Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kesho mapema tu

14:30 EAT

Vs Saints

We need to win this,atleast tuende kwenye international break vizuri..

My starting eleven prediction

De Gea

Bissaka Lindelof Maguire Young

Perreira McTominay

Greenwood Pogba James

Rashford
 
-Uingereza lingard toka apate namba man u anaitwa, na sio tu kuitwa anacheza,
-van Gaal alikuwa anamkubali Sana
-mourinho alikuwa anamkubali sana
-ole pia anamkubali Sana

Kama walimu 4 tofauti kila mmoja anamuona Ni mchezaji mzuri kuanza Kuna Jambo pengine hujaliona


Nakubali Lingard sio top player Ila usi mu underestimate jamaa ana skills za kipekee, na attribute yake kubwa Ni off the ball, akiwa Hana mpira Ni hatari zaidi kuliko akiwa na mpira.
Sikatai cheif,ila mchezaji wa kaliba yake lazima awe na mchango kwenye team kama sio ku score basi ku assisst,sasa yeye mara ya mwisho kufunga àu kuassist ilikua Dec 2018 akifunga goli 3 kwa style hiyo unadhani anafaa kuendelea kuanza au kucheza kisa tu amekubalika na walimu wote wa 4 ikiwemo UK?enzi za SAF haikua rahisi play maker kucheza miezi 8 bila kuscore wala kuassist ndo maana hata kina Ole walikua wanatokea sub na rating zao zilikua nzuri haipiti mechi 5 bila kuscore au kuassisst.Lingard ukitoa MU hakuna team nyingine kati ya big 6 anayoweza ruhusiwa kufanya hata mazoezi. Angalia Leicester kuna Maddison,City kuna Bruyne,etc..Lingard ni mchezaji wa hovyo kuwahi kucheza MU bora hata Obertain
 
Kesho mapema tu

14:30 EAT

Vs Saints

We need to win this,atleast tuende kwenye international break vizuri..

My starting eleven prediction

De Gea

Bissaka Lindelof Maguire Young

Perreira McTominay

Greenwood Pogba James

Rashford
Kunamtu humu alisema alhmisi tunacheza europa halafu mechiya southampton inachezwa jumapili
 
Ratiba za makundi UEFA zimetoka. Nyie mnashiriki mashindano gani ya Ulaya?
 
Sikatai cheif,ila mchezaji wa kaliba yake lazima awe na mchango kwenye team kama sio ku score basi ku assisst,sasa yeye mara ya mwisho kufunga àu kuassist ilikua Dec 2018 akifunga goli 3 kwa style hiyo unadhani anafaa kuendelea kuanza au kucheza kisa tu amekubalika na walimu wote wa 4 ikiwemo UK?enzi za SAF haikua rahisi play maker kucheza miezi 8 bila kuscore wala kuassist ndo maana hata kina Ole walikua wanatokea sub na rating zao zilikua nzuri haipiti mechi 5 bila kuscore au kuassisst.Lingard ukitoa MU hakuna team nyingine kati ya big 6 anayoweza ruhusiwa kufanya hata mazoezi. Angalia Leicester kuna Maddison,City kuna Bruyne,etc..Lingard ni mchezaji wa hovyo kuwahi kucheza MU bora hata Obertain
Mkuu lingard kwa Ferguson alikuwa anaitwa ji Sung park,Huyu jamaa kwenye mechi 204 ana goli 28 na assist 29 tu. Kwa msimu anakupa goli 6 ama chini ya Hapo na assist hivyo hivyo. Ila goli zake Ni muhimu na kwenye mechi kubwa zaidi ana umuhimu zaidi.

Lingard yupo hivyo hivyo, unafahamu mkuu makombe yote ya ligi tuliocheza Wembley Ni lingard alietupa?
1. Fainali dhidi ya Crystal palace Ni lingard aliefunga goli la ushindi na tukachukua kombe Wembley
2. Fainali dhidi ya Southampton Ni lingard kafunga goli la ushindi na kuchukua kombe wembley
3. Fainali ya community shield Ni lingard kafunga goli la ushindi dhidi ya Leicester Wembley.

Hajafunga fainali dhidi ya Chelsea tu, so fikiria tunacheza fainali 4 mchezaji mmoja anafunga fainali 3 Tena goli la ushindi huoni Mchango wake?

Ukitoa Hapo pia jamaa anafunga Sana big matches,
Jamaa ana goli 17 tu premier league lakini goli 6 Ni against top teams Kama Arsenal, Liverpool na Chelsea.

Wewe unamuona mbaya sababu Hana mtu wa kurotate nae Ila jamaa sio mbaya Kama mnavyosema, na hizo stats zinazosemwa kuhusu jamaa kuto perform toka 2019 ianze ukumbuke lingard aliumia mara 2 Kama sio 3 kipindi Hiko.
 
