SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,070
- 1,153
Hata shuti moja la maana kuelekea langoni hajapigaJames ana S.rating ya 7.1
Hata shuti moja la maana kuelekea langoni hajapigaJames ana S.rating ya 7.1
Wanafurahi anavyokimbiza upepo..Hata shuti moja la maana kuelekea langoni hajapiga
Yan keeper wao hana save hata 1...Jamaani hali ni hivi, vijamaa vina Kona za kumwaga , man u hata moja looh
View attachment 1222945View attachment 1222946
Man U hakuna striker pale wa kusumbua, asilimia kubwa ya washambuliaji ni wachezaji wa pembeni, hakuna central striker ya ukweli kuchachafya mpinzani.Yan keeper wao hana save hata 1...
Wachezaji wetu wamelegea sana,hadi kiakili wamelegea. Mtu mpira unapigwa unampita unatoka nje mahali ambapo angeweza hata kuteleza auguse. Mchezaji anasubiri mpaka mpira umfuate alipo😂😂😂 Tatizo ni kocha hapa lakini hata wachezaji pia ni wazito kimwili hadi kiakili ndio maana hata timu haiwezi kucheza kwa kasi. Kiungo chetu ni kizito sana na hamna hata kiungo mmoja anayefikiria haraka. |
Hii timu sijui wenyewe ndio wameamua au ndio wanataka kuiuwa ili waanzishe team ya American FootballWenye timu yetu tuna angalia japo sio kwa kutumia Mb
Wachambuzi wamelala wakija humu utasikia timu iko na Progress
Utetezi wa Lingard unaniacha mdomo wazi hahahahahSi angechezeshwa beki wa kushoto au kiungo wa chini kama kukaba ndio sifa yake kuu. Hivi timu isiyokuwa na wachezaji wabunifu unamuwekaje namba 10 mwenye sifa kuu ya kukaba badala ya kufanya kazi yake ya msingi?
Mpaka mje mpate straiker , na azoee ligi ,mnaweza jikuta mnachezea nafas za 10-15Man U hakuna striker pale wa kusumbua, asilimia kubwa ya washambuliaji ni wachezaji wa pembeni, hakuna central striker ya ukweli kuchachafya mpinzani.
Mpaka mje mpate straiker , na azoee ligi ,mnaweza jikuta mnachezea nafas za 10-15
Mambo ya kuzoea ligi ni hadithi tu kama zile za Lingard kuwa bora akiwa hana mpira. Mbona Daniel James tumenunua na anakiwasha vyema tu. Aah,nimesahau una maumivu ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia ukakuta ni kenge.😂😂 |
Yaani watoto wanavyo Tu search kama Yanga na Barcelona
Corner 10 kwa moja,kweli hali sio nzuri kabisa. Wachambuzi kesho watasema timu inajengwa. |