Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Unamaanisha kocha wa namna gani, maana tulikuwa na LVG
Kwa OLE tumelamba jike.
Timu hii inahitaji TECHNICAL MANAGER.
Kwa OLE tumelamba jike.
Timu hii inahitaji TECHNICAL MANAGER.
Uko sahihi mkuu, MUFC imeoza zaidi eneo la kiungo hata Pogba akiwepo mipira inapotea zaidi pale kati.
Niliwahi kusema sio muda tutaanza kusema Maguire na Bissaka ni wakawaida maana watashindwa kuzuia makosa yanayofanywa na viungo.
Bila kuwa na viungo wazuri wanaoweza kutembea na mpira na wanaojiamini tutatukana mabeki wetu na De Gea ataanza kuonekana pazia.
Ole anatuletea shida sana yani hatuwezi nilikiota mpira kabisa team yetu inabahatisha pasi 2 ya 3 imepotea....owky tunawachezaji poor so hata kuuchezea tu mpira tuoate suluhu ya 0 0 hatuwezi....mbona kipindi cha van gal hadi Phil Jones alicheza kiungo na timu pinzani tukazikamata......set up ya ole ni mbovu shida sio kiungo wala nini
Mkuu tatizo linaanzia kwenye kiungo, huwezi kuchezea mpira bila kuwa na kiungo kizuri, utauchezea wapi sasa?😂 Unapomzungumzia LVG unazungumzia kocha bora na mzuri sana,sio mbabaishaji Ole. Ndio maana nilitamani baada ya Mou aje Carl Ancelotti au Antonio conte, huyu Ole tutapata aibu sana. Game ya leo alipaswa kabisa kuanza Fred na sio Matic pale kati, Matic ni mzito hata kuufuata mpira. Kocha haelewi ni kujaribu jaribu tu😂😂😂 |
Sina cha kuongeza hapa.
Mkuu tatizo linaanzia kwenye kiungo, huwezi kuchezea mpira bila kuwa na kiungo kizuri, utauchezea wapi sasa?
Unapomzungumzia LVG unazungumzia kocha bora na mzuri sana,sio mbabaishaji Ole. Ndio maana nilitamani baada ya Mou aje Carl Ancelotti au Antonio conte, huyu Ole tutapata aibu sana.
Game ya leo alipaswa kabisa kuanza Fred na sio Matic pale kati, Matic ni mzito hata kuufuata mpira. Kocha haelewi ni kujaribu jaribu tu
bwana PTER baada ya kumalizika mechi ya man utd dhidi ya chelsea jose mourinho alizungumza maneno yafuatayo.Matone ya mvua yameshaanza kutupata.
Kumuuza lukaku tena bila mbadala ilikua kosabwana PTER baada ya kumalizika mechi ya man utd dhidi ya chelsea jose mourinho alizungumza maneno yafuatayo.
Chelsea were not compact defensively, too much space to play, not enough aggression on the ball, the defensive line, the midfield, the attack, they were not compact.
I think United will find it much more difficult to play against teams with low compact blocks, if the block is low blocks, it will be really difficult for them without pure striker"
wolverhampton 1 vs man utd 1
man utd 1 vs crystal palace 2
southampton 1 vs man utd 1
man utd 1(penalty) vs leicester city 0
man utd 1 vs astana 0
westham 2 vs man utd 0.
ukiondoa mechi ya chelsea hakuna mechi nyengine tuliofanikiwa kufunga goli zaidi ya moja.
baadhi ya wakati huwa namlaumu bila ya sababu ya msingi marcus rashford kumbe tatizo si yeye na wala lukaku hakuwa tatizo.
mtoto akiwa anakojoa kitandani anayepaswa kulaumiwa kwanza ni mzee kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.
kumpuuzia bruno fernandez na madison kwa kumtegemea perreira, lingard na mata pia ni dhambi kubwa sana tulioifanya.Kumuuza lukaku tena bila mbadala ilikua kosa
Ole anatuletea shida sana yani hatuwezi nilikiota mpira kabisa team yetu inabahatisha pasi 2 ya 3 imepotea....owky tunawachezaji poor so hata kuuchezea tu mpira tuoate suluhu ya 0 0 hatuwezi....mbona kipindi cha van gal hadi Phil Jones alicheza kiungo na timu pinzani tukazikamata......set up ya ole ni mbovu shida sio kiungo wala nini
Bado tu tunaendelea kujipa matumaini kuwa Ole Sendeka atatufikisha top 4Aisee genge la wahuni tupoo![]()



