lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,198
- 28,079
Kuna watu wanaamini James ni bora Sanchez au Rashford kuliko Lukaku.
Form is temporary but class...
Mkimfukuza Ole haitasaidia atakayekuja atafanya kazi na hao hao akina Rashford, hakuna quick solution kwa sasa.
Kama MUFC inataka kujengwa irudie makali yake, Ole sio kocha sahihi. Hawezi kuijenga hata apewe misimu sita. Kocha anayewalambalamba wachezaji hawezi kujenga timu,wakati unawalambalamba baadhi ya wachezaji unashusha morali ya wachezaji wengine na hapo ndo kaburi la timu linapochimbwa. |


