Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ahahahahaha mzee baba umeamua kuukubali tu utabiri wangu huu....
Nilishapiga sana kelele humu united ni new ac milan na vile vile united ni new aseno chini ya wenga ambae alikua anakuza vipaji baadae wanasepa kwenda kusaka mafanikio ndio ninachokiona kwa hawa madogo hapo mbeleni....hawatakubali kukaa na timu isiyo na faida
Ac milan hii ishakuwa
 
```HIVI kila mtu humu anakumbuka kuwa wakati Man U anamfunga chelsea4-0 mashabiki wakaanza kusema Man U msimu huu itabeba kila kombe! Itabeba EPL, CARABAO, F.A, COMMUNITY SHIELD, UEFA, SERIE A, LA LIGA, LEAGUE 1, BUNDESLIGA, MAPINDUZI CUP, KAGAME CUP, WORLD CUP na COPA AMERICA???
```
 
Huo ndio ukweli hao wangeuzwa na wamebakishwa sababu ya kuuza jezi tu
Mou tatizo angepewa Maguire na Bissaka angetoboa sana. Ila naye alikuwa na matatizo(sijui ni yeye au Pogba) maana alishindwa kutengeneza mahusiano mazuri na wachezaji.

Naona Ed alijua Mou angebaki Pogba na Martial walikuwa wanatakiwa kuondoka,hakuwa tayari kwa hilo.
 
Poleni sana ndugu zangu

Tuko pamoja sana ndugu zetu kwenye hichi kipindi mnachopitia

Sisi kama mashabiki wa liverpool tumeomba mechi ijayo tuwafunge tatu tu ndugu zetu basi itatosha sana !

Poleni sana marafiki
Sisi tuko na ndugu zetu Man united bega kwa bega kuhakikisha hamupati hata draw ya kubahatisha..

Tumeungana na pamoja na fans wote wa man united kuhakikisha ushindi unabakia hapa

Kila la kheri Man united
 
Keep the result , draw,lose n repeat that until the end of the season.. we as a fans was very happy of that brilliant performance ,smart strategies by ole.. we cant wait to to see our Manchester going to 2nd division.F*ck Ole
 
Back
Top Bottom