Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

B Kocha nae ni tatizo kubwa,kwanini asijaribu hata kucheza na mabeki watatu? Timu yenyewe hii Newcastle inacheza na mabeki watano nyuma.

Amna kocha kisha anaonekana ana chuki binafsi au analazimishwa baadhi ya wachezaji wacheze.
 
Leo man u anashinda goli 3
na mechi ya Liverpool akirudi pogba, martial, wan bisaka na shawa tunashinda gali mbili (2)
 
Hivi wachezaji wa Manchester wamelegea sana siku hizi hakuna kabisa fiscal battle kama zamani wakisukumwa kidogo tu au kweli zile tuuma za LGBT zinawatafuna
 
Back
Top Bottom