Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Binafsi nilitamani hii game tupigwe nyingi ili ed na ogs wasijiaminishe kwa kikosi kilichopo.
Kwa mwenye kumbukumbu nzuri msimu wa kwanza wa lvg tulitesa sana pre season hasa hii ICC na tukajisahau. Matokeo yake tuliishia kupiga back pass nyingi kuzuia kufungwa goli za maana. Januari yake martial akaja kuokoa jahazi.
Kama dirisha la usajili litafungwa hatujafanya usajili zaidi ya kina Bissaka tutapigwa sana tu
 
Binafsi nilitamani hii game tupigwe nyingi ili ed na ogs wasijiaminishe kwa kikosi kilichopo.
Kwa mwenye kumbukumbu nzuri msimu wa kwanza wa lvg tulitesa sana pre season hasa hii ICC na tukajisahau. Matokeo yake tuliishia kupiga back pass nyingi kuzuia kufungwa goli za maana. Januari yake martial akaja kuokoa jahazi.

Unafikir hawajui matatizo ya timu? Shida ni kupata watu sahihi hii timu imesajili sana toka sir alex asepe hadi wakina di maria wamekatiza hapa cha msingi uvumilivu tu
 
Labda kwenu ila class of 92 ilibeba makombe 3 mfululizo ama 2 kuanzia pale 92 mpaka 95.

Na Hata Man u ile ya 2007/8 haikuwa na umri mkubwa kivile, watu Kama Rooney, Ronaldo, Tevez, Anderson, Nani, etc walikuwa bado Makinda.

Na Top 4 ndio lengo halisi, zaidi ya Hapo ni bonus tu.

Hapo kwenye kwenye Kizazi cha 92 umekosea hupo sahihi kabisa.
Nahii ndiyo concept ya washabiki wengi wa Man U wakiamini kuwa Manchester iliyotamba imeundwa mwaka 92 wakati sio kweli! Ferguson aliiunda timu hiyo kwa miaka takriban 6 iliyopita (mwaka 1986) ndiyo akafanikiwa kuikamilisha mwaka 1992.

Kwahiyo timu ya kizazi cha 92 haikuwa ni timu ya Youngsters kama unavyotaka kutuaminisha Bali ni ya Wachezaji wakongwe na Wazoefu waliokwisha tengenezwa na kukaa pamoja before 1990.

Sikumbuki Wachezaji wengi Bali nitakutajia baadhi ya Wachezaji tu ambao ndiyo waliokuwa wakicheza kwa wakati huo wa Mafanikio ya kuanzia 92.

1) Peter Schmeichel
2) Steve Bruce
3) Denis Irwin
4) Gary Pallister
5) Paul Ince
6) Roy Kean
7) Mike Phelan
8) Bryan Robson
9) Éric Cantona
10) Mark Hughes
11) Brian McClair
12) Paul Parker


Hapo ukimtoa Roy Kean wengi wao walikuwa umri wao ni kati ya Miaka 27 na 30+.

Hao kina Giggs, Schooles, Neville, Beckham and co wameanza kuibuka miaka ya 96 tena walikuwa wakigaiwa subs tu kupewa uzoefu na Watu wazima.

kwahiyo kusema Ferguson alianza kupata mafanikio kwa Kizazi cha 92 ukihisi walikuwa ni Youngsters basi hupo sahihi kabisa.

Walikuwa ni wazee aliowatengeneza tokea miaka ya 86/87.

Bali cha 92 ndiyo kina Giggs waliotesa kuanzia miaka ya 1998s.

Kwahiyo narudia palepale huwezi kubeba makombe kwa kutegemea Youngsters
 
ingawa kuna mashabiki wanaiponda sana timu humu..... Nimegundua hawaangalii pre-season game yote wakajua timu inachezaje.... Huwezi niambia eti inter waliizidi united wakati kikosi cha kwanza na chapili katika ile game kiliizidi inter hadi kupossess mpira......

United unaelekea sehemu sahihi Nimeangalia pre - season ya Leo pia timu inaenda mahala sahihi, na tutafanya vizuri msimu ujao, timu yetu wachezaji wote 23 waliocheza hizi Mechi 2 wamekuwa wakielewana Sana na spirit ya timu ipo juu sana....

Unaposema it's just pre season mbona kipindi cha Mourinho akat Tunafungwa na Liverpool ulilalama kuwa kwanini hata pre season tunashindwa kushinda..... so naiman timu yetu inaenda kufanya vizuri sana msimu huu ...save my comment
 
Pia timu yetu alipokuja solskjaer tulishinda sana, sio sababu eti wachezaji walitaka kumprove wrong Mourinho but ni spirit waliyokuwa nayo wachezaji, pia tulivyoanza kufungwa, tulifungwa sababu ya kukosa stamina na pumzi ilikata mapema kwa wachezaji wetu kwenye baadhi ya mechi....
 
Young katolewa kulia kapelekwa kushoto.

Ole is worse than Mou.
Young kucheza defence ya kulia amecheza msimu uliopita tu.

LVG alianza kuntumia kushoto na Mou mwanzo alikuwa anamtumia kushoto kipindi Luke shawa ni majeeuhi
Kulia kaanza kucheza baada ya Darmian kushindwa kuimprove.
 