-Uingereza lingard toka apate namba man u anaitwa, na sio tu kuitwa anacheza,
-van Gaal alikuwa anamkubali Sana
-mourinho alikuwa anamkubali sana
-ole pia anamkubali Sana

Kama walimu 4 tofauti kila mmoja anamuona Ni mchezaji mzuri kuanza Kuna Jambo pengine hujaliona


Nakubali Lingard sio top player Ila usi mu underestimate jamaa ana skills za kipekee, na attribute yake kubwa Ni off the ball, akiwa Hana mpira Ni hatari zaidi kuliko akiwa na mpira.
😂😂😂😂 eh, mchezaji anayekuwa hatari akiwa hana mpira kuliko akiwa nao huyo si ni ibilisi sasa, dah kweli nimeamini lingard ni mchawi, kama kuna mtu anaweza kumtetea kwa namna hii, basi makocha hawana namna nyingine ila kumpanga tuu kwenye first eleven yao.

GGMU
I love this game
 
Sikatai cheif,ila mchezaji wa kaliba yake lazima awe na mchango kwenye team kama sio ku score basi ku assisst,sasa yeye mara ya mwisho kufunga àu kuassist ilikua Dec 2018 akifunga goli 3 kwa style hiyo unadhani anafaa kuendelea kuanza au kucheza kisa tu amekubalika na walimu wote wa 4 ikiwemo UK?enzi za SAF haikua rahisi play maker kucheza miezi 8 bila kuscore wala kuassist ndo maana hata kina Ole walikua wanatokea sub na rating zao zilikua nzuri haipiti mechi 5 bila kuscore au kuassisst.Lingard ukitoa MU hakuna team nyingine kati ya big 6 anayoweza ruhusiwa kufanya hata mazoezi. Angalia Leicester kuna Maddison,City kuna Bruyne,etc..Lingard ni mchezaji wa hovyo kuwahi kucheza MU bora hata Obertain
Utetezi wa wanaomtetea Lingard ni kichekesho

Hata Ma Centerback ngumu sana kufikisha mwaka mzima bila kufunga goli la kichwa au Cross

Lingard magoli na assists amezidiwa hata na Viungo wakabaji, beki za Pembeni
 
Kwa watazamaji tu wa mpira hii ni ngumu sana kuielewa, lakini kwa wale wapenzi wa soka wanaoangalia soka kwa jicho la 3 wanaielewa vizuri hii

Ngoja nijaribu kukuelewesha

Miaka ya nyuma mchango wa mchezaji especially mchezaji wa mbele ulikuwa unaangaliwa zaidi pale mchezaji alipokuwa na mpira (hapa tunaongelea ku dribble, kutoa pasi, kufunga na kadhalika)

Miaka ya hivi karibuni Baada ya mpira kuwa na ufundi mwingi (hapa naongelea tactics na sio technics) movement za Wachezaji bila mpira zikaonekana ni muhimu kama zilivyo movement za mchezaji akiwa na mpira

Tunaposema mchango wa mchezaji bila mpira, hapa tunaongelea movement za mchezaji, sio kusimama sehemu moja kusubiri upewe pasi, kukimbia huku na kule ili umpe options nyingi mtoa pasi (Teamate wako mwenye mpira kwa wakati huo), kukimbia huku na kule ili uwachanganye mabeki wasijue wamkabe nani maana wakikufuata wewe pasi anapewa mchezaji mwingine na wakimkaba mwingine pasi unapewa wewe unafunga. Hapa ninaongelea timu kuwa DYNAMIC na sio PREDICTABLE.

Pia movement bila mpira inahusisha kukaba/pressing kuanzia juu/kwa wapinzani ambapo hii kazi sio kila mchezaji duniani anaiweza. Lakini movement bila mpira, kama umewahi kucheza mpira wa basketi utanielewa zaidi, unakuta mchezaji anakaa Njiani kimakusudi ili beki asipite kuzuia, na hii mbinu inatumiwa sana na Barca na City kwa sasa (mfano rahisi ni kama kona zinapopigwa halafu foward anakaa mbele ya kipa, sasa hii ipo hata mchezo unapoendelea katikati ya uwanjani) .