Kuna kitu hapo kimeongelewa "Without a pure striker" hcho kipengele unatakiwa ukibold na rangi juu,bwana PTER baada ya kumalizika mechi ya man utd dhidi ya chelsea jose mourinho alizungumza maneno yafuatayo.
Chelsea were not compact defensively, too much space to play, not enough aggression on the ball, the defensive line, the midfield, the attack, they were not compact.
I think United will find it much more difficult to play against teams with low compact blocks, if the block is low blocks, it will be really difficult for them without pure striker"
wolverhampton 1 vs man utd 1
man utd 1 vs crystal palace 2
southampton 1 vs man utd 1
man utd 1(penalty) vs leicester city 0
man utd 1 vs astana 0
westham 2 vs man utd 0.
ukiondoa mechi ya chelsea hakuna mechi nyengine tuliofanikiwa kufunga goli zaidi ya moja.
baadhi ya wakati huwa namlaumu bila ya sababu ya msingi marcus rashford kumbe tatizo si yeye na wala lukaku hakuwa tatizo.
mtoto akiwa anakojoa kitandani anayepaswa kulaumiwa kwanza ni mzee kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.
Mkuu tatizo linaanzia kwenye kiungo, huwezi kuchezea mpira bila kuwa na kiungo kizuri, utauchezea wapi sasa?
Unapomzungumzia LVG unazungumzia kocha bora na mzuri sana,sio mbabaishaji Ole. Ndio maana nilitamani baada ya Mou aje Carl Ancelotti au Antonio conte, huyu Ole tutapata aibu sana.
Game ya leo alipaswa kabisa kuanza Fred na sio Matic pale kati, Matic ni mzito hata kuufuata mpira. Kocha haelewi ni kujaribu jaribu tu
Kawaida ya timu yetu, mmeacha matatizo ya msingi mmemtafuta wa kum bebesha mzigo matic
Mkuu tatizo linaanzia kwenye kiungo, huwezi kuchezea mpira bila kuwa na kiungo kizuri, utauchezea wapi sasa?
Unapomzungumzia LVG unazungumzia kocha bora na mzuri sana,sio mbabaishaji Ole. Ndio maana nilitamani baada ya Mou aje Carl Ancelotti au Antonio conte, huyu Ole tutapata aibu sana.
Game ya leo alipaswa kabisa kuanza Fred na sio Matic pale kati, Matic ni mzito hata kuufuata mpira. Kocha haelewi ni kujaribu jaribu tu
Umefanana na mimi shabiki kindakindaki wa Chelsea nilikuwa napiga zangu zoezi tu sababu najua kabisa timu yangu ndiyo inajengwa upya so nilishajiandaa na lolote kuliko hawa ndugu zangu wanaojitesa bure tu hapaMkuu mpira ni mchezo wa ajabu sana na unamaumivu sana... Nashukuru hata leo sijaenda kuangalia mechi yetu



Man City ni ndugu yao hata wakifungwa haiwaumi sana sababu wanapata raha kuona kombe la epl linatua Etihard stadium kuliko kwenda AnfieldMajirani mna hali mbaya sana,poleni next week mnakutana na Arsenal dah.
Sipati picha kwa hali kama hii mliyokuwa nayo alafu mnakutana na Man City,tutatafutana humu JF.

Kawaida ya timu yetu, mmeacha matatizo ya msingi mmemtafuta wa kum bebesha mzigo matic
Timu ina matatizo kila sehemu mkuu hayo hatuna haja ya kuyasemea lakini kuna mambo madogo madogo kocha anatakiwa kuyaona, kwamfano hili la Fred kuanzia bench leo. |
Inasikitisha ila mwanangu nimeikubali camera iliyotumika kupiga picha hapo tukiachilia mbali screen hiyo iliyo angavu kabisa. ni ya simu gamni