kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Hahaha wakamatwe maana gongo ni haramuMANCHESTER UNITED NI KIKUNDI CHA WAPIKA GONGO WA YOMBO VITUKA.
Hahaha wakamatwe maana gongo ni haramuMANCHESTER UNITED NI KIKUNDI CHA WAPIKA GONGO WA YOMBO VITUKA.
Hivi tunavyojifanya tumeumia kwa kufungwa leo naomba nguvu zetu za kinyonge tusije tukazimalizia kwa man city!!
Manchester city must win ifikapo jumatano
Hahahaha Ole hana tofauti na demu ambaye kabla ujamuoa na baada ya kumuoa ..ndo unajua uhalisia wake ..Kupitia Ole sendeka nimejifunza tofauti ya mahusiano na ndoa. Ngoja niwe mpole nisje kujutia mbeleni.
Itabid tulie uku kidogo na kule kidogo..hahahahaHahaa.. Mkuu tugawane wafiwa wasine jisikia upweke. Ukitoka huku mi nakuja
Mmemsbupalia kocha ndio mwenye shida.. wkt shida iko kwa wachezaji na uongozi wenyewe.Hahahaha Ole hana tofauti na demu ambaye kabla ujamuoa na baada ya kumuoa ..ndo unajua uhalisia wake ..
Saiv Bodi ya manure ikivunja mkataba mjamaa inaingiza cash ake ndefu anapita zake ivi..
Makosa ya ole ni kidogo.. angalia kikosi cha man u. Wavhezaji wanacheza kama vile wanalazimishwa.. defence mbov kuliko zoteWakati timu inashinda sifa tulimpa yeye now inafungwa lawama sio zake
Kuna mashabiki walianza kupiga hesabu za kombe la epl msimu huu.Oooh wachezaji ni wale wale sasa hivi mbona tunashinda Mourinho alikuwa sio kocha Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Muda wa ku mprove wrong Mourinho umeisha MAISHA YANAENDELEA SASA.
Nakazia...Oooh wachezaji ni wale wale sasa hivi mbona tunashinda Mourinho alikuwa sio kocha Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Muda wa ku mprove wrong Mourinho umeisha MAISHA YANAENDELEA SASA.
Una hoja ya maana hapa.Kama sifa alipewa yeye kwa mechi tulizoshinda,iwe hivyo pia kwa michezo tunayoshindwa.Wakati timu inashinda sifa tulimpa yeye now inafungwa lawama sio zake
Wewe huku umekuja kuchukua nini?


Hauwezi kuipenda Man U hata kwa ajili yanguGGMU
Going Gone Man United

,?

we fall seven times and stand up eight.Nimekuuliza tu matokeo ya janaWewe huku umekuja kuchukua nini?
Niulize nipo hapa.
Arsenal 2- 3Crystal palace.Nimekuuliza tu matokeo ya jana
Hivi kumbe tunazungumzia arsenal vs palace hereArsenal 2- 3Crystal palace.
Arsenal alikuwa nyumbani.
Kumbe ulikuwa unaulizia nani Relief Mirzska? Nikajua umesahau yakwenu ndiyo nikakukumbusha.Hivi kumbe tunazungumzia arsenal vs palace here
Janja ya nyani sio? Top four kwaheriKumbe ulikuwa unaulizia nani Relief Mirzska? Nikajua umesahau yakwenu ndiyo nikakukumbusha.