Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Mbrazil yupi huyo ?Saivi nmeona nitulie tu ligi ianze nianze zang kumuona mbrazili mana kitambo sjawaona wabrazili first11toka walvoondoka akna fabio
Mbrazil yupi huyo ?Saivi nmeona nitulie tu ligi ianze nianze zang kumuona mbrazili mana kitambo sjawaona wabrazili first11toka walvoondoka akna fabio
Mbona mnajifariji kwa wachezaji ambao hawajasajiliwa ?Rashford anyang'anywe #No.10 apewe Bruno.
Mbona mnajifariji kwa wachezaji ambao hawajasajiliwa ?
walitukazia kwa Ivan perisic. Acha wanywe dawa yao.Inter mmewakazia dah
Sky Italy: Paulo Dybala’s agent is in London for talks with Manchester United about a swap deal with Juventus for Romelu Lukaku https://t.co/HMH5hRf122
At the moment Arsenal wamewazidi eneo la kiungo (my opinion). Torreira, Matteo Gouendouzzi na Ceballos no way Midfield yenu ukalinganisha na hii midfield ya Emirates Stadium at the momentArsenal wapo vzr ndugu tofauti na Utd, sema hawa arsenal hawajui wapateje point hata kama game wameikamata.. lkn timu yao iko poa kuliko yetu.
Kwahiyo habari za SMS zimekufa kifo cha mende ?









Martial na James vipi mkuu??Namwangalia Rashford hapa bado sana na Rafiki yake Lingard![]()
Martial na James vipi mkuu??
Sioni united hii ikisajili straiker hata kama lukaku atasepa..Ninaangalia mechi..sshv ni Half time bado 0-0.
Haya ni maoni yangu ya niliyoyaona dk 45 hizi;
1.Wan Bissaka ni usajiri mzuri sana wa this summer so far..dogo anajua kudefend na kuattack..
2.Kocha atamuharibu James;Anamchezesha kama RW wkt dogo ni natural LW..dogo amepotea kbs..ile threat yake haionekani!!
3.We need to keep POGBA at any price!! Au kama tukimuuza tulete mtu kama yeye(I RECOMMEND SMS aje) kwa sababu timu imekosa mchezeshaji pale katikati..yaani hakuna link kabisa..midfield aliyopo(nemanja) hawezi kusukuma mashambulizi vizuri na kuwafungua walio mbele(mfano kupiga long balls kama za pogba)
4.Scott mctominay is the future of united;dogo anajituma na ana ile roho ya UNITED ya enzi za fergie..dogo is a hitman
5.Tuna Attack mbovu sana; hapa nazungumzia walio mbele wote Rashford,Martial na Lingard..Hawa madogo hawako serious kbs mbele ya goli(au uwezo wao ndo umeishia hapo) maana wamepata nafasi nyingi lkn wanazipoteza kizembezembe..kwakweli tutapata tabu km tukikutana na hata Everton msimu ujao.
Recommendations; Timu inahitaji ATTACKER(kama lukaku akiondoka),Midfield wa maana na CENTRAL BACK.
Timu yeti bado ni mbovu wakuu..asiwadanganye mtu.
Nitamalizia uchambuzi wangu at full time
Basi tunashida kubwa iliyo mbele yetu mkuu..yani ukilinganisha hii trio yetu na trio ya livepool(salah,mane,filmino) unaona kbs UTD hatuko serious.Sioni united hii ikisajili straiker hata kama lukaku atasepa..
We are already fvcked if tutaenda na front line hii huku lukaku akiwa ameuzwaBasi tunashida kubwa iliyo mbele yetu mkuu..yani ukilinganisha hii trio yetu na trio ya livepool(salah,mane,filmino) unaona kbs UTD hatuko serious.
Kilicho nistaabisha hapo ni aina ya magari yaliyopo. Inaonekana wenzetu hawapendi magari yenye mabodi makubwa yaliyo inuka juuhawa watu wawili waliovaa suti pichani natamani yule malaika mtoa roho azichukue nafsi zao muda wowote kuanzia sasa
Matt Judge is the club's de facto chief negotiator and Ed Woodward's trusted right-hand man.
siku 10 real madrid wana uwezo wa kuwasajili wachezaji watatu kutoka timu kubwa sijui kama kiupande wetu sisi inawezekana
View attachment 1165288
Kweli kabisa, arsenal wanachukua wachezaji ambao wanacheza mechi tano tu za ligi ..Usajili wa ceballos wa arsenal
Hahahahahahahaaa alikuwa na stress uyo..uyu cabellos nampa gemu tano tu..