OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
HahahahahHa uyu anajulikana ni mpiga domo maarufu ..yule mwingin ndiye anayefuatia ...sasa ngoja tumalizane na uyu kwanza ..halfu tutaenda kwa yule mwenzake..Inaonekana huyu aliekufa alikuwa anafahamika sana kwa kupiga domo ndio maana mmejaa humu ila ule msiba mwingine kule EMIRATES mmeususa


