Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

√Uwezo wa Ole technically unaleta wasiwasi..

√Lukaku aliuzwa..Okay,where the replacement??

√Fred ameingia ndani ya muda mchache amepiga pasi zilizoenda shule ambazo tokea tunaanza mechi hakuna aliyeweza kupiga(Tunahitaji wachezaji wenye akili ya mpira zaidi kushinda wenye kukimbia kimbia tu)..Muda mwingine sio minguvu inayocheza uwanjani,ni akili..Perreira anacheza kama hana akili vile,tena ni Midfielder..seriously??

De Gea
Bissaka XXXX Maguire Shaw
Pogba XXXX XXXX
XXXX XXX James

√Ole anazidi kufanya mambo yawe magumu zaidi..Chelsea wanacheza vizuri kutuzidi sisi

√Mourinho na ubovu tuliokuwa tunamsemea humu kinafki lakini kuna mambo aliyafanya yanaonyesha kwamba huyu mtu ni mwamba..

√Binafsi sijawahi kuamini 100% kuwa Ole ni kocha mzuri technically..amefanya sajili nzuri,that's all i can say
 
Ukweli Mchungu: Timu kama za Watford, Aston Villa, Norwich hata wakija Old Traford wakiona first eleven na bench la Utd kama la leo lazima waseme wakikosa points 3 watakuwa wamefanya ujinga sana

Utd imekuwa ni timu dhaifu sana: Kuanzia wachezaji, kocha, mpaka wale wavaa suti kule ofisini

Tunapoelekea tutawapita Liverpool kwenye rekodi yako ya mara ya mwisho kushinda kombe la ligi; kwa maana Liverpool ana nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa ndani ya miaka 3 kuliko sisi
 
inasikitisha sana lakini mechi ngumu zaidi kiupande wetu itakuwa dhidi ya liverpool na manchester city.
kiukweli hatukuwa na sababu ya kupoteza points 10 mechi sita za mwanzo.
Mechi yenu na Spurs nayo ni mechi ngumu sana kwa mpira ambao Spurs anapiga. Spurs Kufungwa na Leicester&Newcastle haiondoi kuwa wao huwa wanapiga mpira mkubwa sana wanapokutana na wakubwa
 
√Uwezo wa Ole technically unaleta wasiwasi..

√Lukaku aliuzwa..Okay,where the replacement??

√Fred ameingia ndani ya muda mchache amepiga pasi zilizoenda shule ambazo tokea tunaanza mechi hakuna aliyeweza kupiga(Tunahitaji wachezaji wenye akili ya mpira zaidi kushinda wenye kukimbia kimbia tu)..Muda mwingine sio minguvu inayocheza uwanjani,ni akili..Perreira anacheza kama hana akili vile,tena ni Midfielder..seriously??

De Gea
Bissaka XXXX Maguire Shaw
Pogba XXXX XXXX
XXXX XXX James

√Ole anazidi kufanya mambo yawe magumu zaidi..Chelsea wanacheza vizuri kutuzidi sisi

√Mourinho na ubovu tuliokuwa tunamsemea humu kinafki lakini kuna mambo aliyafanya yanaonyesha kwamba huyu mtu ni mwamba..

√Binafsi sijawahi kuamini 100% kuwa Ole ni kocha mzuri technically..amefanya sajili nzuri,that's all i can say
ashamuuza lukaku na sanchez kumtoa kwa mkopo abaki na rashford,greenwood na martial hii co akili....!
 
ashamuuza lukaku na sanchez kumtoa kwa mkopo abaki na rashford,greenwood na martial hii co akili....!
Ole hajui hata ni kitu gani anafanya. Ni kama vile alihisi hawa akina Pogba na Martial hawawezi kuumia mwanzo hadi mwisho wa msimu, huyu ana akili kweli?

Kumtoa Lukaku bila kusajili mrithi wake eti ukimtegemea Rashford ulikuwa ujinga wa karne,pengine tungeweza kuomba Icard awe sehemu ya dili la Lukaku.

nikashangaa zaidi nilipoona anamtoa Sanchez 😂😂 hapa ndo nikajua tumekwisha kabisa.

Tazama upangaji wake wa timu tangu ligi inaanza ndio utajua kocha hatuna. 4-2-3-1 haifanyi kazi kabisa bado anailazimisha, timu inapiga piga tu mpira uende mbele hamna jipya.
 
IMG_6299.JPG
 
Time imekuwa ya kawaida sana .Poor striking force
First eleven yetu haitishi ukilinganisha na timu nyingi EPL.
 
Babu morinyo popote ulipo tunaomba utusamehe kukutimua ili hali ulitupa makombe tunaomba upokee debe la mbege, isale na beberu vitupatanishe
Mourinho amehojiwa amesema ilikuwa halali yeye kufukuzwa kazi, kama kocha anawajibika Kwa matokeo mabovu ya timu uwanjan, hata hvyo anasema wakati anaondoka timu ilikuwa mbovu Ila sa hv timu ni mbovu zaidi, hakuna jipya, amedai pia kuwa huenda watu watahisi anafurah kutokana na mwenendo wa Man u but amedai hata yeye anaumizwa na matokeo Yale, ....istoshe pale man u ana marafiki wengi Sana wanaomkubali mpak leo, kuanzia mashabiki mpak bodi ya timu,
 
Ole hajui hata ni kitu gani anafanya. Ni kama vile alihisi hawa akina Pogba na Martial hawawezi kuumia mwanzo hadi mwisho wa msimu, huyu ana akili kweli?

Kumtoa Lukaku bila kusajili mrithi wake eti ukimtegemea Rashford ulikuwa ujinga wa karne,pengine tungeweza kuomba Icard awe sehemu ya dili la Lukaku.

nikashangaa zaidi nilipoona anamtoa Sanchez 😂😂 hapa ndo nikajua tumekwisha kabisa.

Tazama upangaji wake wa timu tangu ligi inaanza ndio utajua kocha hatuna. 4-2-3-1 haifanyi kazi kabisa bado anailazimisha, timu inapiga piga tu mpira uende mbele hamna jipya.

Aisee mnisamehe kwa kuchelewa msibani, niliweka kambi kwa Chelsea maana alikuwa anajitaji mfariji katika kipindi cha majonzi
 
Back
Top Bottom