Hapo kwenye kwenye Kizazi cha 92 umekosea hupo sahihi kabisa.
Nahii ndiyo concept ya washabiki wengi wa Man U wakiamini kuwa Manchester iliyotamba imeundwa mwaka 92 wakati sio kweli! Ferguson aliiunda timu hiyo kwa miaka takriban 6 iliyopita (mwaka 1986) ndiyo akafanikiwa kuikamilisha mwaka 1992.

Kwahiyo timu ya kizazi cha 92 haikuwa ni timu ya Youngsters kama unavyotaka kutuaminisha Bali ni ya Wachezaji wakongwe na Wazoefu waliokwisha tengenezwa na kukaa pamoja before 1990.

Sikumbuki Wachezaji wengi Bali nitakutajia baadhi ya Wachezaji tu ambao ndiyo waliokuwa wakicheza kwa wakati huo wa Mafanikio ya kuanzia 92.

1) Peter Schmeichel
2) Steve Bruce
3) Denis Irwin
4) Gary Pallister
5) Paul Ince
6) Roy Kean
7) Mike Phelan
8) Bryan Robson
9) Éric Cantona
10) Mark Hughes
11) Brian McClair
12) Paul Parker


Hapo ukimtoa Roy Kean wengi wao walikuwa umri wao ni kati ya Miaka 27 na 30+.

Hao kina Giggs, Schooles, Neville, Beckham and co wameanza kuibuka miaka ya 96 tena walikuwa wakigaiwa subs tu kupewa uzoefu na Watu wazima.

kwahiyo kusema Ferguson alianza kupata mafanikio kwa Kizazi cha 92 ukihisi walikuwa ni Youngsters basi hupo sahihi kabisa.

Walikuwa ni wazee aliowatengeneza tokea miaka ya 86/87.

Bali cha 92 ndiyo kina Giggs waliotesa kuanzia miaka ya 1998s.

Kwahiyo narudia palepale huwezi kubeba makombe kwa kutegemea Youngsters

Hapo umeeka tu watu Tofauti Tofauti wengine waliondoka kabla (Robson) wengine walikuwa nao ni watoto (kean) etc. Huyo Parker kacheza mechi 5 tu msimu mzima etc

Mwaka 1995 Kuna muandishi wa habari anaitwa Alan Hansen alisema Man UTd haiwezi kushinda ubingwa na watoto, kikosi kilikuwa na watoto wengi, akasema man UTD wanatakiwa wanunue zaidi wachezaji ili waweze ku compete, jamaa alikuwa maarufu Sana na Hadi Leo anaenziwa Kama Joker, video yake hii hapa



Kikosi Cha Man U 2015 hiki hapa.
Screenshot_20190725-185828__01.jpg


Wachezaji 5 unaweza ukawaita senior, Peter, Irwin, Bruce, palister na Cantona, na 6 ni watoto Keane, Cole, Beckham, Butt, Neville, Giggs.

Hio ndio ilikuwa First eleven,

Sub kilikuwa na watu Kama Phil Neville, Scholes na vitoto kibaooo
Screenshot_20190725-190217__01.jpg


Hapo sub Kuna wachezaji 4 seniors na Tena wawili hawakuwa involved kabisa.

Hio ndio man U ya 1995 iliyowashinda Newcastle ambayo walikuwa favourite, pundits walikuwa wakiibeza kwa kuwa na watoto.
 
Hapo umeeka tu watu Tofauti Tofauti wengine waliondoka kabla (Robson) wengine walikuwa nao ni watoto (kean) etc. Huyo Parker kacheza mechi 5 tu msimu mzima etc

Mwaka 1995 Kuna muandishi wa habari anaitwa Alan Hansen alisema Man UTd haiwezi kushinda ubingwa na watoto, kikosi kilikuwa na watoto wengi, akasema man UTD wanatakiwa wanunue zaidi wachezaji ili waweze ku compete, jamaa alikuwa maarufu Sana na Hadi Leo anaenziwa Kama Joker, video yake hii hapa



Kikosi Cha Man U 2015 hiki hapa.
View attachment 1162620

Wachezaji 5 unaweza ukawaita senior, Peter, Irwin, Bruce, palister na Cantona, na 6 ni watoto Keane, Cole, Beckham, Butt, Neville, Giggs.

Hio ndio ilikuwa First eleven,

Sub kilikuwa na watu Kama Phil Neville, Scholes na vitoto kibaooo
View attachment 1162627

Hapo sub Kuna wachezaji 4 seniors na Tena wawili hawakuwa involved kabisa.

Hio ndio man U ya 1995 iliyowashinda Newcastle ambayo walikuwa favourite, pundits walikuwa wakiibeza kwa kuwa na watoto.
Mazingira ya sasa na ya 1995 kwenye epl ni tofauti sana.

Labda tuwe hatuoni ongezeko la uwekezaji katika timu zingine
 
Mazingira ya sasa na ya 1995 kwenye epl ni tofauti sana.

Labda tuwe hatuoni ongezeko la uwekezaji katika timu zingine
Mkuu labda useme academy yetu sio nzuri Kama kipindi kile,

Ila juzi juzi tu tumeona Barcelona ya Messi, xavi, Valdez, Iniesta, puyol, bosquet, pique, Pedro etc. Wachezaji kama 8 wamgraduate academy moja na wanacheza pamoja na wamepata mafanikio.

Pia refer Monaco ya kina Mbape iliochukua ubingwa mbele ya Psg na kufika nusu UCL.
 
Back
Top Bottom