OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,125
- 24,062
Make radhi Arsene Wenger mkuu..Nachokiona Ole ni mwanafunzi wa Ferguson lakini ana ubongo wa Arsene Wenger
Make radhi Arsene Wenger mkuu..Nachokiona Ole ni mwanafunzi wa Ferguson lakini ana ubongo wa Arsene Wenger
Update :Tumecheza mechi 6 kati ya 38 tumeshinda mechi 2 draw mechi 2 tumefungwa mechi 2Tumeshacheza mechi 4 kati ya 38 tayari Man City wameshatuzidi point 5 ,Kama Liverpool akishinda atakuwa ametuzidi pointi 7,Imagine baada ya mechi 38 tutakuwa tumezidiwa pointi ngapi ?
Ivyo vitu vya kawaida ..rashid anapata chance tatu anakosa zote anasubiri penatiNaona Abraham anatupia tu leo, kabaki na kipa
Uko sawa kabisa mkuu. Kila mechi anafunga goalKumuuza lukaku tena bila mbadala ilikua kosa
Kamanda mkuu Ollachuga leo umefurahishwa na nini hasa?Ivyo vitu vya kawaida ..rashid anapata chance tatu anakosa zote anasubiri penati
After 7 games hakuna kilichobadilika so farSijaona tunapotofautiana sababu hata ulichoandika wewe ni hichohicho Lukaku alifeli sababu mfumo anaomfaa ni tofauti na anaoucheza OGS
Issue ya uzito wa Lukaku imekuwa viral baada ya GNeville kuongea na source toka Italy ilisema Lukaku hatacheza game ya kwanza but I think you know Conte ni kocha wa aina gani,Lukaku angekuwa overweight asingethubutu kucheza timu ya Conte
I know OGS amebadili mfumo toka 4-3-3 kuja 4-2-3-1 ambao kwa maoni yangu huu wa sasa unatupa shida sana kwenye kutengeneza nafasi na game 2 zilizopita Pogba anakuwa liabilty kwenye timu,Its too early but OGS bora arudi kwenye 4-3-3 kuongeza stablity kwenye midfield na (Game against Wolves tulikuwa na 2 shots on target ,game against Palace tulikuwa na 3 shots on target) ukilinganisha na jinsi foward yetu ilivyo butu 5 shots on target ni ndogo sana kwenye mechi 2 tena against opponent hao.Lets wait after at least 7-8 games tutajua if 4-2-3-1 is better for us
Iko poa kiukweliAisee iko vizuri nimechek betri naona ina 3000+ inakaa zaid ya masaa 7 data zikiwa on huku ukitumia? Imgekuwa 4000mAh ningeisaka
Hahaaa ulisema akifika goli 15 unafanyaje?Ivyo vitu vya kawaida ..rashid anapata chance tatu anakosa zote anasubiri penati
Timu ya ovyooo kupata kutokeaa...!!
Ngolo kanteMA hapo majeruhi kibao
Yani Tomori, Mount na Abraham ndo wanawafanya waseme timu ya watoto. Hao manjemba nane hawaonekani.Ngolo kante
Jorginho
Willian
Alonso
Cesar
Kovacic
Pedro
Christensen
Zouma
Hawa ni watoto ?
Brother bado hamjakutana na Arsenal, Man City, Liverpool,Spurs na vitimu vingi vidogo vidogo ambao wote lazima wanawafungakuna mdau mmoja humu ndani aliwahi kuniuliza
mbona mbappe alianza kukinukisha akiwa na miaka 18 pale monaco, kama aliweza mbappe basi hata greenwood na crew yake wataweza kufanya vizuri.
alichosahau Great Thinker yule wa jukwaa hili ni kwamba mbappe alizungukwa na falcao, fabinho, bakayoko akiwa kwenye ubora wake, bernardo silva, benjamin mendy, sidibe, moutinho, thomas lemar n.k
monaco ile ilikuwa ndio timu iliofunga magoli mengi sana barani ulaya.
angel gomez, greenwood, chong na daniel james wote hawa ni vijana ambao wanaonekana dhahiri wana muelekeo mzuri sana kisoka ila wanachokihitaji kwa sasa ni kuingizwa kwenye group la timu iliokwisha kamilika kiubora kama ilivyokuwa kwa mbappe na ansu fati ili wasicheze wakiwa kwenye hali ya presha kubwa.
mchukue gomez then muingize kwenye kundi moja na aguero, silva square, de bruyne, sterling nakuhakikishia dogo atacheza vizuri sana kama anavyofanya phil foden
ndio maana sikufurahishwa na usajili wa daniel james a.k.a swala peke yake kwa sababu nilishajua kitakachomkuta bahati mbaya sana kuna wadau hawakutaka kunielewa.
leo hii daniel james ameshakuwa nabii kwenye timu yetu, unatoka nyumbani kwenu ukifika kibanda cha kuangalia mechi jambo la kwanza unauliza:
daniel james yumo?
sijui lini ua letu lenye harufu nzuri litachanua tena.
kwa sasa tunamuhitaji james maddison kuliko tunavyomuhitaji OGS japokuwa natamani january ifike tukiwa chini ya OGS.
kiukweli sipendi kumuona jamaa anafukuzwa kazi, namuona ana nia njema na klabu lakini amekosa watu wa kumshauri vizuri.
au pengine washauri anao wakutosha lakini anaongozwa na kiburi.
bado hatujapoteza nafasi kubwa sana ya kugombania nafasi ya 3.
inasikitisha sana lakini mechi ngumu zaidi kiupande wetu itakuwa dhidi ya liverpool na manchester city.Brother bado hamjakutana na Arsenal, Man City, Liverpool,Spurs na vitimu vingi vidogo vidogo ambao wote lazima wanawafunga
Christensen, Emerson walicheza dakika ngapi uwanjani?Ngolo kante
Jorginho
Willian
Alonso
Cesar
Kovacic
Pedro
Christensen
Zouma
Hawa ni watoto ?
Leo kajivunjaChristensen, Emerson walicheza dakika ngapi uwanjani?
Weka hapa listi ya wachezaji majeruhi maana hata huyo Ng'olo Kante hajawa fiti kiviiile sababu hakuna mchezaji awezaye toka majeruhi akawa vizuri 100% sawa na mchezaji ambaye hakuwa majeruhi na alikuwa akicheza mara kwa mara kama Rashid Makame
Leo kajivunja