Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili swali wanaweza jibu vizuri hawa wawili coutinho na courtois
Kipi bora sasa, wabaki kwenye timu kama Man U wanapoendana napo kasi au wakapate mafanikio kwa furaha ya muda mfupi?
 
Hili swali wanaweza jibu vizuri hawa wawili coutinho na courtois
Coutinho siyupo huko Barca na siku sio nyingi kawapiga goli la kuunga mkono kauli ya CAG kua Bunge ni dhaifu. Kapanda thamani na tayari kaweka kwenye mpango ya muda mrefu ya Barca
 
Tunahitaji squad nzima sahivi.

Wachezaji wengi wapo chini ya kiwango. Sio standard ya United.

Either waende kwa mkopo au wauzwe kabisa.
Tatizo mnaanza taratibu kuingiwa na ubahili wa arsenal
 
Tunahitaji squad nzima sahivi.

Wachezaji wengi wapo chini ya kiwango. Sio standard ya United.

Either waende kwa mkopo au wauzwe kabisa.
Bring eriksen jamaa anajua sana.
Pogba hamna kitu.
Fumua timu nzima.
Ata mkitumia misimu mi3 kuijenga upya timu.
Ila kwa hii ni kuaibisha jiji
 
Hio furaha ya muda. Jamaa anajutia kuondoka Liver ila kwa Liver ni afuen maana Mane na salah ndio wamezidi kuwa moto
Coutinho siyupo huko Barca na siku sio nyingi kawapiga goli la kuunga mkono kauli ya CAG kua Bunge ni dhaifu. Kapanda thamani na tayari kaweka kwenye mpango ya muda mrefu ya Barca
 
Tumecheza kama tulivyocheza game ya Watford na West Ham,

Tofauti ni kwamba leo Everton hajapoteza nafasi za kufunga

Poor United, don't deserve to play UCL next season

Will regret to sign OGS instead of Poch
Hahaha Ole wa Man united iliyoshinda karibu game saba mfululizo ni tofauti na Ole uyu wa sasa?
 
IMG_5137.JPG
 
Mpaka sasa Liverpool wamekosa nafasi kibao

Tofauti yao na yetu, ni kwamba wao wanatengeneza nafasi nyingi sana (midfielders wanafanya wajibu wao au mfumo wa uchezaji ni mzuri) na kutumia angalau chache lakini sisi hatutengenezi nafasi hata moja

Unaweza kuamini kwamba mechi ya leo, tumepata shot in target moja
 
Hio furaha ya muda. Jamaa anajutia kuondoka Liver ila kwa Liver ni afuen maana Mane na salah ndio wamezidi kuwa moto
Hapana sio kweli jamaa ajute kuondoka Liver kisa nini au toka aondoke liver nani kawin kati yao?
 
Hee nilisahau kumbe ushajivika ubarcelona baasi miwani yotee huoni majuto ya coutinho
Hapana sio kweli jamaa ajute kuondoka Liver kisa nini au toka aondoke liver nani kawin kati yao?
 
Back
Top Bottom