Siku hizi jukwaa la Chelsea la moto. Hakuna kupiga umbea tena
Hata akifukuzwa ni ujinga wake. Unakubali vipi kupewa mkataba bila kuhakikisha utapatiwa unachotaka?
Nini kilimfanya akubali Herrera aondoke wakati anajua hatopewa mid.kama Herrera?
Nini kilimfanya akubali kumtoa Lukaku bila kuhakikisha atapewa #9 mwingine? Unamtegemea Rashford
Unamtoa kwa mkopo Sanchez? Unabaki na nani?
Acha aishushe timu daraja kwanza ili akaitengeneze



Abraham anaweza vipi?
Management mambo ya mpira ni zero huwez uza lukaku na herrera kwa mpigo bila replacement kupata





Acha kutufananisha yanga na huu upumbavuManchester United ni YANGA iliyo changamka... Vipigo ndio Kwanzaa vimeanza![]()
Na ukishaona mtu kama (degea ambae kiuhalisia sio mtu wa media sana).. Anatoka na kuongea na maneno makali kama yale jua kuna tatizo kubwa ndani ya timu.Hii Interview ukicheki, De gea anaona room ndogo, chozi hili hapa!
Mna point 9Update :Tumecheza mechi 8 kati ya 38 tumeshinda mechi 2 draw mechi 3 tumefungwa mechi 3
Tumefunga magoli 9 tumefungwa magoli 8
Liverpool wametuacha point 15 ,Man City ametuacha point 7,Arsenal ametuacha point 6
ngoja afanye sajili kwanza, sajili zake zina akili. Anajua wachezaji wakuwaleta. Akikamilisha kiungo na striker afungashe virago.Huyu kocha hamna kitu!
![]()
Reaction Ole Gunnar Solskjaer reflects on Newcastle United v Man United 6 October 2019
Read what the boss had to say following the match at St James' Park.www.manutd.com
Duh mkuu sasa mambo mengine ni kutafuta visingizio tuHii timu itatumaliza nguvu za kiume