DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Mzee baba kapatikana
MUFC iachane na haya machezaji ya kiingereza iliyojifunza mpira na ichukue watoto wenye vipaji kama Hwang Hee-chan.
View attachment 1222336
Mzee baba kapatikana
MUFC iachane na haya machezaji ya kiingereza iliyojifunza mpira na ichukue watoto wenye vipaji kama Hwang Hee-chan.
View attachment 1222336
Mourinho hakushindwa kinachomtokea sosha ndicho kilichowatokea moyes na van gaal dirisha la usajili lilikuwa waz miez mitatu unashindwa hata kufanya mbadala wa herrera maana yake timu inatafuta dili za kibiashara na mikataba minono uwanjani hawajali kama mkurugenz wa hii timu angekuwa makini basi leo timu ingekuwa mbali
MUFC iachane na haya machezaji ya kiingereza iliyojifunza mpira na ichukue watoto wenye vipaji kama Hwang Hee-chan.
View attachment 1222336
Huyu dogo wa kikorea balaa sana.
Mpaka sasa ana goli 2 na assist 3
Halafu OGS anajenga timu akiwa na fundi mpika magoli Lingard 😂😂 |
LINGARD:- Mashabiki wa Man u najituma sana uwanjani nipimeni kwa kuvuja jasho, nakimbia kama swala nahakikisha mpira haukai kwa timu pinzani.
Nafanya kazi ya kuwatisha tisha mabeki ndio maana nakuwa hatare nisipokuwa na mpira huo ndio umuhimu wangu.
Kocha ananiamini ananipa jukumu la kukimbia bila mpira timu ionekane imechangamka.
Heshimuni jasho langu.
Hawa jamaa uingereza unawapofusha sana, ndio maana pamoja na ujinga wote anaofanya Rashford hawezi kusemwa. Muone huyu.
|
Hayo maneno mkuu aliyasema kabla ya world cup, na unless hujui kilichotokea world cup Ni kwamba Jesse kaisaidia Sana Uingereza mpaka kufika nusu, yeye na Maguire. Na pia alishinda tuzo ya Goli Bora la michuano na Hyundai.
Hawa jamaa uingereza unawapofusha sana, ndio maana pamoja na ujinga wote anaofanya Rashford hawezi kusemwa. Muone huyu.View attachment 1222516
Ole anaweza kuwa amesajili wachezaji wazuri lakini hii haiondoi ukweli kwamba OGS sio kocha mzuri na hata akipewa muda na wachezaji wazuri tactical ni mbovu na hakuna dalili ya kujenga timu wala kushinda chochote as alivyokuwa anapewa nafasiMkuu Lukaku ameuzwa tarehe 8 mwezi wa 8 na dirisha linafungwa tarehe 9, na kwenye mahitaji ya Ole striker Alikuwepo, Tofauti ya Ole na Mou au LVG Ni kwamba OLE Hana tabia ya kuongea Negative kwenye vyombo vya habari wakati Mou yeye hakopeshi anakuchana hata Kama Ni bosi wake.
Tulikuwa linked na Mandzukic + Dybala wote Hawa walikuwa wanakuja pamoja na Wana magoli Yao, tunajua ilikwamishwa na imaging Rights za Dybala, Ila Tetesi zinaendelea January mandzukic anakuja Man UTD.
Bila kusahau majina mengine Kama Ben yedder na Dembele ambao walikuwa linked na Man UTD.
Hata ole mwenyewe badala ya Dirisha kufungwa ameshakiri Mara 2 kwamba anahitaji striker.
30/8 hata kabla timu haijaanza kufanya vibaya alisema Man UTD Ina short ya striker mmoja na juzi siku 2 zilizopita amesema January akipatikana striker ambae anaendana na uchezaji wake atasajiliwa. Anafahamu yeye kwamba timu inahitaji striker.
Kuhusu kutumia Hela nyingi mkuu Ni kweli tumetumia lakini Nani anaezitumia? Ni Woodward mwenyewe mtu mwenye zero Football knowledge. LVG anamtaka Robben na Muller analetewa Falcao na Di Maria, Mou anataka perisic yeye anaona sio Hana market anamleta Sanchez, kocha anasema anamtaka Maguire Woodward anakataa anasema una beki wa kutosha, then baada ya mwaka mchezaji huyo huyo unamnunua ghali zaidi. Hela zetu zinasajili Woodward anavyotaka na kuhakikisha wachezaji wanaingizia timu Hela na sio kuziba mapengo ya Timu, mwaka wa 7 huu bila winga wa kulia timu iliokuwa Tajiri duniani, LVG, Mou na hata ole kila mmoja ametaka winga wa kulia hajakuja hata mmoja.
Na ukiachana na Kocha na wachezaji timu yetu pia Ni ya kizamani sana, angalia tunavyoandamwa na Majeruhi, angalia mascout wetu, angalia wataalamu mbalimbali structure ya Timu ipo hivyo, uwanja, academies na infrastructure mbalimbali za mazoezi hata haziwi improved, glazer hajatoa hata shilingi 10 yake mfukoni ku invest man UTD anachojua yeye Ni kuchomoa Hela tu, kila miaka inavyokwenda tunazidi kuwa outdated. AWB kacheza msimu mzima Crystal palace mwaka Jana Ila toka kaja man U kashakuwa Majeruhi mara 2, Huyo Luke Shaw alikuwa anamaliza msimu Soton Ila toka aje man UTd tunajua wenyewe, angalia Jones, martial, Sanchez, Baily, na wengineo Ni coincidence? Wakija tu man U Ni Majeruhi?.
