Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,143
Poleni sna
wewe jamaa haujielewi yaani guadiora anunue iyo takataka James si Bora amnunue James milina au iddy kipangwile
Watu wenye lugha za hovyo kama wewe hapa jukwaani wapo wengi sana mkuu, wengi nimeamua kuwa-ignore sioni michango yao. Ukitoka hapa nenda nyumbani kwenu ukale na kunywa ikiwa kama ishara ya kusherehekea kujibiwa na mimi. Natambua fika una tatizo la kimalezi na ni ngumu sana kurudi kwa wazazi wako warudie upya kukulea. Humu kuna mashabiki kindakindaki ambao huwa tunabishana na kutaniana sana kama akina Ollachuga Oc King Ngwaba Aaron huwa tunafanya hivyo huku tukiheshimiana sana. |
Kosa kubwa sana kumruhusu lukaku aondoke bila replacementNajiuliza had muda huu huyu kocha alianzaje kumuacha lukaku toka siku ya kwanza anauzwa niliumia sana najua umuhimu nikiangalia mipira ya juu anavyocheza halafu uje na genge letu tofaut mipira ya juu imechezwa na pogba + maguire zile foward wala hazijagusa
James pumbavu sana tulikuwa tunachota mafuta japo kwa tabu na taratibu si kaenda kuchomoa betri daaaa
Ila huyu mtoto ana akili sana na analijua goli, shida ipo kwa Ole na upangaji wake tu. Hivi ni kweli kwamba Matic ndio ameisha kabisa? |
Inasikitisha sana.Nilishangaa sana kumuuza lukaku sina cha kwa mwambia solskjaer tunakaa kimya tu
Na tuliwaambi shida ya hii timu sio mourinho ni mfumo watu walionaga kama fala hivi mourinho hawez kumwacha herrera asepe kisha umpange pogba na scott
Martial kaumia shaw kaumia rashford na martial kama tunavyowajua mech 5 goli 1
Namuonea huruma pogba tunaua kiwango chake huzuni sana
Mkuu mbona kama mna-panic?? Jamaa si anatania tu hapo??
Watu wenye lugha za hovyo kama wewe hapa jukwaani wapo wengi sana mkuu, wengi nimeamua kuwa-ignore sioni michango yao.
Ukitoka hapa nenda nyumbani kwenu ukale na kunywa ikiwa kama ishara ya kusherehekea kujibiwa na mimi.
Natambua fika una tatizo la kimalezi na ni ngumu sana kurudi kwa wazazi wako warudie upya kukulea.
Humu kuna mashabiki kindakindaki ambao huwa tunabishana na kutaniana sana kama akina Ollachuga Oc King Ngwaba Aaron huwa tunafanya hivyo huku tukiheshimiana sana.
Bado kuna mtu analalamikia midfield ya Pogba na Tominay. Shida yetu kubwa ni forward line. Hatuna namba 10 aliyewiva na one winger.
Namuonea huruma pogba tunaua kiwango chake huzuni sana
Ni kweli kabisa Chelsea tulibahatisha tu ushindi..Chelsea tiliwabahatisha
Daaah yani acha tu mkuu hivi Chelsea tulimfingaje zile nne? mim naona wakina rashid na lingad wamesharizika na ule ushindi wetu dhidi ya Chelsea ivyo wanaruka ruka tu ili muda uende..
Tutamlaumu bure De Gea wa watu mkuu, timu hamna hapa.
Timu ina wachezaji wachache sana wanaocheza kikazi na kwa uchungu. Hapa hamna kutu, sijui tulimuotea vipi Chelsea.
Hahahahahahahahahaha sisi man united tunasema tumecheza na timu kubwaaaaHahahahahahahahah na leo umecheza na timu kubwa sio.





