Wan bissaka tunamchosha tu mtoto wa watu
Kuna Bissaka,James na Scott hawa ndio wanacheza kwa nguvu zote. Pogba amepoteza mpira kizembe sana halafu utasikia eti waliacha kumsajili Bruno kwakuwa anapoteza sana mipira. Hii timu kwasasa sio ya kujishughulisha nayo,itakuja kunifanya niviache vitoto vyangu bila baba😂😂 Sijui kama nitafuatilia tena michezo yetu kwa msimu huu,sijui. |
Europa Alhamisi, Jumapili unacheza EPL.
Ikifika katikati ya msimu kuna michuano minne yote tight hapo ndo tutajua maana ya kuwa na experienced players.
Hapa ni mwanzo wa ligi, mechi ya tatu tunacheza hivi.
Mchawi na atafutwe tu hahaahahahahNi wakati sasa wa Pogba kumweka bench
































Hahahahahaha kwakweli naona mumeshindaaaa hahahahahahahaTukakutandika viboko 4 bila majibu
Tangu Pre Season kumetokea waganga njaa wengi , wakiwemo mashabiki Wa United wakipiga ramli kuwa timu Yetu ingekula vipigo bandika bandua ...
Tulionyana humu hizo ni ramli chochezi ... Sasa naona ramli zinazidi kuendelezwa na mashabiki wa timu pinzani wakiungwa mkono na Genge Dogo la mabaki ya nduli morinho lililobaki kwenye viunga vya old Trafford ..
Hili Genge nalikumbusha kuwa tumecheza mechi mbili na tuna pointi 4 ...
Sasa endeleeni kuchoma ubani na kuvunja Nazi timu ifanye vibaya ..
Nawakumbusha Next point ni Crystal Palace pelekeni habari moto atakaoupata itakuwa ujumbe kwa wazandiki wote kuwa "Tumewashaaaa"
Nawatakia Weekend Njema..

Kweli, na Crystal Palace iliyopo UEFA.Wewe mkuu umeanza na Norwich na Southampton una points 6
Mimi nimeanza na Chelsea iliyokupa tabu Super Cup na Wolves nyumbani kwao
Huwezi ona tofauti hapo?
Nilishangaa sana kumuuza lukaku sina cha kwa mwambia solskjaer tunakaa kimya tu
Na tuliwaambi shida ya hii timu sio mourinho ni mfumo watu walionaga kama fala hivi mourinho hawez kumwacha herrera asepe kisha umpange pogba na scott
Martial kaumia shaw kaumia rashford na martial kama tunavyowajua mech 5 goli 1