The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,136
- 8,005
Timu haiwezi kwenda na vitoto tu, nilitegemea aingie matic baada ya kutoka lungard, ili pogba apande juu na matic aende chini, nikashangaa kitoto kinaingizwa.
UBAYA WQ VITOTO, VINACHEZA VIZURI GAME MOJA, VINAHARIBU GEMU NNE.
ole at the wheel
UBAYA WQ VITOTO, VINACHEZA VIZURI GAME MOJA, VINAHARIBU GEMU NNE.
ole at the wheel
Ila huyu mtoto ana akili sana na analijua goli, shida ipo kwa Ole na upangaji wake tu.
Hivi ni kweli kwamba Matic ndio ameisha kabisa?


