3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Kesho au leo mkuu?Kesho tunapiga mtu 4G au mkono
Kesho au leo mkuu?Kesho tunapiga mtu 4G au mkono
Naunga mkono hojaMy starting Lineup vs Crystal Palace
De Gea
Bissaka Lindelof Maguire Shaw
Pogba McTominay
James Lingard Rashford
Martial
Sioni sababu ya sisi kukosa point tatu na perfomance nzuri..GGMU
Hakuna kitu yule kijana si mtu sahihi kwa timu yetu. Alishaonyesha altitude hyo tangu bado mtotoKwa upande wangu sijaona kosa la kunamtoa pogba kuna kiungo mwingine pale wa kuitembeza timu?
Pogba mpira anaujua sema anataka kuondoka kwa kuwa anajua timu anayoitumia ya kawaida kupata mafannikio huenda ikawa ngumu
Huwez kuniambia moyo wake upo safi kucheza na scott,lingard,martial na rashford angalia top 5 timu za ulaya toka namba 6 hadi 11 kisha angalia manchester united
Hivyo vitoto huwa ni vya kuingia sub kupata uzoefu jana timu ilihitaji sub ya striker mwingine unaona kabisa martial na rashford kwisha ujuz wao wote pogba anafanyaje?
Penat kila mchezaj anakosa penat huwa goli had iiingie kambani
Kijana yupo juu ya timu yetu tuvumilie tu japo ile penati kwa moyo wangu wote sitamlaumu mana alipiga bila ya Yale madoido yakeHalafu ameenda kumuomba Rashford wakati halikuwa jukumu lake. Naona katabia ka aliyefanyiwa rafu ndio apige penalty kanataka kuota mizizi.
Paul ni zaidi ya Man United kwa sasa,inabidi tuwe wapole tu.Jana OGS kasema wapiga penati aliowapa jukumu wapige ni Rashy na Paul
Lakini naona kama anamtetea Paul kiaina
By the way, msimu wa mwaka jana tu Paul amekosa penati takribani 4, kwahiyo si mpiga penati mzuri kiivyo
Nadhani United wana wapiga penati wengi wazuri kuliko Paul, lakini kwa sababu Paul ni Paul..... Always ata act kama Paul
Ha ha eti hiyo kazi sifanyi mimi
Hebu acha vituko mkuu,unataka sasa tuanze kujadili madhanio? Kwamba hata angepiga Rashford au Martial wangekosa kama Pogba? Hiyo kazi sifanyi mimi.
Hata hivyo,Rashford ni bora zaidi kwa hiyo kazi hasa ukiangalia mikwaju aliyowahi kupiga na ilikuwa na presha kiasi gani.
Nipe idadi ya penalty alizowahi kukosa Rashford nami nitakupa alizokosa Pogba.
Kwa Lingard angecheza hata Perreira. Anyway kocha anajua strength na weak pint ya kila mchezajiMy starting Lineup vs Crystal Palace
De Gea
Bissaka Lindelof Maguire Shaw
Pogba McTominay
James Lingard Rashford
Martial
Sioni sababu ya sisi kukosa point tatu na perfomance nzuri..GGMU
Utakuwa ulikuwa unacheka wakati unaandikaNasema iviii "Dah Lukaku bonge la straika mutajuta sana"
Kikosi official hakijatoka bado..huwa kinatoka one hour before kickoff..Kwa Lingard angecheza hata Perreira. Anyway kocha anajua strength na weak pint ya kila mchezaji
samata anajua sana kuliko lingard
EPL anacheza Hadi Antonio wa westham na Hana controlSi angecheza Epl mkuu? Kuna vitu anakosa ila sio mbovu
Tunakumbushana tu
Msimu uliopita United dhidi ya Chelsea nyumbani, Wolves away na Cristal Palace nyumbani tulivuna jumla ya pointi 2 (tuli draw na Chelsea, tulipigwa na Wolves na tuka draw na Cristal Palace
So far katika fixtures zetu na hizo timu, tuna points 4 na kiporo cha Cristal Palace
Kuna watu hawataipenda hii taarifa
Time will tell what??,,wakati tayari muda ni kama ushasema kuhusiana na hizo mechi in relation to last seasonTime Will Tell
subiri zaha akupapase kinyeoTangu Pre Season kumetokea waganga njaa wengi , wakiwemo mashabiki Wa United wakipiga ramli kuwa timu Yetu ingekula vipigo bandika bandua ...
Tulionyana humu hizo ni ramli chochezi ... Sasa naona ramli zinazidi kuendelezwa na mashabiki wa timu pinzani wakiungwa mkono na Genge Dogo la mabaki ya nduli morinho lililobaki kwenye viunga vya old Trafford ..
Hili Genge nalikumbusha kuwa tumecheza mechi mbili na tuna pointi 4 ...
Sasa endeleeni kuchoma ubani na kuvunja Nazi timu ifanye vibaya ..
Nawakumbusha Next point ni Crystal Palace pelekeni habari moto atakaoupata itakuwa ujumbe kwa wazandiki wote kuwa "Tumewashaaaa"
Nawatakia Weekend Njema..