa sidhani kama ungeenda United badala ya Dortmund for sporting reason, for financial reason yes United pangemfaa sababu angelipwa mshahara mkubwa kuliko Dortmund

Lazima tukubali OGS hana pulling power kwenye usajili kama makocha wengine na perfomance ya timu ni mbovu so only option iliyobaki ni kutumia fedha



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7497.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nasikia Cavan alitaka kuja OT mwezi huu Ole kampotezea sababu wanawekeza nguvu ktk kunyanyua makinda.
 
John Rushton: Haaland looks amazing, wish him well at Dortmund. He didn't slip through Man United's transfer net. He wanted to sign for a Champions League team pushing for honours, not a mid-table Premier League side pushing for Europa League qualification.

Ahh akutukanae akuchagulii tusi lakini wanayataka wenyewe kina Graezer na ED na huyo kocha wao OGS
Duu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom