Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyinyi wenyewe mashabiki wa Liverpool ndiyo huwa mnaleta hii mipasho ya kike kutokana na inferiority complex yenu

Sasa hichi ulichokileta hapa nini? Mkuu hapa umeonesha Hypocrisy ya Wazi kabisa.

Mimi ninatembelea Nyuzi zote na ninawajua washabiki wa Timu zote ambao kazi yao kutembekea nyuzi moja moja kufanya Mipasho.

1) LIVERPOOL: Wapo washabiki maalum wa Liverpool ambao nyinyi hapa munawajua kaziyao kutembea kula Nyuzi kufanya Mipasho.

2) MAN UNITED: Wapo washabiki Maalum wa Man United ambao kazi yao kutembea kila Nyuzi kufanya Mipasho

3) ARSENAL: Hapa hata sisemi kitu nadhani mushanielewa.

4) CHELSEA: Kuna Mwamba anaitwa Ollachuga Oc na kikosi chake cha Mipasho nadhani munamjua.

Sasa unaposema Liverpool ndiyo wanaoanza Mipasho kwasababu ya Inferiority Complex hapa ni kusema uongo na kujikweza.

Kwa Mishasho Mkuu Washabiki Maalum wa Timu zote Wapo usisingizie Liverpool tu.

Mfano Mdogo Mimi hata Mukipoteza game hujawahi kuniona kuja na Mipasho hapa.

Bali na Comment mambo ya Kimpira tu.

Acha hizo bro usiwe Biased katika post zako
 
My Starting Lineup vs Westham Jumapili

De Gea

Bissaka Lindelof Maguire Young

Fred McTominay

Gomez

Greenwood Rashford James


√Rashford perfomance yake imekuwa tiatia maji as usual na hatuna mtu mwingine..

√Tunahitaji kufanya sajili za nguvu kadhaa huku hawa madogo tukiendelea kuwapa nafasi kimtindo ili tuwe na skeleton nzuri..
 
United ana winger wengi sana wa kushoto, na Sancho ni winger wa kulia si kushoto na shida ya Man kwa sasa ni winger ya kulia

Hao City wenyewe wanajuta kutompa nafasi Sancho nafasi mpaka kawakimbia

Huo Sheikh Mansour na Wageni wake (wasio Waingereza) ameshinda UCL ngapi, United alishinda UCL zote na Waingereza wengi kikosini

Nakukumbusha tena, siungi mkono United kusajili mchezaji kwa sababu ya Uingereza wake, bali uwezo wake

Na nina imani wapo wachezaji wasio Waingereza watasajikiwa na kubakizwa

By the way, OGS anataka Pogba abaki, amemsainisha Degea, amemsainisha Lindelof je hao ni Waingereza?
Mbona hatujasikia approach yenu kwa Right-Wingers wengine kama waliopo sokoni kutoka Ligue 1 etc?


Ukisema kwamba mmechukua UEFA kwa nguvu ya wazawa hilo nitakukatalia sababu ile UEFA yenu ya mwisho CR7 alikuwepo

Pursuits zenu za wazawa mtupu (Longstaff, Rice,Sancho and the like ), halafu subiria Chelsea watoke kifungoni kama Abramovic atakuwa na roho nyeupe by then uone pursuits zao

Yaani hata Arsenal sajili zao ziko vizuri kama wanaamua kuspend, Utd ya sasa wazawa (sio homegrowns to be precise) ndio kipaumbele
 
United ana winger wengi sana wa kushoto, na Sancho ni winger wa kulia si kushoto na shida ya Man kwa sasa ni winger ya kulia

Hao City wenyewe wanajuta kutompa nafasi Sancho nafasi mpaka kawakimbia

Huo Sheikh Mansour na Wageni wake (wasio Waingereza) ameshinda UCL ngapi, United alishinda UCL zote na Waingereza wengi kikosini

Nakukumbusha tena, siungi mkono United kusajili mchezaji kwa sababu ya Uingereza wake, bali uwezo wake

Na nina imani wapo wachezaji wasio Waingereza watasajikiwa na kubakizwa

By the way, OGS anataka Pogba abaki, amemsainisha Degea, amemsainisha Lindelof je hao ni Waingereza?