Tukirudi kwa Jesse, changamoto aliyonayo ni kutochangia sana timu yake ikiwa na mpira na kwenye hili anapaswa kurekebisha lakini kuna kazi kubwa sana anayoifanya bila mpira

Nicheke tena na mimi Mkuu
Kwahiyo kukimbia kimbia tu bila kutoa assisst wala kufunga ina faida gani?basi tungemsajili bolt awe ana kimbia kimbia tu kuwahadaa wapinzani uwanjani.Lingard ni rubbish player
 
Mkuu lingard kwa Ferguson alikuwa anaitwa ji Sung park,Huyu jamaa kwenye mechi 204 ana goli 28 na assist 29 tu. Kwa msimu anakupa goli 6 ama chini ya Hapo na assist hivyo hivyo. Ila goli zake Ni muhimu na kwenye mechi kubwa zaidi ana umuhimu zaidi.

Lingard yupo hivyo hivyo, unafahamu mkuu makombe yote ya ligi tuliocheza Wembley Ni lingard alietupa?
1. Fainali dhidi ya Crystal palace Ni lingard aliefunga goli la ushindi na tukachukua kombe Wembley
2. Fainali dhidi ya Southampton Ni lingard kafunga goli la ushindi na kuchukua kombe wembley
3. Fainali ya community shield Ni lingard kafunga goli la ushindi dhidi ya Leicester Wembley.

Hajafunga fainali dhidi ya Chelsea tu, so fikiria tunacheza fainali 4 mchezaji mmoja anafunga fainali 3 Tena goli la ushindi huoni Mchango wake?

Ukitoa Hapo pia jamaa anafunga Sana big matches,
Jamaa ana goli 17 tu premier league lakini goli 6 Ni against top teams Kama Arsenal, Liverpool na Chelsea.

Wewe unamuona mbaya sababu Hana mtu wa kurotate nae Ila jamaa sio mbaya Kama mnavyosema, na hizo stats zinazosemwa kuhusu jamaa kuto perform toka 2019 ianze ukumbuke lingard aliumia mara 2 Kama sio 3 kipindi Hiko.
Nimekuelewa mkuu,ila JSP alikua anatukosha mashabiki hata kama hafungi ila kuna kitu tunakiona na mchango wake ulikua mkubwa sana sana ambao Lingard hawezi vaa viatu vyake,bado Jess hastahili kuanza MU
 
Utetezi wa wanaomtetea Lingard ni kichekesho

Hata Ma Centerback ngumu sana kufikisha mwaka mzima bila kufunga goli la kichwa au Cross

Lingard magoli na assists amezidiwa hata na Viungo wakabaji, beki za Pembeni
Kuna watu wana mahaba na Lingard hata aharibu vipi bado watu watasema akiwa hana mpira ana madhara zaidi..hahahahah aisee
 
eh, mchezaji anayekuwa hatari akiwa hana mpira kuliko akiwa nao huyo si ni ibilisi sasa, dah kweli nimeamini lingard ni mchawi, kama kuna mtu anaweza kumtetea kwa namna hii, basi makocha hawana namna nyingine ila kumpanga tuu kwenye first eleven yao.

GGMU
I love this game
Hakuna namna apangwe tuu ila ipo siku naye atakufa tu
 
Nimekuelewa mkuu,ila JSP alikua anatukosha mashabiki hata kama hafungi ila kuna kitu tunakiona na mchango wake ulikua mkubwa sana sana ambao Lingard hawezi vaa viatu vyake,bado Jess hastahili kuanza MU
Kuna kipindi(miaka ya 2011 mpaka 2013) mimi na kaka yangu tulikuwa tunachukia kweli kweli tukiona jina la Michael Carrick miongoni mwa watakaocheza siku hiyo. Ajabu hata baada ya sir Alex kustaafu, bado alichezeshwa na makocha waliofuata. Nilikuja kuona umhimu wake alipoumia.
 
Utetezi wa wanaomtetea Lingard ni kichekesho

Hata Ma Centerback ngumu sana kufikisha mwaka mzima bila kufunga goli la kichwa au Cross

Lingard magoli na assists amezidiwa hata na Viungo wakabaji, beki za Pembeni
Si kwamba hafungi kabisa msimu wa juzi ambao alikuwa fit na kucheza wote ana goli 13 na assist 7,

Msimu uliopita ambao aliandamwa na Majeruhi ana Goli 5 na assist 4.
 
Toka lini Scott McTominay awe level moja na Jorginho achilia mbali Kante, Ngolo?

Kante ambae anatembea na mpira na kupita katikati ya msitu wa wachezaji unamtafutia wa kumlinganisha nae dunia hii?
Nimesema kante na Joginho wote ni bora kuliko Scot Mkuu labada alama << nilipitiwa kuiweka tu
 
Press Conference

Ole: Sanchez amekuwa akitaka kwenda Inter, na nina imani akiwa huko kwa mkopo atafanya vizuri na nadhani tutakuwa tukiwaona na Rom wakicheja pamoja

Ole: Zlatan (hahahahaha) angekuwa mwezi ujao anatimiza miaka 28 tungeongea mengine lakini kwa sasa mwezi ujao anatimiza miaka 38. Hata hivyo ana namba yangu, japo hakupanga kwenye nyumba yangu lakini alikuwa na namba yangu. Kama yupo serious atanipigia, tutaongea lugha ya nyumbani.

