Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Seems darmian nae anaondoka.bora waende tu kwanza kuliko kuendelea kubaki maana mtu kama Darmian tangu aje mpaka leo tunasikia tu tetesi za yeye kuuzwa ila msimu ukianza tupo nae
Seems darmian nae anaondoka.bora waende tu kwanza kuliko kuendelea kubaki maana mtu kama Darmian tangu aje mpaka leo tunasikia tu tetesi za yeye kuuzwa ila msimu ukianza tupo nae
kwani una matumaini ya ubingwa kwa hii miaka mitatu ijayo? mbona Solskjæl anasemaga kila siku kuhusu hiloKwa mwendo huu ubingwa utakuwa upo mbali sana
Lukaku amebulk upI know players anaowataka OGS ni ngumu kuwapata hana ushawishi sana na timu haiko Champions League but alipaswa kutafuta short time solution kulikuwa kuna free agent wengi ambao hawahitaji mishahara mikubwa na wangesaidia kwa kipindi hichi (LLorente,Ribery,)tatizo timu ikifanya vibaya Woodward/Glazer hawatamwacha watamfukuza
Issue ya uzito ni propaganda za Waingereza (GNeville ndio alianzisha story), mashabiki wamekuja kumchukia baada ya yeye kuanza kujibu hizo shutuma.Luke Shaw misimu karibu yote tangu atue United ni overweight but huwezi kusikia kina GNeville wanamponda sababu ni kijana wao.Pogba alivyokosa penati GNeville alianza kumponda but alivyokosa Rashford akabadilisha gia
Lukaku amechemsha United last season sababu makocha wameshindwa kutengeneza mfumo wa kumfanya afunge magoli mengi,Hatuna wingers wanaopiga krosi na one of the streghth za Lukaku ni mipira ya juu na muda mwingi alikuwa anakuwa isolated peke yake
Game ya away against PSG Lukaku alidhihirisha anaweza kucheza formation ya OGS (4-3-3) I think ulimuona alivyo-press.The same player ambaye ana 104 kg alikuwa akicheza Belgium anafunga magoli (kuanzia 2018-2019 kacheza mechi 16 kafunga magoli 17)
Shida sisi mashabiki muda mwingine tunakua tunaangalia mambo juujuu tu..-Uingereza lingard toka apate namba man u anaitwa, na sio tu kuitwa anacheza,
-van Gaal alikuwa anamkubali Sana
-mourinho alikuwa anamkubali sana
-ole pia anamkubali Sana
Kama walimu 4 tofauti kila mmoja anamuona Ni mchezaji mzuri kuanza Kuna Jambo pengine hujaliona
Nakubali Lingard sio top player Ila usi mu underestimate jamaa ana skills za kipekee, na attribute yake kubwa Ni off the ball, akiwa Hana mpira Ni hatari zaidi kuliko akiwa na mpira.
Rudiger >>>>>>LindelofDegea >kepa
Lindelof>Christensen/Rudiger
Maguire> Zouma/Rudiger
Shaw < Emerson/Alonso
Bissaka< Cezar
Scot Joginho/kante
Pogba> Kovacic
Lingard pulisic
Rashford Martial Greenwood> Tammy Abraham
Kimsingi hizi timu hazitofautiani sana ila Chelsea kwa ubora wa mchezaji mmoja mmoja wanaweza kuwa juu ya.united kwa mbali tu.
Toka lini Scott McTominay awe level moja na Jorginho achilia mbali Kante, Ngolo?Degea >kepa
Lindelof>Christensen/Rudiger
Maguire> Zouma/Rudiger
Shaw < Emerson/Alonso
Bissaka< Cezar
Scot Joginho/kante
Pogba> Kovacic
Lingard pulisic
Rashford Martial Greenwood> Tammy Abraham
Kimsingi hizi timu hazitofautiani sana ila Chelsea kwa ubora wa mchezaji mmoja mmoja wanaweza kuwa juu ya.united kwa mbali tu.
Rudiger >>>>>>Lindelof
Lindelof kiwango bado sana
Hakuna kitu Rudiger anachomzidi Lindelof,,ukaachana na urefu na aggresiveness isiyokuwa na maanaRudiger >>>>>>Lindelof
Lindelof kiwango bado sana
That is your opinion and am respecting that. Hata mimi pia ninayo maoni yangu juu ya weak Arsenal lakini nitakueleza kwako.Mm naamin Chelsea kwa kikosi chenu mtamaliza nafas ya 10
Hahahaa.. AnajisahaulishaGarasa Luiz tumeliondoa.
Hahaha hichi kichekesho utakipata kwa kupiga namba 099967345Hakuna kitu Rudiger anachomzidi Lindelof,,ukaachana na urefu na aggresiveness isiyokuwa na maana






Juventus imeizidi Man United kwa wafuasi katika mtandao wa Instagram. Tangu Ronaldo atue Juventus timu hiyo imeongeza wafuasi milioni 20 hivyo kufikisha Mil 31.1 na kuiacha United yenye wafuasi Mil 31. Ronaldo mwenyewe ana wafuasi Mil 181.
-Uingereza lingard toka apate namba man u anaitwa, na sio tu kuitwa anacheza,
-van Gaal alikuwa anamkubali Sana
-mourinho alikuwa anamkubali sana
-ole pia anamkubali Sana
Kama walimu 4 tofauti kila mmoja anamuona Ni mchezaji mzuri kuanza Kuna Jambo pengine hujaliona
Nakubali Lingard sio top player Ila usi mu underestimate jamaa ana skills za kipekee, na attribute yake kubwa Ni off the ball, akiwa Hana mpira Ni hatari zaidi kuliko akiwa na mpira.
