Ktk makombe 13 rol uefa na club world cup huko kote na mech zote alikuwa akichezesha web hakika uefa na epl walitupendelea sana kama kila mech ilichezeshwa na web pia liverpool si timu ya kutisha liverpool ni spurs iliyochangamka
Hivi Cr7 na yeye alikuwepo wakati munabeba ile club world cup?
 
Ajabu sana timu kama hii mshabiki wa liverpool anakwambia ili ishinde lazima awepo Web hapo kuna mchezaj wa dunia

Hebu tuone na kikosi cha liverpool cha mwaka huo wa 2008

Maana nakumbuka timu iliyokuwa na ubora huo kwa england ilikuwa chelsea
View attachment 1212164
Mkuu hii Manchester nakiri kwamba ukikutana nayo basi angalau hata draw utakuwa ni ushindi mkubwa sana na nakumbuka pamoja na ubovu wa Liverpool wa wakati ule ..bado wali mentain kupata matokeo mbele ya sir Alex ..ila Chelsea ndo alikuwa akiwasumbua sana ..

The best of Man United ..kwangu mimi naona hich ndio kikosi bora kuwahi kutokea apo OT..

Kila la kheri Chelsea
 
Kuna vitu vingine usibishe ilimradi tu kuna siri kuwa Refa Howard Web alikuwa na mapenzi binafsi na Ferguson na Manchester United,Ilifikiaa wakati mechi ya Manchester United akichezesha Howard Web utafungwa kivyovyote vile na kwa njia yoyote ile.
Dah nakumbuka ile game dhidi ya Man united Web anatoa red mbili kwa Chelsea na Chicharito anafunga goli la offside ..japo walishinda 3-2 lakini web alidhihirisha mapenzi yake binafsi kwa Man united..

Binafsi web alichukia sana Chelsea..

Baadae nakupiga

Kila la kheri Chelsea
 
Sasa hichi ulichokileta hapa nini? Mkuu hapa umeonesha Hypocrisy ya Wazi kabisa.

Mimi ninatembelea Nyuzi zote na ninawajua washabiki wa Timu zote ambao kazi yao kutembekea nyuzi moja moja kufanya Mipasho.

1) LIVERPOOL: Wapo washabiki maalum wa Liverpool ambao nyinyi hapa munawajua kaziyao kutembea kula Nyuzi kufanya Mipasho.

2) MAN UNITED: Wapo washabiki Maalum wa Man United ambao kazi yao kutembea kila Nyuzi kufanya Mipasho

3) ARSENAL: Hapa hata sisemi kitu nadhani mushanielewa.

4) CHELSEA: Kuna Mwamba anaitwa Ollachuga Oc na kikosi chake cha Mipasho nadhani munamjua.

Sasa unaposema Liverpool ndiyo wanaoanza Mipasho kwasababu ya Inferiority Complex hapa ni kusema uongo na kujikweza.

Kwa Mishasho Mkuu Washabiki Maalum wa Timu zote Wapo usisingizie Liverpool tu.

Mfano Mdogo Mimi hata Mukipoteza game hujawahi kuniona kuja na Mipasho hapa.

Bali na Comment mambo ya Kimpira tu.

Acha hizo bro usiwe Biased katika post zako
Asee tunakufahamu banaa wewe ndo King wa mipasho tena mingi unaletaga kule kwetu ..Mara tunaupiga mwingi, Mara lampard akatizi desemba...hahaha

Mipasho ni sehemu ya ushabiki wa mpira na Nina imani kila shabiki lazima awe na mipasho japo viwango vinatofautiana kimtindo...

Hata hii uliandika tayari ni mipasho maana unaongea kwa kujilinda uku ukiponda upande mwingine...

Leo nakupiga ..

Kila la kheri Chelsea
 
Kitu kinachonifanya niwadharau Liverpool ni Man Utd kutoka kuwa na makombe 7 ya EPL na wao wakiwa na makombe 18 halafu sasa hivi wana EPL hizo hizo 18 na United wana 20

Hawa jamaa ndio maana kwenye baadhi ya kumbi wapo 4, halafu mechi zikiwa nyingi game zao hazioneshwi
Hahahahaha kibanda umiza uku mtaani kwetu unakutana wanashangilia watu watatu/wanne/wawili ...hahaha hii Liverpool bana
 
Pathetic. Unaongelea Liverpool ya mwaka gani ndugu? Yani nowadays watu waache kutazama game ya Liverpool huko UEFA wakatazama ukicheza na Astana? Waache kutazama mpira wa maana wa Liverpool wakatazame legless rashfords? You still live in the past mzee? Au huwa unaenda kutazamia hizo games zako wapi??

Msimu uliopita Liverpool ndo ameongoza kwa Uingereza na dunia nzima kwa mapato kwa njia ya matangazo ya Televisheni kwa mechi za mpira. Sasa imekuaje na ingali haitazamwi? Na ikawaje mechi zake ndo zimerushwa nyingi kuliko timu zingine kwenye league? wake up from the dead past, man! View attachment 1212603View attachment 1212604
Chelsea tumetisha tuko namba tatu!!

Leo nakupiga mkuu..

Kila la kheri Chelsea
 
Hao mashabiki sijui wanakulaga maharagwe ya wapi??

Mfano huyo Leicester alimkazia Chelsea wakatoka sare,basi mashabiki wa Chelsea wakaanza kuturusha humu kuwa tutakiona cha mtema kuni tutakapokutana na Leicester,Lakini hakuna cha maana alichokifanya sana
Wakati una draw na wolves mulijaa kule kweny uzi wetu na kujitamba wolves umedraw Naye na sisiatatukalisha.. lakin kilichotokea kila mtu anajua ..Watford alimkazia Arsenal kaenda kula 8-0 uko..

Kila la kheri Chelsea
 
Back
Top Bottom