Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,147
- 17,000
leo timu kubwa ambayo haijafungwa ni Yanga.
City kipigo
United kipigo







City kipigo
United kipigo
















Pigaaaaa nyumbuTukipigwa game mbili tumeshika mkiaView attachment 1225232
Kuna mtu humu alinitukana sana kuhusu mourinho nahisi dawa inamuingia kisawasawa jibu kapata
Toka astaafu sir alex mourinho alikuwa kocha sahihi wa manchester united
What garbage u talking about? City ni kubwa kuliko Chelsea na arsenal?leo timu kubwa ambayo haijafungwa ni Yanga.
City kipigo
United kipigo![]()
Angalia usijeangukiwa bahat ya mwenzio ukazani ya kwakoNa bado gemu ijayo Liverpool anawakanyaga tena,mtanyooka tu.
Kila mech na plan yake usikaririAlafu msisahau mechi inayofata mpo na Liverpool
Kwa sasa timu imeharibika hata aje nani sosha kauza wachezaj wengi wa muhimu ni ngumu kuipata timu tenaNini kifanyike jamani, tatizo ni kocha au wachezaji au bodi?
Huyu jamaa ana mkos akiletaga msimamo kule jukwaa letu lazima wapigwe ,Kuna jamaa mmoja anajiita ARV, ni bingwa wa kuletaga misimamo ya ligi. Aje atupostie tuone!![]()
Kwa hiyo tatizo ni kocha?Kwa sasa timu imeharibika hata aje nani sosha kauza wachezaj wengi wa muhimu ni ngumu kuipata timu tena