Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Walimuongeza mkataba Jones wakaacha kumuongeza Smalling ambaye hana injury record lakini pia ni experienced kuliko huyo Axel na Baily
Wote waliongezwa mkataba, Jones na Smalling Mkuu

Ila Jones alipaswa kuwa wa kwanza kutolewa kabla ya Smalling (Itakuwa wateja wamekosekana)

Nadhani Rojo haondoki sababu ya cover ya left back na kati sio mnajua Shaw ana miguu ya glass
 
Wote waliongezwa mkataba, Jones na Smalling Mkuu

Ila Jones alipaswa kuwa wa kwanza kutolewa kabla ya Smalling (Itakuwa wateja wamekosekana)

Nadhani Rojo haondoki sababu ya cover ya left back na kati sio mnajua Shaw ana miguu ya glass
Yeah hapo sawa
 
Ilikuwaje wakawapa mikataba wakati walikuwa wanampango wa kuwaondoa deadwoods ?
Possibly sababu kwa umri wao (Jones 27,Smalling 29) bado wana resale value

Kwa hiyo badala ya kuruhusu mikataba yao iishe na kisha kuondoka bure, waliona bora wawape mkataba ili wateja wakijitokeza United apate angalau kamchuzi

Timu kama Everton, Westham, Burnley zinaweza kutupa hata £10 au £15 million, sio mbaya (Ndio maana Glazers wanampenda Ed )
 
Possibly sababu kwa umri wao (Jones 27,Smalling 29) bado wana resale value

Kwa hiyo badala ya kuruhusu mikataba yao iishe na kisha kuondoka bure, waliona bora wawape mkataba ili wateja wakijitokeza United apate angalau kamchuzi

Timu kama Everton, Westham, Burnley zinaweza kutupa hata £10 au £15 million, sio mbaya (Ndio maana Glazers wanampenda Ed )
Kuna timu ya epl inaweza kumnunua Phil Jones kweli ?
 
Iyo mistari yako ya mwisho soma tena halafu jiangalie kwenye kioo useme mimi ni stupid......
Kwa umri aliofikia unategemea atabadilika tena kweli?????
Kwa watazamaji tu wa mpira hii ni ngumu sana kuielewa, lakini kwa wale wapenzi wa soka wanaoangalia soka kwa jicho la 3 wanaielewa vizuri hii

Ngoja nijaribu kukuelewesha

Miaka ya nyuma mchango wa mchezaji especially mchezaji wa mbele ulikuwa unaangaliwa zaidi pale mchezaji alipokuwa na mpira (hapa tunaongelea ku dribble, kutoa pasi, kufunga na kadhalika)

Miaka ya hivi karibuni Baada ya mpira kuwa na ufundi mwingi (hapa naongelea tactics na sio technics) movement za Wachezaji bila mpira zikaonekana ni muhimu kama zilivyo movement za mchezaji akiwa na mpira

Tunaposema mchango wa mchezaji bila mpira, hapa tunaongelea movement za mchezaji, sio kusimama sehemu moja kusubiri upewe pasi, kukimbia huku na kule ili umpe options nyingi mtoa pasi (Teamate wako mwenye mpira kwa wakati huo), kukimbia huku na kule ili uwachanganye mabeki wasijue wamkabe nani maana wakikufuata wewe pasi anapewa mchezaji mwingine na wakimkaba mwingine pasi unapewa wewe unafunga. Hapa ninaongelea timu kuwa DYNAMIC na sio PREDICTABLE.

Pia movement bila mpira inahusisha kukaba/pressing kuanzia juu/kwa wapinzani ambapo hii kazi sio kila mchezaji duniani anaiweza. Lakini movement bila mpira, kama umewahi kucheza mpira wa basketi utanielewa zaidi, unakuta mchezaji anakaa Njiani kimakusudi ili beki asipite kuzuia, na hii mbinu inatumiwa sana na Barca na City kwa sasa (mfano rahisi ni kama kona zinapopigwa halafu foward anakaa mbele ya kipa, sasa hii ipo hata mchezo unapoendelea katikati ya uwanjani) .

Tukirudi kwa Jesse, changamoto aliyonayo ni kutochangia sana timu yake ikiwa na mpira na kwenye hili anapaswa kurekebisha lakini kuna kazi kubwa sana anayoifanya bila mpira

Nicheke tena na mimi Mkuu
 
Usipate shida weka statistics mpaka sasa kacheza game ngapi ana assist ngapi goli kafunga ngapi
Mkuu lingard kwa Ferguson alikuwa anaitwa ji Sung park,Huyu jamaa kwenye mechi 204 ana goli 28 na assist 29 tu. Kwa msimu anakupa goli 6 ama chini ya Hapo na assist hivyo hivyo. Ila goli zake Ni muhimu na kwenye mechi kubwa zaidi ana umuhimu zaidi.