Hahaha eti akiwa hana mpira ni hatari zaidi.....kaka jiangalie kwenye kioo halafu sema mimi ni stupid






..
Watakuwa kina shaffih dauda , ukweli hata ww unaujua mkikaza mtamaliza 8-10Wachambuzi wameiweka Chelsea kumaliza ndani ya top four kwa vigezo na Arsenal kumaliza nje ya top four
Kwa watazamaji tu wa mpira hii ni ngumu sana kuielewa, lakini kwa wale wapenzi wa soka wanaoangalia soka kwa jicho la 3 wanaielewa vizuri hii..
Natamani kweli jamaa atuambie hatari ya bila kua na mpira
Umeelezea vizuri sana. Asipo kuelewa basi achana naye, usipoteze nguvu ya kumuelewesha.Kwa watazamaji tu wa mpira hii ni ngumu sana kuielewa, lakini kwa wale wapenzi wa soka wanaoangalia soka kwa jicho la 3 wanaielewa vizuri hii
Ngoja nijaribu kukuelewesha
Miaka ya nyuma mchango wa mchezaji especially mchezaji wa mbele ulikuwa unaangaliwa zaidi pale mchezaji alipokuwa na mpira (hapa tunaongelea ku dribble, kutoa pasi, kufunga na kadhalika)
Miaka ya hivi karibuni Baada ya mpira kuwa na ufundi mwingi (hapa naongelea tactics na sio technics) movement za Wachezaji bila mpira zikaonekana ni muhimu kama zilivyo movement za mchezaji akiwa na mpira
Tunaposema mchango wa mchezaji bila mpira, hapa tunaongelea movement za mchezaji, sio kusimama sehemu moja kusubiri upewe pasi, kukimbia huku na kule ili umpe options nyingi mtoa pasi (Teamate wako mwenye mpira kwa wakati huo), kukimbia huku na kule ili uwachanganye mabeki wasijue wamkabe nani maana wakikufuata wewe pasi anapewa mchezaji mwingine na wakimkaba mwingine pasi unapewa wewe unafunga. Hapa ninaongelea timu kuwa DYNAMIC na sio PREDICTABLE.
Pia movement bila mpira inahusisha kukaba/pressing kuanzia juu/kwa wapinzani ambapo hii kazi sio kila mchezaji duniani anaiweza. Lakini movement bila mpira, kama umewahi kucheza mpira wa basketi utanielewa zaidi, unakuta mchezaji anakaa Njiani kimakusudi ili beki asipite kuzuia, na hii mbinu inatumiwa sana na Barca na City kwa sasa (mfano rahisi ni kama kona zinapopigwa halafu foward anakaa mbele ya kipa, sasa hii ipo hata mchezo unapoendelea katikati ya uwanjani) .
Tukirudi kwa Jesse, changamoto aliyonayo ni kutochangia sana timu yake ikiwa na mpira na kwenye hili anapaswa kurekebisha lakini kuna kazi kubwa sana anayoifanya bila mpira
Nicheke tena na mimi Mkuu
Sidhani kama kuna mtu atakuwa hajakuelewa hapa..itakuwa ni kiburi tuKwa watazamaji tu wa mpira hii ni ngumu sana kuielewa, lakini kwa wale wapenzi wa soka wanaoangalia soka kwa jicho la 3 wanaielewa vizuri hii
Ngoja nijaribu kukuelewesha
Miaka ya nyuma mchango wa mchezaji especially mchezaji wa mbele ulikuwa unaangaliwa zaidi pale mchezaji alipokuwa na mpira (hapa tunaongelea ku dribble, kutoa pasi, kufunga na kadhalika)
Miaka ya hivi karibuni Baada ya mpira kuwa na ufundi mwingi (hapa naongelea tactics na sio technics) movement za Wachezaji bila mpira zikaonekana ni muhimu kama zilivyo movement za mchezaji akiwa na mpira
Tunaposema mchango wa mchezaji bila mpira, hapa tunaongelea movement za mchezaji, sio kusimama sehemu moja kusubiri upewe pasi, kukimbia huku na kule ili umpe options nyingi mtoa pasi (Teamate wako mwenye mpira kwa wakati huo), kukimbia huku na kule ili uwachanganye mabeki wasijue wamkabe nani maana wakikufuata wewe pasi anapewa mchezaji mwingine na wakimkaba mwingine pasi unapewa wewe unafunga. Hapa ninaongelea timu kuwa DYNAMIC na sio PREDICTABLE.
Pia movement bila mpira inahusisha kukaba/pressing kuanzia juu/kwa wapinzani ambapo hii kazi sio kila mchezaji duniani anaiweza. Lakini movement bila mpira, kama umewahi kucheza mpira wa basketi utanielewa zaidi, unakuta mchezaji anakaa Njiani kimakusudi ili beki asipite kuzuia, na hii mbinu inatumiwa sana na Barca na City kwa sasa (mfano rahisi ni kama kona zinapopigwa halafu foward anakaa mbele ya kipa, sasa hii ipo hata mchezo unapoendelea katikati ya uwanjani) .
Tukirudi kwa Jesse, changamoto aliyonayo ni kutochangia sana timu yake ikiwa na mpira na kwenye hili anapaswa kurekebisha lakini kuna kazi kubwa sana anayoifanya bila mpira
Nicheke tena na mimi Mkuu