Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hao akina rojo na jones. Wanafungwa hapo na mikataba. Ndio tatizo linaanzia hapo.
Wanashindwa wawaondoe vip. Na hata wakiwaondoa.. replacement zipo?

Hapo sasa ni suala la usajili. Ed ametengeneza mtego ukambana mwenyewe.. sasahiv anashindwa kujinasua.
Jones aliongezewa mkataba wa miaka mitano juzi kati tu hapa..sasa walionegotiate huo mkataba sijui ni wapuuzi gani??

Just imagine Delph kaachwa na man city!!
 
Nani huyu
h90gp8a98vc31.jpg
 
Sasa mkuu chelsea ambayo straiker wake ni Tommy Abraham nayo itatusumbua kweli??

Uko busy sana kupambana na timu za watu kuliko unavyoizungumzia timu yako kwenye uzi wenu ule
Sina wasi wasi kabisa na kikosi changu, japo sitegemei makubwa lakini na imani tunaeza leta ushindani mkubwa tu, kwani msimu huu uloisha tulikuwa na forward gani ya maana sana?
 
Mimi nabet kabisa huu msimu watapata tabu sana, nimeshaandaa kabisa kifurushi cha mwaka kwa ajiri kukesha jukwaa lao ,maana ana kelele sana anasahau hazard aliyekuwa anawaokoa hayupo, straiker jirud na abrahamu, winger zao ni deadwood ,

Kiuhalisia kwa top 6 atakayeshindwa kubeba point 6 kwa Chelsea itabidi ajitafakari amekosea wapi
Haha sasa mimi na wewe nani wa kuonewa uruma mkuu? Mimi najulikana kabisa sijafanya usajili wowote, wewe mwenye chance ya kisajili umefanya nini mpka sasa? Haha uoni kama una khali mbaya kuliko sisi? Chelsea haitegemei forwards kufunga magoli mkuu, sisi sio kama arsenal mnamtegemea Laccazete au Auba tu..
 
Lukaku ni zaidi ya martial mkuu.
Akiwa everton yes. but huyu wa man u ni kama kajisahau au mfumo umemkataa.
Nikqambie lukaku akiwa everton alikuwa ni lethal striker.. he was so good kuliko martial.
But alipokuja man u akasahau kucheza mpira.. kanenepeana..
Martial ana skills. Anacholuck ni attitude. Ila akiwa na atittude nzuri. Martial ni lethal kuliko lukaku
 
Haha sasa mimi na wewe nani wa kuonewa uruma mkuu? Mimi najulikana kabisa sijafanya usajili wowote, wewe mwenye chance ya kisajili umefanya nini mpka sasa? Haha uoni kama una khali mbaya kuliko sisi? Chelsea haitegemei forwards kufunga magoli mkuu, sisi sio kama arsenal mnamtegemea Laccazete au Auba tu..
EPL inaanza wiki mbili ijazo , tutaelewana vzr
 
Mimi nabet kabisa huu msimu watapata tabu sana, nimeshaandaa kabisa kifurushi cha mwaka kwa ajiri kukesha jukwaa lao ,maana ana kelele sana anasahau hazard aliyekuwa anawaokoa hayupo, straiker jirud na abrahamu, winger zao ni deadwood ,

Kiuhalisia kwa top 6 atakayeshindwa kubeba point 6 kwa Chelsea itabidi ajitafakari amekosea wapi
daah asee we jamaa unafurahisha mno. Maumivu ya EL yamepungua sasa unaanza fujo?

Nausubir msimu ujao kwa hamuu.
 
Back
Top Bottom