Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Perreira yupo vizuri sema hana nyota ya kutamkwa km ilivyokuwa kwa Rivaldo na Iniesta. Jamaa walikuwa wanashainisha timu zao ila misifa wanapata wenzao
Duh! Umempeleka level ya juu sana (Rivaldo&Iniesta ) n sayari nyingine ndugu
 
Bruno ni chaguo la kocha, tatizo n ed Woodward anataka mchezaji mwenye impact ndani na nje ya uwanji, so Bruno ni mzr ndan ya uwanja ila nje y uwanja hana impact
Mimi ninachojiuliza ni kwamba Bruno sio priority ya kocha au hela hamna??..

Au tumeridhika na lingard as No 10..


Arsenal wanavunja benki kumchukua pepe kwa £72m sisi £60m kwa fernandez tunaona hapana..

Hii timu hii..anyway tumuache kocha na uongozi ufanye wanavyotaka then next season tena turudie stori zilezile..
 
Jamani mwenye group au link y group la manutd aniunganishe au anitumie kwenye no 0718977712
 
Kama hizi tetesi ni kweli basi man u watakuwa wamefanya usajili mzuri sana
IMG_2604.JPG
 
Hata Denis Suarez mlimpata Kwa mkopo ukashangilia sana BTW Ceballos ni mchezaji mzuri
Kwako haikuwa habari ,ila kwetu ilikuwa habari

In a market where Maguire costs up to 80m If we can outsmart the market to get someone on loan that would be incredible.
 
Bruno ni chaguo la kocha, tatizo n ed Woodward anataka mchezaji mwenye impact ndani na nje ya uwanji, so Bruno ni mzr ndan ya uwanja ila nje y uwanja hana impact
Kwa hiyo unamaanisha Daniel James na Wan Bissaka wana impact nje na ndani ya uwanja? Au kwa vile bei zao ni chee ukilinganisha na ile ya Bruno?
 
Back
Top Bottom