The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Saiv naona ni mwendo wa Racism tu pale united...Attacks zimehamia kwa rashford leo!
Saiv naona ni mwendo wa Racism tu pale united...Attacks zimehamia kwa rashford leo!
Hahahhahaa kiporo kimechacha mkuu...Mwanangu acha usenge![]()
![]()
![]()



We jamaa unapenda sana lugha za matusiSafi sana mmekunwa vijambio ipasavyo na zaha na genge lake
Jamaa sijui ana shida gani huyuMashabiki wa Manchester city, Liverpool,chelsea hamuwezi kukoment humu bila matusi?
Kama matusi ndo raha yenu basi jaribu kufikiri unatukana mtu sawa na babako?
MKUYENGE narudia jiheshimu.
Belo, wanavyosema wenye timu yao humu ndani ni kwamba huu mfumo wa 4-2-3-1 ndio uliokuwa unatupa mafanikio kwenye mechi zetu za kujipima nguvu ikiwemo dhidi ya milan brothers, spurs na wengineo hivyo basi kuna uwezekano mkubwa wa kuendelea kutumika kwa mfumo huu. badala ya ule tuliouzoea wa 4-3-3 kwa takribani misimu mitatu iliopita.OGS anarudia kufanya tactical mistake mechi ya tatu mfululizo na kibaya zaidi yeye bado hajaona kama ni tatizo
Mechi zote ametumia mfumo wa 4-2-3-1 ambao unamfanya Pogba(creative player) anacheza nyuma na timu ina-struggle kutengeneza nafasi licha ya kumiliki mpira kwa sababu anakuwa anacheza kama DM .Game vs Chelsea tulikuwa na advantage alinza Pereira ambaye yeye kiungo so muda mwingi alikuwa anarudi kusaidia kukaba kukamfanya Pogba akawa free na kutengeneza nafasi nyingi ,mechi zilizofuatia badala ya Perreira ameanza James ambaye sio kiungo ni winga so harudi kusaidia kukaba na kuwapa mzigo mzito viungo (Pogba,McTominay) na tumecheza na timu zinazocheza mpira wa nguvu kwa sasa James anafaa awe anaingia second half.
Pia wakati mwingine anapaswa kuswich 4-3-3 ambayo aliicheza msimu uliopita na kujaribu kuwapa nafasi Fred na Matic
Dah na mimi ninechoka Mkuu, yaani boko ametoa Pogba lawama wanapewa wenzake eti sio world class players. Na Pogba sio mara ya kwanza kupoteza mpira either ukai cost timu au ukakaribia kui cost timu.√Huu ni utani..tunafungwa na Palace nyumbani..WTF
√Kuna watu wanasema Pogba kisa hajazungukwa na World Class Players basi ni haki yake yeye kupoteza poteza mipira na kufanya madoido madoido mengi yasiyokuwa na msingi..we all know Pogba uwezo anao ila kuna muda huyu jamaa anaicost timu na pia sababu ya yeye kuzungukwa na average player haiwezi kustand out..
√McTominay anapiga kazi ila bado sio standard ambazo zinahitajika kwenye DM kama kweli timu hii ipo serious..same applies to Lingard..Hatuitaji mtu anayepiga tu kazi bali mwenye uwezo wa kusoma mchezo na kufanya vitu tofauti ili kuinfluence matokeo.
√The more you create the more the chance to score..timu haitengenezi nafasi za kueleweka magoli yanatoka wapi??..ukichanganya na straika wetu Martial ambaye ni kama anacheza soft soft sahau kabisa magoli.
√Kipindi cha mwishoni cha Mourinho pale United kabla ya kutimuliwa alikuwa ameshapoteza imani na Lukaku,Rashford alianza kutumika na Ole pia akaendeleza kilekile..Lukaku kuondoka kwangu sio big deal,,ishu ni yeye kuondoka kisha tunampa jukumu Martial la kutufikisha mawinguni...
√Daniel James naona ni bora awe anatokea kushoto atleast kuna kitu anakionyesha akitokea huko
√Five more games,and Shi.t Perfomance kama leo,then the season is over
√Falsafa ya Ole ni ipi haswa au ni mapema kuuliza hili swali??
Mzee wa kujipiga ban, nakusalimiaSasa kama CP unamshindwa Norwich ndo utamuweza kweli..alichia mbali Leicester..
Eti nasikia Magwaya ni Smalling mchangamfu![]()
Naona umeanza kumkubali Bissaka taratibuBissaka na Pogba wanapoteza muda tu ..ni bora watafute timu za kwenda..
Boko ametoa yeye, halafu wenzake ndio wanaouwa kiwangoWewe uoni anacheza timu moja na akina lingad, Pogba ni wa kucheza na akina lingard kweli?? Cjui Rashid, Tuanzebe...
Mkuu, tupo nyumbani, tunahitaji goli, then unaanzaje kumtoa Scot (mkabaji) halafu umuingize Matic (mkabaji mwingine)Alitakiwa aingie Matic huyo Mata sio mkabaji then Pogba acheze nyuma ya Martial
Nyie vibonde wetu, hata tukipanga under 18's,tunawagonga 4G kama kawaKwani mulivoifunga Chelsea zile nne mulipangaje kikosi?

Mkuu why, just relaxSitakuja kaa na kuangalia mechi ya man kamwe