Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mmmh Mambo sio mabaya nyota ya liverpool ya kipindi kile ...tume ipokea kwa mikono miwili ..iyo ndo nafasi yetu kuanzia leo. tukienda sana nafasi ya 8
Screenshot_20191006-202718_Google.jpeg
 
kabisa yani! sema ana damu ya kunguni!
Kuna mtu humu alinitukana sana kuhusu mourinho nahisi dawa inamuingia kisawasawa jibu kapata

Toka astaafu sir alex mourinho alikuwa kocha sahihi wa manchester united
 
Na bado gemu ijayo Liverpool anawakanyaga tena,mtanyooka tu.
 
Back
Top Bottom