Lingard yupo hivyo hivyo, unafahamu mkuu makombe yote ya ligi tuliocheza Wembley Ni lingard alietupa?
1. Fainali dhidi ya Crystal palace Ni lingard aliefunga goli la ushindi na tukachukua kombe Wembley
2. Fainali dhidi ya Southampton Ni lingard kafunga goli la ushindi na kuchukua kombe wembley
3. Fainali ya community shield Ni lingard kafunga goli la ushindi dhidi ya Leicester Wembley.

Hajafunga fainali dhidi ya Chelsea tu, so fikiria tunacheza fainali 4 mchezaji mmoja anafunga fainali 3 Tena goli la ushindi huoni Mchango wake?

Ukitoa Hapo pia jamaa anafunga Sana big matches,
Jamaa ana goli 17 tu premier league lakini goli 6 Ni against top teams Kama Arsenal, Liverpool na Chelsea.

Wewe unamuona mbaya sababu Hana mtu wa kurotate nae Ila jamaa sio mbaya Kama mnavyosema, na hizo stats zinazosemwa kuhusu jamaa kuto perform toka 2019 ianze ukumbuke lingard aliumia mara 2 Kama sio 3 kipindi Hiko.
 
Wew na kaka mjiangalie kwenye kioo halafu mseme kimoyomoyo sie ni stupid....
Kuna kipindi(miaka ya 2011 mpaka 2013) mimi na kaka yangu tulikuwa tunachukia kweli kweli tukiona jina la Michael Carrick miongoni mwa watakaocheza siku hiyo. Ajabu hata baada ya sir Alex kustaafu, bado alichezeshwa na makocha waliofuata. Nilikuja kuona umhimu wake alipoumia.
 
Iyo mistari yako ya mwisho soma tena halafu jiangalie kwenye kioo useme mimi ni stupid......
Kwa umri aliofikia unategemea atabadilika tena kweli?????
Nilitaka nikupuuze kutokana majibu yako kuwa na matusi lakini ili kukusaidia wewe na wengine ngoja niseme yafuatayo

Lingard sio mbaya kiivyo kama unavyotaka kutuaminisha, Chief Mkwawa amekupa Stats zinazoonesha kuna msimu alikuwa na assist 7 na magoli ya kutosha tu

Lakini pia Chief ameonesha kwamba Lingard amekuwa ni mchezaji muhimu sana katika mechi kubwa na muhimu kwa kufunga na ku assist (Kuna usemi unasema kwamba Wembley ni dancing floor ya Lingard, na wote tunaua pale Wembley zinachezwa mechi kubwa kubwa tu)

Tu assume kiwango cha Lingard ni duni kwa sasa, je ni kweli hawezi kuwa bora kwa kuwa umri umepita? Si kweli.

Umewahi kusikia concept ya late developers? Unajua Drogba, Miroslav Klose, Luca Tony, Vardy n.k wametamba baada ya kufikisha miaka mingapi? Unajua Zidane hakuwika akiwa na miaka 21 au 22? Unafahamu Erick Cantona anayeitwa Mfalme na mashabiki wa United aliudhihirisha ufalme wake akiwa na umri gani?
 
Virgil Van Dijk was the most expensive defender last year and won the UEFA mens player of the year award!

Over to you Harry Maguire.

Liverpool bana mnamatatizo sana kwamba bale kwa ile pesa alitakiwa kushinda uchezaji bora wa dunia?
 
Wote waliongezwa mkataba, Jones na Smalling Mkuu

Ila Jones alipaswa kuwa wa kwanza kutolewa kabla ya Smalling (Itakuwa wateja wamekosekana)

Nadhani Rojo haondoki sababu ya cover ya left back na kati sio mnajua Shaw ana miguu ya glass

Mi mwenyewe naona kwa smalling kidogo tumekurupuka hii safar ilikuwa ya jones kwanza
 
Wew na kaka mjiangalie kwenye kioo halafu mseme kimoyomoyo sie ni stupid....
Hahahaha, inabidi nawe ujiangalie kwenye kioo na useme Mimi Ni stupid kwa kumdharau Lingard wakati makocha wanne wamemkubali.
 
Utetezi wa wanaomtetea Lingard ni kichekesho

Hata Ma Centerback ngumu sana kufikisha mwaka mzima bila kufunga goli la kichwa au Cross

Lingard magoli na assists amezidiwa hata na Viungo wakabaji, beki za Pembeni

Mi siwezi kutetea mzigo timu inataka magoli na ufundi eneo la mwisho la ufungahi wao wanatuambia ni hatar asipokuwa na mpira sasa anacheza mpira upi ikiwa hagusi mpira? 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom