Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwanini hukuweka penat?
na game ya jana sikuielewa hiyo var niliona wachezaj wa arsenal wamenawa mpira mara mbili kwenye box na var hawakufwatilia chochote akat najua kuwa epl hakuna sheria ya mpila kufwata mkono ikionekana mtu kashika ni penalt tu spain ndo wanahiyo sheria ya ball to hand
 
VAR imewabeba madrid
Goli la ramos ni offside ya wazi kabisaaa
Naanza kuamini yule perez anawanunua hawa marefa.....
Kuhusu var ili ifanye kazi inabidi refa kwanza aombe msaada kwenye var, Kama refa ataona foul na Kisha akasema sio foul hata Kama var itasema Ni foul itahesabika Kama sio foul.
 
According to Fabrizio Romano Allegri anajifunza kingereza na yupo Tayari kuchukua Nafasi ya Ole Man UTD.


Sitashangaa hata Ed akiwa ameshamwaga mpunga.

Timu yetu hii majanga.
 
Lile ni goli halali

Ukimuangalia yule mchezaji aliye karibu na Ramos utasema ni offside, lakini kule juu mpira ulipotokea kuna mchezaji wa Brudge alimuweka Ramos on side

Ila mwisho wa siku, VAR siimani, Refa akiamua kuitumia poa, na asipoamua fresh tu
VAR imewabeba madrid
Goli la ramos ni offside ya wazi kabisaaa
Naanza kuamini yule perez anawanunua hawa marefa.....
 
Umeumia Ole kutimuliwa?
Naumia sababu timu yetu haijielewi Kama kuku aliekatwa kichwa, hatuna identity Bora liende tu.

Mkuu Mimi nilimtetea lvg humu asitimuliwe, nikamtetea na Mou asitimuliwe na nitamtetea na Ole vile vile, Tatizo la man U halijawahi kuwa Kocha.

Hata AlleGri akija baada ya Muda watu wataanza vile vile kumtupia maneno kwamba hawamtaki.
 
Screenshot_2019-10-02-09-36-02.png
Screenshot_2019-10-02-12-54-01.png
THIS IS CALLED TRANSFERMOPHOBIA
 
Ina maana wale pundits hawaoni kama tatizo ni uongozi??? Wakapiga hayo makelele yao
Naumia sababu timu yetu haijielewi Kama kuku aliekatwa kichwa, hatuna identity Bora liende tu.

Mkuu Mimi nilimtetea lvg humu asitimuliwe, nikamtetea na Mou asitimuliwe na nitamtetea na Ole vile vile, Tatizo la man U halijawahi kuwa Kocha.

Hata AlleGri akija baada ya Muda watu wataanza vile vile kumtupia maneno kwamba hawamtaki.
 
Sasa wana matokeo gani Spurs?
Ukitaka kujua tofauti ya kocha na mtia chachu utaiona kwa huyu Pochettino.

Tangu Eriksen aseme wazi anataka kuondoka amekuwa akimpiga bench na anampa nafasi kidogo na January atamuachia. Ila Ole anakomaa na Pogba tu.

Mchezaji akishaanza kusema anataka kuondoka anakosa ari ya kupambania timu.
 
Hugo Lori's
David De Gea
Thibaut Courtious
Kyle Navas
wameporomoka sana viwango vyao misimu miwili mfululizo wako kwenye downfall.

Wakati huo huo Jan Oblack, Te Stergen,Neure na Allison Becker wako vizuri sana misimu miwili mfululizo.
Huyo kipa Madrid walilamba grasa kabisa afadhali sana Hazard
 
Hugo Lori's
David De Gea
Thibaut Courtious
Kyle Navas
wameporomoka sana viwango vyao misimu miwili mfululizo wako kwenye downfall.

Wakati huo huo Jan Oblack, Te Stergen,Neure na Allison Becker wako vizuri sana misimu miwili mfululizo.

Mkuu Neure naye sikuhizi wa kawaida sana
 
Naumia sababu timu yetu haijielewi Kama kuku aliekatwa kichwa, hatuna identity Bora liende tu.

Mkuu Mimi nilimtetea lvg humu asitimuliwe, nikamtetea na Mou asitimuliwe na nitamtetea na Ole vile vile, Tatizo la man U halijawahi kuwa Kocha.

Hata AlleGri akija baada ya Muda watu wataanza vile vile kumtupia maneno kwamba hawamtaki.
Ole ameuza wachezaji wazuri sana ambao wangetumiwa na Allegri.

Allegri akija atakuta makapi ambayo hayatampa mafanikio.

Ndio maana najiuliza kama hatuna DoF hatutafika popote kwasababu kila kocha anakuja na wachezaji wake.

Ila katika yote Ole sio kocha, anafanya makosa ya wazi kabisa ambayo yanaigharimu timu na anaona yupo sahihi wakati yupo wrong.

Kwanza, kutumia mfumo ambao haumpi mafanikio kila siku.

Pili, kuuza wachezaji muhimu na kubaki na takataka ambazo zinasuasua.

Tatu, kukubali kuanza msimu na kikosi dhaifu na kuwa comfortable kabisa.

Glazers na Ed ni kansa pale Utd.
 
According to Fabrizio Romano Allegri anajifunza kingereza na yupo Tayari kuchukua Nafasi ya Ole Man UTD.


Sitashangaa hata Ed akiwa ameshamwaga mpunga.

Timu yetu hii majanga.
Simkubali sana Allegri kwangu mimi my choice would be
1 Eric Ten Hag
2 Nagelsman
3 Leornado Jardim
4 Eddie Howe
5 Allegri
 
Back
Top Bottom