Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Sielewi kwanini mpaka leo hao wachezaji bado wapo kwenye timu yetu.Greenwood yuko vyema lakin si wa kumtegemea. Umri bado mdogo.
Bissaka mtu wa kazi..naweza sema ndio usajili mzuri mapaka sasa ambao tumefanya.
Laki hawa lingard.. young jones.. wanatakiwa waondoke kwenye ile team. Hawako sierious kabisa.
Bado usajili wa namba 10 unahitajika.
Wachezaji wa hovyo haijawahi kutokea na bado wapo.
Wakiondoshwa gape litaonekana na watajitahidi kuziba hilo gape.