Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naihurumia united yangu siku nitakayokutana na livapool ...
Bora mou alifungwa 3-1 ila huyu kocha wa leo 6 zinamuhusu
 
Ss man u mna lalama nini mbona msimu mmetumia maela ya kutosha kusajili je mngekuwa mmefungiwa kama chelsea ingekuwaje
 
OGS anarudia kufanya tactical mistake mechi ya tatu mfululizo na kibaya zaidi yeye bado hajaona kama ni tatizo

Mechi zote ametumia mfumo wa 4-2-3-1 ambao unamfanya Pogba(creative player) anacheza nyuma na timu ina-struggle kutengeneza nafasi licha ya kumiliki mpira kwa sababu anakuwa anacheza kama DM .Game vs Chelsea tulikuwa na advantage alinza Pereira ambaye yeye kiungo so muda mwingi alikuwa anarudi kusaidia kukaba kukamfanya Pogba akawa free na kutengeneza nafasi nyingi ,mechi zilizofuatia badala ya Perreira ameanza James ambaye sio kiungo ni winga so harudi kusaidia kukaba na kuwapa mzigo mzito viungo (Pogba,McTominay) na tumecheza na timu zinazocheza mpira wa nguvu kwa sasa James anafaa awe anaingia second half.
Pia wakati mwingine anapaswa kuswich 4-3-3 ambayo aliicheza msimu uliopita na kujaribu kuwapa nafasi Fred na Matic
 
Ina maana ule msimu wa van gaal huyu dogo hajafunga
Vp ile fainali na crystal palace vp lile goli na everton
Lingard msimu 2018 - goals 4 Assist 4

msimu 2017 - goals 0 Assist 0
msimu 2016 - goals 0 Assist 0
msimu 2015 - goals 0 Assist 0
msimu 2014 - goals 0 Assist 0
msimu 2013 - goals 0 Assist 0
msimu 2012 - goals 0 Assist 0
msimu 2011 - goals 0 Assist 0
msimu 2010 - goals 0 Assist 0
msimu 2009 - goals 0 Assist 0
msimu 2008 - goals 0 Assist 0
msimu 2007 - goals 0 Assist 0
 
√Huu ni utani..tunafungwa na Palace nyumbani..WTF

√Kuna watu wanasema Pogba kisa hajazungukwa na World Class Players basi ni haki yake yeye kupoteza poteza mipira na kufanya madoido madoido mengi yasiyokuwa na msingi..we all know Pogba uwezo anao ila kuna muda huyu jamaa anaicost timu na pia sababu ya yeye kuzungukwa na average player haiwezi kustand out..

√McTominay anapiga kazi ila bado sio standard ambazo zinahitajika kwenye DM kama kweli timu hii ipo serious..same applies to Lingard..Hatuitaji mtu anayepiga tu kazi bali mwenye uwezo wa kusoma mchezo na kufanya vitu tofauti ili kuinfluence matokeo.

√The more you create the more the chance to score..timu haitengenezi nafasi za kueleweka magoli yanatoka wapi??..ukichanganya na straika wetu Martial ambaye ni kama anacheza soft soft sahau kabisa magoli.

√Kipindi cha mwishoni cha Mourinho pale United kabla ya kutimuliwa alikuwa ameshapoteza imani na Lukaku,Rashford alianza kutumika na Ole pia akaendeleza kilekile..Lukaku kuondoka kwangu sio big deal,,ishu ni yeye kuondoka kisha tunampa jukumu Martial la kutufikisha mawinguni...

√Daniel James naona ni bora awe anatokea kushoto atleast kuna kitu anakionyesha akitokea huko

√Five more games,and Shi.t Perfomance kama leo,then the season is over


√Falsafa ya Ole ni ipi haswa au ni mapema kuuliza hili swali??
 
Man Utd had never lost to Crystal Palace in the Premier League before.

THEY HAVE NOW
FB_IMG_1566675117544.jpeg
 
Usicheke kazungumza ukweli mtupu
Peter Drury:- "You look at Marcus Rashford, he has the speed and the shooting style of Cristiano Ronaldo but the brains of Christian Benteke "

Nimecheka kweli na huyu jamaa. Rashford anaspidi ila ubongo wa Benteke..
 
Kila kocha anakuja na falsafa yake tusitarajie maajabu yoyote. Hapa.....where is director of football ambae atasajili aina ya wachezaji wanaoendana na falsafa ya united maana hii itawafanya makocha watakaokuja hapo kutojifanyia tu usajili ovyo ovyo....
Lampard anatuacha ivi ivi tunaona
√Huu ni utani..tunafungwa na Palace nyumbani..WTF

√Kuna watu wanasema Pogba kisa hajazungukwa na World Class Players basi ni haki yake yeye kupoteza poteza mipira na kufanya madoido madoido mengi yasiyokuwa na msingi..we all know Pogba uwezo anao ila kuna muda huyu jamaa anaicost timu na pia sababu ya yeye kuzungukwa na average player haiwezi kustand out..

√McTominay anapiga kazi ila bado sio standard ambazo zinahitajika kwenye DM kama kweli timu hii ipo serious..same applies to Lingard..Hatuitaji mtu anayepiga tu kazi bali mwenye uwezo wa kusoma mchezo na kufanya vitu tofauti ili kuinfluence matokeo.

√The more you create the more the chance to score..timu haitengenezi nafasi za kueleweka magoli yanatoka wapi??..ukichanganya na straika wetu Martial ambaye ni kama anacheza soft soft sahau kabisa magoli.

√Kipindi cha mwishoni cha Mourinho pale United kabla ya kutimuliwa alikuwa ameshapoteza imani na Lukaku,Rashford alianza kutumika na Ole pia akaendeleza kilekile..Lukaku kuondoka kwangu sio big deal,,ishu ni yeye kuondoka kisha tunampa jukumu Martial la kutufikisha mawinguni...

√Daniel James naona ni bora awe anatokea kushoto atleast kuna kitu anakionyesha akitokea huko

√Five more games,and Shi.t Perfomance kama leo,then the season is over


√Falsafa ya Ole ni ipi haswa au ni mapema kuuliza hili swali??
 
Back
Top Bottom