Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chelsea muunganiko wa timu umekubali wakati sisi bado tunasubiri january transfer window ili tutengeneze timu.
Inaleta tofauti gani kusajili wachezaji 5-6 kwa dirisha moja ili kuanza kujenga timu na kusubiri kusajili kwa mafungu wakati uhitaji unaonekana kuwepo tangu awali kutokana na maoni ya giggs? Daemusin
 
tammy abraham fundi anapachika goli la 7.
marcus rashford kichwa cha panzi anasubiria penalty muda huu
Na kupaisha free-kicks huko Ole akiendelea kumsifia ujinga.😂😂

Nakumbuka kuna mchango wangu humu nilisema Chelsea watamaliza juu ya MUFC licha ya kuzuiwa kusajili. Hii ni kwasababu wana wachezaji ambao akili zao zote zipo Chelsea.

Pale MUFC wachezaji wanaotegemewa akili zao zipo nje kabisa huko,wengine zipo Instagram na kwenye kutupia pamba kali na utozi mwingi.

Chelsea hamna matozi mule, unaanza na Kante hata kulog in Instagram hajui kwanini asikichafue?😂😂
 
Wee sio mume wako
Mbona umeuliza kinyonge sana mkuu
Screenshot_2019-10-06-17-52-39.jpeg
 
Hivi lazima amchezeshe Young na Rojo yupo kama anampenda si amchezeshe mbele
B Kocha nae ni tatizo kubwa,kwanini asijaribu hata kucheza na mabeki watatu? Timu yenyewe hii Newcastle inacheza na mabeki watano nyuma.
 
Back
Top Bottom