Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tiririkeni baba!
IMG-20190922-WA0025.jpg
 
Bado tu tunaendelea kujipa matumaini kuwa Ole Sendeka atatufikisha top 4

Chelsea ni mbovu lakini sidhani kama ndugu zetu Mwantesa Utd tutaenda popote chini ya Rashid Makame

Fumueni body ya timu nzima kuanzia Edwood Ward

Fumua kikosi chote na kusajili hata zaidi ya wachezaji wa8

Bila hivyo hata ashuke malaika bado tu mtakuwa mnatwanga maji kwenye kinu
Timu ya ovyooo kupata kutokeaa...!!
 
Umefanana na mimi shabiki kindakindaki wa Chelsea nilikuwa napiga zangu zoezi tu sababu najua kabisa timu yangu ndiyo inajengwa upya so nilishajiandaa na lolote kuliko hawa ndugu zangu wanaojitesa bure tu hapa
Hahaha,mkuu mbona timu yako ni nzuri tu, uhakika wa kumaliza juu ya MUFC upo. Una wachezaji wa kazi na sio mabishoo tulionao sisi.
 
Tusiposhuka daraja basi shetan la united linafanya kazi maana mech za away huyu bwana mdogo hana ujanja nazo kabisa yaani
Hahaaa...we Jamaa ulivyokuwa unateseka na Mourinho sikupatii picha kabisa kuwa sasa hivi uko ktk hali gani kwa hasira
 
Tuliwaonya humu kuhusu kumfukuza mourinho wengine tuliundiwa had magenge ya kutusema wenzenu tuliona shida ni bodi sio kocha huwez miaka 7 ukakaa na young akiwa namba 2 au 3 huna 7 wala 11 halafu bodi ipo kimya tu

Kaja sosha mchomoa betr uza lukaku toa sanchez toa herrera

Ukiulizwa vipi anakwambia natafuta mchezaji wa damu ya united

Hivi hawa wakina KDB na bernado silva walikuwa wakiipenda city?

Aguero alikuwa anaipenda man city

Silva alikuwa anapenda man city

Mpira ni pesa mapenz yaliondoka na wakina scholes na giggs
Hata kule mess mkataba wake unaongea pamoja na kukulia palepale

Sosha si kocha huwez kuuza top striker kama hujapata mbadala

Yule klopp alichomoa taratibu sana masalia mabovu kule liverpool hakufika na kufukuza wakina milner na orig hata sturidge alivumiliwa kapata mbele patamu kamuachia
Wewe unajua mwanangu
 
Hahaha,mkuu mbona timu yako ni nzuri tu, uhakika wa kumaliza juu ya MUFC upo. Una wachezaji wa kazi na sio mabishoo tulionao sisi.
Lakini bado hawajawa na consistency ya uhakika kama Man City au Liverpool, so sikuwa na haja ya kujipa presha niliona ni vyema nikapunguze sumu kwa mazoezi
 
Unamaanisha kocha wa namna gani, maana tulikuwa na LVG
Kufeli kwa LVG haimanishi makocha wengine pia watafeli. Hata hivyo LVG, alikuwa Old school, kuna makocha wazuri wanafundisha modern football, kama

Ten Hag
Jardim
Kuna yule aliyeko RB leipzig, Naingelsman
Hata Allegri sio mbaya
Luis enrique.

Atleast hao wameprove wanaweza kusuka kikosi na kikacheza mpira unaeleweka na kucompete kwenye top level,

Napenda sana OLE afanikiwe tena afanikiwe akiwa kocha wa Man u. But........
 
bwana PTER baada ya kumalizika mechi ya man utd dhidi ya chelsea jose mourinho alizungumza maneno yafuatayo.

Chelsea were not compact defensively, too much space to play, not enough aggression on the ball, the defensive line, the midfield, the attack, they were not compact.
I think United will find it much more difficult to play against teams with low compact blocks, if the block is low blocks, it will be really difficult for them without pure striker"

wolverhampton 1 vs man utd 1
man utd 1 vs crystal palace 2
southampton 1 vs man utd 1
man utd 1(penalty) vs leicester city 0
man utd 1 vs astana 0
westham 2 vs man utd 0.

ukiondoa mechi ya chelsea hakuna mechi nyengine tuliofanikiwa kufunga goli zaidi ya moja.
baadhi ya wakati huwa namlaumu bila ya sababu ya msingi marcus rashford kumbe tatizo si yeye na wala lukaku hakuwa tatizo.

mtoto akiwa anakojoa kitandani anayepaswa kulaumiwa kwanza ni mzee kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.
MkuuDaemusin Ole alikosea sana kuamini kuwa kikosi chake kingeweza kumpa matokeo ya kufikia malengo aliyojiwekea ya top four hili lilikuwa kosa kubwa sana.

Epl ni ligi yenye ushindani mkubwa sana team hizi ndogo hutengeneza nafasi chache sana za kufunga lakini huzitumia effectively wakipata mbili moja lazima wafunge hiki kitu kitamtesa sana Ole.

Team nyingi za epl sasa hivi zinaifahamu Man u ni dhaifu kwenye idara ya ushambuliaji hivyo zinacheza bila pressure ya kuadhibiwa.

Naona Ole akipoteza mechi nyingi sana msimu huu kama Woodward ataendelea kumvumilia mpaka Christmas.
 
Nachokiona Ole ni mwanafunzi wa Ferguson lakini ana ubongo wa Arsene Wenger
bwana PTER baada ya kumalizika mechi ya man utd dhidi ya chelsea jose mourinho alizungumza maneno yafuatayo.

Chelsea were not compact defensively, too much space to play, not enough aggression on the ball, the defensive line, the midfield, the attack, they were not compact.
I think United will find it much more difficult to play against teams with low compact blocks, if the block is low blocks, it will be really difficult for them without pure striker"

wolverhampton 1 vs man utd 1
man utd 1 vs crystal palace 2
southampton 1 vs man utd 1
man utd 1(penalty) vs leicester city 0
man utd 1 vs astana 0
westham 2 vs man utd 0.

ukiondoa mechi ya chelsea hakuna mechi nyengine tuliofanikiwa kufunga goli zaidi ya moja.
baadhi ya wakati huwa namlaumu bila ya sababu ya msingi marcus rashford kumbe tatizo si yeye na wala lukaku hakuwa tatizo.

mtoto akiwa anakojoa kitandani anayepaswa kulaumiwa kwanza ni mzee kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.
 
Nachokiona Ole ni mwanafunzi wa Ferguson lakini ana ubongo wa Arsene Wenger
bwana PTER baada ya kumalizika mechi ya man utd dhidi ya chelsea jose mourinho alizungumza maneno yafuatayo.

Chelsea were not compact defensively, too much space to play, not enough aggression on the ball, the defensive line, the midfield, the attack, they were not compact.
I think United will find it much more difficult to play against teams with low compact blocks, if the block is low blocks, it will be really difficult for them without pure striker"

wolverhampton 1 vs man utd 1
man utd 1 vs crystal palace 2
southampton 1 vs man utd 1
man utd 1(penalty) vs leicester city 0
man utd 1 vs astana 0
westham 2 vs man utd 0.

ukiondoa mechi ya chelsea hakuna mechi nyengine tuliofanikiwa kufunga goli zaidi ya moja.
baadhi ya wakati huwa namlaumu bila ya sababu ya msingi marcus rashford kumbe tatizo si yeye na wala lukaku hakuwa tatizo.

mtoto akiwa anakojoa kitandani anayepaswa kulaumiwa kwanza ni mzee kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.
 
Back
Top Bottom