Kwanza huyo kocha OGS anapenda kuwakosha nyoyo Waingereza balaa

Magarasa ya kiingereza yamejaa pale ila cha ajabu amewaondosha kina Lukaku
 
United ana winger wengi sana wa kushoto, na Sancho ni winger wa kulia si kushoto na shida ya Man kwa sasa ni winger ya kulia

Hao City wenyewe wanajuta kutompa nafasi Sancho nafasi mpaka kawakimbia

Huo Sheikh Mansour na Wageni wake (wasio Waingereza) ameshinda UCL ngapi, United alishinda UCL zote na Waingereza wengi kikosini

Nakukumbusha tena, siungi mkono United kusajili mchezaji kwa sababu ya Uingereza wake, bali uwezo wake

Na nina imani wapo wachezaji wasio Waingereza watasajikiwa na kubakizwa

By the way, OGS anataka Pogba abaki, amemsainisha Degea, amemsainisha Lindelof je hao ni Waingereza?
Mkuu kwani Chelsea si wanayo UCL moja, Sheikh Mansour anachukua UEFA sio muda mrefu maana timu ya kuchukua anayo

Kina Gabriel Jesus, Mendy, DeBruyne etc bonge moja la timu. Juventus na vikosi vyao ambavyo naona vya kuungaunga past 5 years wamecheza UCL finals mbili vipi kikosi chenye kina Laporte,Mendy, DeBruyne na Gabriel Jesus
 
Mkuu kwani Chelsea si wanayo UCL moja, Sheikh Mansour anachukua UEFA sio muda mrefu maana timu ya kuchukua anayo
Kina Gabriel Jesus, Mendy, DeBruyne etc bonge moja la timu. Juventus na vikosi vyao ambavyo naona vya kuungaunga past 5 years wamecheza UCL finals mbili vipi kikosi chenye kina Laporte,Mendy, DeBruyne na Gabriel Jesus
Hawana timu ya kubeba UCL hao city... labda kama ataenda final na Watford
 
Kwanza huyo kocha OGS anapenda kuwakosha nyoyo Waingereza balaa

Magarasa ya kiingereza yamejaa pale ila cha ajabu amewaondosha kina Lukaku
Mbona husemi alikuwa anamtaka Dybala na walishakubaliana kila kitu na kukwamishwa na imaging rights? Mbona husemi Kama Lukaku angeenda juve pia kulikuwa na uwezekano wa mandzukic kuja? Vipi kuhusu De ligt?

Ole anataka tu attitude nzuri, wachezaji ambao wapo grounded.
 
Hawana timu ya kubeba UCL hao city... labda kama ataenda final na Watford
Wachezaji wapo mkuu

DeBruyne,Mendy,Laporte ni wachezaji wa viwango vya juu

Gabriel namuona akievolve kuwa bonge moja la striker
 
Mbona husemi alikuwa anamtaka Dybala na walishakubaliana kila kitu na kukwamishwa na imaging rights? Mbona husemi Kama Lukaku angeenda juve pia kulikuwa na uwezekano wa mandzukic kuja? Vipi kuhusu De ligt?

Ole anataka tu attitude nzuri, wachezaji ambao wapo grounded.
Dyabala si alikuwa aje via swap au nimesahau ? Yote hiyo sababu kocha alikuwa hamtaki Lukaku. Ukitaka kujua jinsi gani Lukaku alikuwa hathaminiki mbele ya OGS fuatilia ameuzwaje,pesa yake ya uhamisho inalipwaje

Sasa Kocha unamthamini Lingard kuliko Lukaku hahahahaha

Maana kama suala ni pesa sidhani kama Juve walikuwa wamuuze. Barca niliwahi sikia waliweka mezani Euro milioni mia moja na hamsini €150m wamchukue Dyabala ila hiyo pesa ilikataliwa na Juve

Kocha anasema Lingard ana imani nae sana na atamtegemea sana hahahahahhahahaha
 
Wachezaji wapo mkuu
DeBruyne,Mendy,Laporte ni wachezaji wa viwango vya juu
Gabriel namuona akievolve kuwa bonge moja la striker
Pep ana hamu sana UCL,. toka yuko Germany analisaka linagoma.
City wanasumbua EPL mkuu, hao akina Jesus bado hawajabatizwa
 
Dyabala si alikuwa aje via swap au nimesahau ? Yote hiyo sababu kocha alikuwa hamtaki Lukaku. Ukitaka kujua jinsi gani Lukaku alikuwa hathaminiki mbele ya OGS fuatilia ameuzwaje,pesa yake ya uhamisho inalipwaje

Sasa Kocha unamthamini Lingard kuliko Lukaku hahahahaha

Maana kama suala ni pesa sidhani kama Juve walikuwa wamuuze. Barca niliwahi sikia waliweka mezani Euro milioni mia moja na hamsini €150m wamchukue Dyabala ila hiyo pesa ilikataliwa na Juve

Kocha anasema Lingard ana imani nae sana na atamtegemea sana hahahahahhahahaha
Inaonyesha jinsi gani unavyohangaika na ole personally na sio suala la usajili, unazungumzia hoja za usajili kwa waingereza unazungumzia mengine ya lingard sijui hata yanahusiana vipi. Sasa Kama ole ana Imani na lingard inaingia vipi Hapa?