Ole: Smalling amepata fursa ya kwenda kucheza Italia na sikuweza kumuhakikishia kumpanga mechi nyingi, akiwa huko nina imani atacheza vya kutosha na atakuwa imara zaidi

Ole: Damian anataka kwenda kucheza Italia na Italia kuna timu zinazomuhitaji, hivyo hizi siku zilizobaki kabla ya dirisha la usajili Ulaya halijafungwa itaamuliwa. (Japo aliulizwa kuhusu Rojo kuondoka, hakuliongelea hilo)

Ole: Kuondoka kwa Lukaku na Sanchez kumepunguza washambuliaji lakini hiyo ina maana Martial, Rashford na Greenwood pia watapewa majukumu zaidi. Pia kuna midfielders wengi wanaweza kusaidia mbele, Pereira, Daniel James, Chongy n.k. Kwa sasa Greewod anacheza mechi chache kuliko alizokuwa anacheza msimu uliopita (academy) , sisemi kwamba atacheza mechi tano mfululizo, lakini atapata dakika za kucheza nyingi tu
 
Sikatai cheif,ila mchezaji wa kaliba yake lazima awe na mchango kwenye team kama sio ku score basi ku assisst,sasa yeye mara ya mwisho kufunga àu kuassist ilikua Dec 2018 akifunga goli 3 kwa style hiyo unadhani anafaa kuendelea kuanza au kucheza kisa tu amekubalika na walimu wote wa 4 ikiwemo UK?enzi za SAF haikua rahisi play maker kucheza miezi 8 bila kuscore wala kuassist ndo maana hata kina Ole walikua wanatokea sub na rating zao zilikua nzuri haipiti mechi 5 bila kuscore au kuassisst.Lingard ukitoa MU hakuna team nyingine kati ya big 6 anayoweza ruhusiwa kufanya hata mazoezi. Angalia Leicester kuna Maddison,City kuna Bruyne,etc..Lingard ni mchezaji wa hovyo kuwahi kucheza MU bora hata Obertain
Hahaha Mimi Epl kwa wachezaji wa Kingereza nampenda Delle Alli tu.

James Maddison ni Mzuri sema anavitu vingi sana uwanjani vinavyompunguzia effectiveness yake kwenye kushambulia.
1 siyo mzuri sana kwa counter attack
2 Anakaa sana na Mpira kiasi cha kurahisisha timu pinzani kumkaba.

3 siyo goal getter mzuri sana.
4 siyo mzuri sana accurate passer sana kwenye final third.

By the way Delle Alli ni hatari kuliko hata Sadio Mane
 
Nina uhakika Lingard kwa sasa anakula bakora nyingi kwa kuwa timu haipati matokeo mazuri

Nina uhakika timu ikijakupata matokea Lingard ataonekana kama Iniesta wa Man Utd

Na kupata matokeo mazuri yanasababishwa na timu nzima kucheza vizuri

Nina uhakika Man City ingekuwa haipati matokeo kuna wachezaji tungewaona wa kawaida sana (akina Zichenko, akina Otamendi, akina Rodri labda abadilike mbele ya safari)

Kwa sasa kuna vitu naona Lingard inabidi aongeze ili a improve game yake, lakini haimaanishi ni mbovu kama watu wanavyomsemasema

Nina uhakika matokeo ya mechi zilizopita yametu dis appoint sana, lakini pia nina uhakika kuna mambo madogo madogo ambayo yangetokea/yasingetokea kwenye mechi zilizopita hasa ya Cristal Palace leo hii tungekuwa tunaongea mengine

Martial kuangushwa na Garry Cahil kwenye penalt box, ingetolewa penati na Garry Cahil angepewa kadi ya pili ya njano sidhani kama matokeo yangekuwa yale tuliyopata

Rashford kukosa penalt. Ni jambo linalotokea kwenye soka mchezaji kukosa penalt lakini ni nafasi rahisi ya kufunga kuliko nafasi nyingine yoyote uwanjani hivyo Rashford angetumia nafasi ile leo tungeongea mambo mengine

Martial kuumia dakika za mwishoni na kufanya United inayohitaji goli la kuongeza kubaki na watu 9 uwanjani

Kuna watu watasema ndio mpira ulivyo, nakubaliana nao. Lakini kwa mechi iliyopita ni kwamba hatukuwa na bahati na si kuzidiwa kiwango
 
Back
Top Bottom