Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mou alikuwa sawa kabisa, hii ni timu ya biashara kwasasa.
Huwezi kuridhika na CAM ya Jesse kama sio timu biashara.

Penalty hakuna anayeweza kupiga, vivyo hivyo pia free kicks ndo hamna kabisa. Sasa hapa si mtihani huu?
Mkuu kwenye penati Si tuna fundi wetu Paulo!! au keshanyang'anywa kitengo.. maana jamaa mipenati yake ni balaa
 
Na kunawatu wanasema pogba mbovu anaharibu timu, na eti hatufai.
Man u ndiyo haimfai pogba kwa sababu anacheza na wachezaji ambao ni wa viwango vya chini saana, ambao ukiwaangalia unakuta katika mechi 5 amecheza vuzuri mechi 1 au 2, ila watu humu kutwa kuwasifiaaa.

Natamani sana aondike pogba, aende madrid, then tutafute mwingine wa kumbebesha matatizo yote ya timu.

Mlimsema sana bolingo, ila saiv mmegundua matatizo mengine.

MAN U, TUNAYAJUA MATATIZO YETU, UKIFIKA USAJILI HATUYATAUI AU TUNATATUA BAADHI, LIGI IKIANZA TUNATAFUTA WA KUM BEBESHA MZIGO, LUKAKU, POGBA, SANCHEZ, JONES AU SMALLING, AND THE CYCLE GOES ON
 
Yani ukiwa fan wa Man united ni raha sana ..maisha yanakuwa matamu kweli kweli ..

Fans wote wa Man united tutembee vifua lembe(mbele) maana tuna bora Ulaya nzima..
 
Leo bissaka kakutana na waliotuuzia wanamjua kumbe wamemtuliza tuliiii
 
Na kunawatu wanasema pogba mbovu anaharibu timu, na eti hatufai.
Man u ndiyo haimfai pogba kwa sababu anacheza na wachezaji ambao ni wa viwango vya chini saana, ambao ukiwaangalia unakuta katika mechi 5 amecheza vuzuri mechi 1 au 2, ila watu humu kutwa kuwasifiaaa.

Natamani sana aondike pogba, aende madrid, then tutafute mwingine wa kumbebesha matatizo yote ya timu.

Mlimsema sana bolingo, ila saiv mmegundua matatizo mengine.

MAN U, TUNAYAJUA MATATIZO YETU, UKIFIKA USAJILI HATUYATAUI AU TUNATATUA BAADHI, LIGI IKIANZA TUNATAFUTA WA KUM BEBESHA MZIGO, LUKAKU, POGBA, SANCHEZ, JONES AU SMALLING, AND THE CYCLE GOES ON

Wengi humu hawajui mpira

Pogba na scott wapi na wapo

Pogba na lingard wap na wap

Angalia pogba wa juve na france angalia idara ya kiungo chao kama hao wakina scott na lingard wanapata hata nafasi ya kufanya nae mazoez
 
Wengi humu hawajui mpira

Pogba na scott wapi na wapo

Pogba na lingard wap na wap

Angalia pogba wa juve na france angalia idara ya kiungo chao kama hao wakina scott na lingard wanapata hata nafasi ya kufanya nae mazoez
Kweli pogba wa timu ya taifa na juve ni tofauti kabisa na man u.
Na kumbuka nishawahi sema hapa kwamba hata bolingo, ukienda belgium yeye ndiyo top scorer na anatupia kila mechi, sasa kwanini asifanye hivyo utd. Kumbe sisi ndiyo tunamkosea pamoja na makocha wa viungo kutomshauri kuhusu unene wa mwili wake.

Saiv bolingo kaondoka, bado magoli hayapatikani kwenye mechi ngumu, watu wameanza kumlaumu lingard, wamesahau kwamba lingard alikuwapo pia wakati wa lukaku.
 
Back
Top Bottom