Rashford sio team playerUsicheke kazungumza ukweli mtupu
Hahaha naona mumewaotea wavimba macho ..Luiz kawapa backup ya kutosha..Arsenal anapaki basi unafanya mchezo nn
Wakina Tuanzebe si wapo banaaa..watacheza ata false nine tu kwani vip..
Ole anataka kumuondoa na Sanchez tena ili aendelee kuleta subs zake za dogo Greenwood.
Naona Martial mwishoni ameumia,mbadala wake ni nani?
Mkuu punguza jazba hatutukani bali tunasema ukweli tu. Mtamaliza ligi nafasi ya 6 msimu huuMashabiki wa Manchester city, Liverpool,chelsea hamuwezi kukoment humu bila matusi?
Kama matusi ndo raha yenu basi jaribu kufikiri unatukana mtu sawa na babako?
MKUYENGE narudia jiheshimu.
Wewe uoni anacheza timu moja na akina lingad, Pogba ni wa kucheza na akina lingard kweli?? Cjui Rashid, Tuanzebe...Tunaua kiwango chake, how?
Alitakiwa aingie Matic huyo Mata sio mkabaji then Pogba acheze nyuma ya Martial
Hapo ndipo nilichoka kabisa mkuu, au basi angeingiza hata Mata kama hamuamini Matic kabisa.
Hadi hapa naamini Ole pamoja na ubovu wa timu katika usajili,jamaa ni mbabaishaji tu.
Hahahahaha kwanza hongera sana ushindi mnono mkuu ...Huyu arsenal ni kama kasichana Fulani kazuri ambacho hupatagi shida kukagonga
Pogba pale kati kawekewa Scott McTominay dogo ambae kwa kweli sio wa kumtegemea kukaba kwa mafanikio makubwa na hata kucheza nane bado pasi zake sio zile za mantiki yaani kifupi bado sana ana safari ndefuMaguire hana tatizo. Tatizo liko katikati. Pogba ni kama anacheza yeye na kivuli
HahahahahahahaahahaTangu Pre Season kumetokea waganga njaa wengi , wakiwemo mashabiki Wa United wakipiga ramli kuwa timu Yetu ingekula vipigo bandika bandua ...
Tulionyana humu hizo ni ramli chochezi ... Sasa naona ramli zinazidi kuendelezwa na mashabiki wa timu pinzani wakiungwa mkono na Genge Dogo la mabaki ya nduli morinho lililobaki kwenye viunga vya old Trafford ..
Hili Genge nalikumbusha kuwa tumecheza mechi mbili na tuna pointi 4 ...
Sasa endeleeni kuchoma ubani na kuvunja Nazi timu ifanye vibaya ..
Nawakumbusha Next point ni Crystal Palace pelekeni habari moto atakaoupata itakuwa ujumbe kwa wazandiki wote kuwa "Tumewashaaaa"
Nawatakia Weekend Njema..
Tunakumbushana tu
Msimu uliopita United dhidi ya Chelsea nyumbani, Wolves away na Cristal Palace nyumbani tulivuna jumla ya pointi 2 (tuli draw na Chelsea, tulipigwa na Wolves na tuka draw na Cristal Palace
So far katika fixtures zetu na hizo timu, tuna points 4 na kiporo cha Cristal Palace
Kuna watu hawataipenda hii taarifa
Utakuwa ulikuwa unacheka wakati unaandika
Kwani arsenal Hamuna mutu kama uyo mkuuYah pale baryen ilifika kipind kina Karl Henze ,Uri hoanes , wakashindwa kumuelewa, wakaona hana jipya,maana kuna wachezaji walishindwa kupafom chin ya pep, na waliletwa kwa gharama kubwa.
Pep mwenyewe anakili hakuna MTU anayemuhusudu kama Txiki Begiristain kaongea juzi juzi hapa ,huyu ndio Yupo nyuma ya mfumo wa Tiki taka.....