Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona Lingard anaanza tena.

Kweli kuna bahati na nyota katika mpira.

Ila kocha ndio fundi.

Hiyo ndiyo Principle ya Soccer! Lazima Katika timu kutakuwa na Mchezaji Mmoja anachezedhwa ambaye anawakera Mashabiki kuliko Shetani.

Hilo katika timu zote
 
Walete....
manchesterunited___B1jDQ8oITDF___.jpeg
 
Tangu Pre Season kumetokea waganga njaa wengi , wakiwemo mashabiki Wa United wakipiga ramli kuwa timu Yetu ingekula vipigo bandika bandua ...



Tulionyana humu hizo ni ramli chochezi ... Sasa naona ramli zinazidi kuendelezwa na mashabiki wa timu pinzani wakiungwa mkono na Genge Dogo la mabaki ya nduli morinho lililobaki kwenye viunga vya old Trafford ..


Hili Genge nalikumbusha kuwa tumecheza mechi mbili na tuna pointi 4 ...

Sasa endeleeni kuchoma ubani na kuvunja Nazi timu ifanye vibaya ..



Nawakumbusha Next point ni Crystal Palace pelekeni habari moto atakaoupata itakuwa ujumbe kwa wazandiki wote kuwa "Tumewashaaaa"




Nawatakia Weekend Njema..
Nakuomba kwa heshima na taadhima rekebisha hiyo kauli yako chafu dhidi Yangu ???...
 
Lingard anakipi cha kumzidi Perreira!!!
Perreira ndio Poul Scholse wa kizazi kipya.

Perreira ana ball control nzuri ana dribbling nzuri umiliki wake wa mpira ni mzuri amazidi kila kitu Lingard .
 
Man City huyu alikuwa na uwezo wa kuchukua ubingwa kibabe kwa gap la Points 19 kama 2017/2018 bila ya Pep?

Na Pep anakuja kuvunja rekodi ya Ferguson ya treble ya EPL maana sioni wa kumzuia asichukue EPL ya 2019/2020

Siipendi Man City ila Pep ni kocha mwenye mafanikio na anaejua Ukocha pengine kuliko Kocha yeyote duniani

UEFA na Bayern alikuwa anaishia nusu fainali na ndio Club pekee aliyotoka baada ya kuachana na Barca

Mnapotaka kusema Ferguson ni bora kuliko Pep kwa kigezo cha Aberdeen mnasahau kwamba Ferguson amepoteza fainali mbili za UEFA zote na tena kwa mtu huyo huyo ambae ni Pep

Kama anabebwa na ubora wa Wachezaji mbona Valverde ameshindwa akiwa na Messi yule yule? Kuhusu kutumia pesa Man Utd muda wote ilikuwa na uwezo mkubwa kipesa kuliko Club zote ambazo Pep amefundisha na anafundisha sasa lipi ni lipi hapo?
Kama ni kocha bora zaidi duniani, na kwa kuwa ubora hupimwa kwa mafanikio, basi anapaswa awe ameshikilia makombe yote kwa hatua ya vilabu
 
Perreira ataingia kipindi cha pili.pia usikariri kuwa kila mchezaji mzuri ataanza wengine watabackup kipindi cha pili.
Lingard anakipi cha kumzidi Perreira!!!
Perreira ndio Poul Scholse wa kizazi kipya.

Perreira ana ball control nzuri ana dribbling nzuri umiliki wake wa mpira ni mzuri amazidi kila kitu Lingard .
 
Uzawa utamuondoa sosha hii timu
Namuangalia james mechi ya nne hii hana impact yoyote zaidi ya lile goli la kubahatisha dhidi ya chelsea
Lingard anakipi cha kumzidi Perreira!!!
Perreira ndio Poul Scholse wa kizazi kipya.

Perreira ana ball control nzuri ana dribbling nzuri umiliki wake wa mpira ni mzuri amazidi kila kitu Lingard .
 
Back
Top Bottom