Pia lingard na Lukaku wanacheza position moja? Kiasi kwamba awe kauzwa Lukaku sababu ya lingard?

Man utd Kuna
-fred na Perreira wabrazil
-mata na degea Spain
-Rojo na Romero wa Argentina
-Martial na pogba ufaransa
-chong mholanzi
-lindelof Sweden
-matic Serbia
-dalot Portugal
-baily Ivory coast

Wote hao sio waingereza mbona wanacheza?
 
Mimi nakubali kwamba kwa sasa sera ya United ni kuangalia waliopo nyumbani kwanza lakini kama hawapo anatafutwa hata mchezaji ambaye sio English ili mradi awe na uwezo

Koullibally ni Muingereza? Mbona United walimtaka lakini walipotajiwa bei ya kiwehu (£130m)wakachapa lapa

Wakati dirisha linakaribia kufungwa tulimtaka Dyabala, je huyo ni Muingereza? Tulimtaka Ericksen, je huyo ni Muingereza?

Ligi nyingi tu zina mawinga wazuri lakini United wanaangaalia zaidi premier league proven player in relation to price. Walishanunua akina Depay, Walishanunua akina Fred lakini zili prove kuwa ni transfer mbovu (in relation to price) . Umeona Pepe amekuja kutoka League 1,ana goli 20+ na assist za kutosha, lakini umeona anavyo struggle EPL?

Chris Smalling amepelekwa mkopo Roma, kama kigezo ni Uingereza mbona OGS alikuwa anam prefer Lindelof na Maquire na si Maquire na Smalling au na Jones kwenye defense?

Ushindi wa 2008 wa UCL ulichagizwa na wachezaji mahiri wengi akiwemo CR7 lakini kulikuwa na English players wengi,na vikosi vya SAF vingi vimekuwa hivyo na amepata mafanikio na kama unamuangalia OGS ana copy vitu vingi vya SAF

Kama kwenye kikosi chako haumtaki Maquire, Harry Kane, Sterling, Bissaka, Daniel James, Mount, Sancho eti kisa ni Wachezaji wa kiingereza utakuwa una xenophobia mbaya sana
Mbona hatujasikia approach yenu kwa Right-Wingers wengine kama waliopo sokoni kutoka Ligue 1 etc?


Ukisema kwamba mmechukua UEFA kwa nguvu ya wazawa hilo nitakukatalia sababu ile UEFA yenu ya mwisho CR7 alikuwepo

Pursuits zenu za wazawa mtupu (Longstaff, Rice,Sancho and the like ), halafu subiria Chelsea watoke kifungoni kama Abramovic atakuwa na roho nyeupe by then uone pursuits zao

Yaani hata Arsenal sajili zao ziko vizuri kama wanaamua kuspend, Utd ya sasa wazawa (sio homegrowns to be precise) ndio kipaumbele
 
Kwa hiyo Dyabala wa kipindi kile ni sawa na huyu wa sasa ambaye sina uhakika kama hata yupo kikosi cha Juve cha UCL?
Dyabala si alikuwa aje via swap au nimesahau ? Yote hiyo sababu kocha alikuwa hamtaki Lukaku. Ukitaka kujua jinsi gani Lukaku alikuwa hathaminiki mbele ya OGS fuatilia ameuzwaje,pesa yake ya uhamisho inalipwaje

Sasa Kocha unamthamini Lingard kuliko Lukaku hahahahaha

Maana kama suala ni pesa sidhani kama Juve walikuwa wamuuze. Barca niliwahi sikia waliweka mezani Euro milioni mia moja na hamsini €150m wamchukue Dyabala ila hiyo pesa ilikataliwa na Juve

Kocha anasema Lingard ana imani nae sana na atamtegemea sana hahahahahhahahaha
 
Kitu kinachonifanya niwadharau Liverpool ni Man Utd kutoka kuwa na makombe 7 ya EPL na wao wakiwa na makombe 18 halafu sasa hivi wana EPL hizo hizo 18 na United wana 20

Hawa jamaa ndio maana kwenye baadhi ya kumbi wapo 4, halafu mechi zikiwa nyingi game zao hazioneshwi
 
Kitu kinachonifanya niwadharau Liverpool ni Man Utd kutoka kuwa na makombe 7 ya EPL na wao wakiwa na makombe 18 halafu sasa hivi wana EPL hizo hizo 18 na United wana 20

Hawa jamaa ndio maana kwenye baadhi ya kumbi wapo 4, halafu mechi zikiwa nyingi game zao hazioneshwi
TROPHY
Liverpool 43
Manchester United 42
It's official Liverpool are more success than Manchester United .
Endeleeni kupiga kelele tu.
 
Back
Top Bottom