Hasmoir
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 350
- 382
Tatizo la Man u ni vijana wadogo kubebeshwa mizigo mikubwa.
Rashford hawezi kufanya aliyofanya van persie au tevez
Pereira kwa Giggs
Tominay kwa Scholes
Maguire kwa vidic
Lindelof kwa ferdinand
Martial kwa Rooney
Wachezaji wa Man u wa sasa ni wa kiwango cha timu iliyo katikati mwa msimamo, hata kama akibadolishwa kocha ni sawa na kazi bure.
Rashford hawezi kufanya aliyofanya van persie au tevez
Pereira kwa Giggs
Tominay kwa Scholes
Maguire kwa vidic
Lindelof kwa ferdinand
Martial kwa Rooney
Wachezaji wa Man u wa sasa ni wa kiwango cha timu iliyo katikati mwa msimamo, hata kama akibadolishwa kocha ni sawa na kazi bure.
