Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liverpool yenye kiwango bora kabisa imefikia hatua ya kutegemea timu zingine zishinde dhid ya Man City ili wao wabebe ubingwa. Huu ni udhaifu wa khali ya juu kuwahi kutokea kwenye EPL ..inadhihirisha ni jinsi gani huwez kupambana mwenyewe kama Chelsea, au Man city hadi mbeleko likubebe..
Kwa khali hii kama Klopp atakuwa na mawazo kama ya ninyi fans wake, basi atakuwa kafeli pabaya sana na kila msimu ataishia kuwa mshindani bora wa ligi..

Kwani kuna Timu gani duniani iliyowahi kubeba ubingwa bila ya kutaka wengine Wafungwe?

Inawezekana 2010 ulikuwa Shule ya Msingi but waulize Wakubwa Zako ilikuwaje katika ya Man U na Chelsea kwenye kuwania ubingwa?
 
Huyu Tom nae alikuwa anakipiga fresh. Mimi sifahamu mpaka leo what is special about pogba? Hana mbio, anakaa na mpira sana na kupoteza, dribbling zenyewe ovyo. Japo anakuwa na pasi nzuri lakini haijawa justification ya price tag yake. Na yete ni overated
Pogba ni mchezaji wa kawaida sana mkuu.

Kuna watu watauliza mbona kwenye timu ya taifa anapata namba,huko kwenyewe kazi kubwa huwa inapigwa na Kante.
 
Pogba ni mchezaji wa kawaida sana mkuu.

Kuna watu watauliza mbona kwenye timu ya taifa anapata namba,huko kwenyewe kazi kubwa huwa inapigwa na Kante.
Gunia la sukari lile Pogba! Anacheza mpira kupata sifa.

Ili Ole afanikiwe pale basi yule atoke na wenzake.

Alisingizia kiwa Mou ndio tatizo lakini inajidhihirisha kiwa yeye ndio tatizo, izo mechi saba zilizopita hana impact ata moja.
 
Pogba ni mchezaji wa kawaida sana mkuu.

Kuna watu watauliza mbona kwenye timu ya taifa anapata namba,huko kwenyewe kazi kubwa huwa inapigwa na Kante.

Kwa hilo I beg to differ!
Pogba akipata the right players around him anang’ara
Nilimwona World Cup alivyokimbiza
 
Miaka 7 hatujabeba EPL na UCL ila kimapato tunawakimbiza waliobeba.

Kwasababu Bado Munaendelea na Mikataba Minono iliyokuepo awali.

Subiri Hao kina Nike wamalize Mikataba ufike muda wa Kurenew halafu hamuchezi CL ndiyo utaona mziki wake.

Man United alikuwa Bingwa wa Kuuza Jezi, lakini unadhani Jezi ya Kina Rice na Sancho itauzwa kama ya Pogba?
 
Ujinga ni nini?

Ujinga ni pale Man u wanapoamua kumuachia City 3 points kwa makusudi ilimradi tu Liverpool isichukue ubingwa, mwisho wa siku Man City anakuja kudraw na leicester, Liverpool anatwaa ubingwa huku Man U akirudi Europa😂😂.
 
Which City deal is biggest?

Man city haina ata fans wa kufill there own home seats mpaka wanunue watu kwa kuwalipia ticket. Juzi tu apo walicheza mechi uwanja ulikuwa mtupu mpaka dunia inashangaa. Manutd pamoja na uchwara wake mashabiki uwanjani nyomi na ndicho wanachotaka advertisers. They dont care if you are winning titles, they want exposure and man city cant offer that.

Uko sahihi lakini hiyo ina mwisho wake. Usiposhinda vikombe na ukawa nje ya UCL miaka nenda miaka rudi ultimately your fan base will be eroded and shrink. Waulize Liverpool au AC Milan
 
Kwani kuna Timu gani duniani iliyowahi kubeba ubingwa bila ya kutaka wengine Wafungwe?
Inawezekana 2010 ulikuwa Shule ya Msingi but waulize Wakubwa Zako ilikuwaje katika ya Man U na Chelsea kwenye kuwania ubingwa?
mara nyingi ukishashindwa kupinga hoja kwa hoja hii ndo inakuwaga turning point yako.

kila timu ishinde mechi zake
 
mara nyingi ukishashindwa kupinga hoja kwa hoja hii ndo inakuwaga turning point yako.

kila timu ishinde mechi zake

But the guy has a point
Kuna many occasions ManU walishinda/walipoteza ubingwa kwa kutegemea matokeo ya mechi za timu nyingine tena siku ya mwisho wa ligi
Mfano ni 2012 kama Aguero asingepata like bao basi United angetawazwa bingwa
 
Pogba ni mchezaji wa kawaida sana mkuu.
Kuna watu watauliza mbona kwenye timu ya taifa anapata namba,huko kwenyewe kazi kubwa huwa inapigwa na Kante.
Pogba ni wa kawaida sababu yupo timu ya kawaida
Pogba wa Juventus nyuma yake alikuwa alikuwa Pirlo na Vidal.

Pogba wa France chini ana Kante na Matuidi.

Pogba wa Man United chini ana Matic na Herrera tena Matic yule anaemkaba kwa macho Sigurdson anapiga shuti linazaa goli
then unatarajia mambo yatakuwa the same??

huyo Tom Cleverly unaesema wewe ni bora kwa sasa yupo Watford anakula mkeka tu ila kama angekuwa United angekuwa regular starter, simple and clear sababu United ni timu ya kawaida na mchezaji ni wa kawaida.
 
But the guy has a point
Kuna many occasions ManU walishinda/walipoteza ubingwa kwa kutegemea matokeo ya mechi za timu nyingine tena siku ya mwisho wa ligi
Mfano ni 2012 kama Aguero asingepata like bao basi United angetawazwa bingwa

Pia alisahau kuwa Mwaka 2010 Man United ilimkalia Kidedea Liverpool amfunge Chelsea ili Wao Wabebe Ubingwa Hatimae Liverpool Akampa ushindi Chelsea wa goli mbili Anfield huku Gerrard akishangiria ushindi huo.
 
But the guy has a point
Kuna many occasions ManU walishinda/walipoteza ubingwa kwa kutegemea matokeo ya mechi za timu nyingine tena siku ya mwisho wa ligi
Mfano ni 2012 kama Aguero asingepata like bao basi United angetawazwa bingwa
lakini United alishinda yake kwanza, pili, Liverpool mjilaumu wenyewe katika hili sio kutegemea fulani afungwe ili nyie mpate afueni, sababu mliongoza kwa points nyingi sana.
 
Back
Top Bottom