Issue ya Majeruhi Ni more than kocha, niambie mkuu kocha gani wa man U baada ya Fergie ambaye Hana janga la Majeruhi, Hilo Ni tatizo kubwa linalohusiana na structure ya Timu kuliko kocha. Fergie alikuwa na jopo la makocha 24, Sasa Hivi benchi la ufundi Ni Dogo Sana.Ole anaweza kuwa amesajili wachezaji wazuri lakini hii haiondoi ukweli kwamba OGS sio kocha mzuri na hata akipewa muda na wachezaji wazuri tactical ni mbovu na hakuna dalili ya kujenga timu wala kushinda chochote as alivyokuwa anapewa nafasi
1.So far amefundisha timu almost mwaka mmoja alipaswa kuyafahamu matatizo ya msingi na kuyafanyia kazi but timu inazidi kuwa mbovu zaidi
2.Players kama Martial,Lingard,Rashford sio wazuri lakini walicheza vizuri zaidi kwenye era ya LVG & Mourinho enzi hizi za OGS wanazidi kuwa mizigo siku zinavyozidi kwenda.
3.United ime-improve hasa kwenye defence kwa kununua wachezaji wazuri (individual) na sio mbinu au mfumo wa kocha
4.Players wanaumia mara kwa mara kutokana na poor decision ya kocha kuwachezesha wakiwa hawako fit (last season game vs Liverpool),Baada ya game ya Arsenal amekiri alikosea kumchezesha Pogba kwenye mechi ya Rochdale sababu hakuwa fit
Si angechezeshwa beki wa kushoto au kiungo wa chini kama kukaba ndio sifa yake kuu. Hivi timu isiyokuwa na wachezaji wabunifu unamuwekaje namba 10 mwenye sifa kuu ya kukaba badala ya kufanya kazi yake ya msingi?Mkuu mbona mbishi sana ,mtu ambaye hana mpira anaassist vipi?ushaambiwa ni "HATARI AKIWA HANA MPIRA" labda hiyo sentensi hapo ulikuwa hujaielewa vema..
even Crystal PalaceAccademy players on the pitch yesterday.
26 - Lingard
26 - Pogba
23 - Perreira
22 - McTominay
21 - Rashford
21 - Tuanzebe
17 - Greenwood
Stop with the accademy comment. It's about the quality.
SAF didn't promote the whole accademy in the first squad probably after the class of 92. You must be good to play for United and not because you are from the accademy.
Remember Bruno Fernandes ambaye tumeambiwa tumemuacha kwasababu ya kupoteza pass, kwenye mechi 9, ana goli 10, assists 5.
I bet Lingard can't get a regular start for Leicester or Wolves.
hata Zidane alijifunza kidhungu na sijui waliishia wapi katika madarasa yao.According to Fabrizio Romano Allegri anajifunza kingereza na yupo Tayari kuchukua Nafasi ya Ole Man UTD.
![]()
Massimiliano Allegri learning English as he targets Manchester United job
Massimiliano Allegri has been learning English as the former Juventus and Milan manager targets a new role in the Premier Leaguewww.theguardian.com
Sitashangaa hata Ed akiwa ameshamwaga mpunga.
Timu yetu hii majanga.
Samahan wakuu, hv mnaatarifa kuwa tunatengeneza timu, na according to Woodward tupo kwenye right track with the right manager,Misimu minne kama sio mitano kwa Rashford pale United. Uwezo wake ndio umefika mwisho, hana la ziada anaweza kukupa kamwe. Kama kina Tom Cleverley. Miaka 21 sio mtoto tena kwenye mpira wa miguu. Mchezaji anayepata chance kila mechi na bado anavurunda ni tatizo pia. Rashford sio standard ya United tena, hana quality tena. Angeuzwa wakati Barca wanamtaka.
Nimesema James ni bora kulinganisha na hao hohehae. Kama DeGea alivyokuwa mchezaji bora wa msimu for 2 or 3 years. Manake timu haina quality tena.
Ole alikuja katikati ya msimu, alishakuwa anayaona mapungufu ya timu mapema. Alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuuza wachezaji wabovu wote na kuleta wapya wa kufit kwenye kikosi chake.
Kumuuza Herera ni kosa kama kumuuza Lukaku. Kumuacha Young, Jones na Lingard ni makosa pia.
Kumbuka EPL ni ligi ngumu na kubwa kama Man Utd ilivyo timu kubwa. Muda wa majaribio akafanye akiwa Modle huko.
Kufanya majaribio ya formation mpya na haikupi matokeo ni matatizo pia. Hatuna huo muda wa kuendelea kusubiri.
Ni bora tuwe na formation ya kueleweka iwe identity ya United na sio kocha aje na majaribio ya formation yake.
Romano Ni Tier 1 kwa habari za man U alipatia Mambo mengi Sana kwenye dirisha liliopita la usajili.hata Zidane alijifunza kidhungu na sijui waliishia wapi katika madarasa yao.
na ubaya wetu sisi mashabiki mtu akijifunza kingereza tu basi anataka kazi United.
kama ni kweli hizi si habari njema kwa United.Romano Ni Tier 1 kwa habari za man U alipatia Mambo mengi Sana kwenye dirisha liliopita la usajili.
Hatuhitaji kauli ya ed kuthibitisha ukweli wa tunachokiona kwa macho yetu kuwa ni kweli. Au ndio mambo ya jicho la 3 ili kuona uchanya wa united hii inayojengwa?Samahan wakuu, hv mnaatarifa kuwa tunatengeneza timu, na according to Woodward tupo kwenye right track with the right manager,
Kuwa below ten sio tatizo, after three years of rehearsal ndo tutaanza ku keep in mind about United epl standing...
Scott is player of the Month for Man U!
View attachment 1222781