Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Ndio maana cheap options zikaongezewa mikataba.Woodward na mabosi wa Man U ni wabahili,tusitegemee makubwa kwenye usajili
Ndio maana cheap options zikaongezewa mikataba.Woodward na mabosi wa Man U ni wabahili,tusitegemee makubwa kwenye usajili
Wakati wa waingereza wapambanaji wenye vipaji haupo tena.Na bado hapo wanamtaka Sancho,Rice na Wan Bisaka + Odoi wanampigia hesabu. Ole anamfatisha ferg wakati mwenzie alifanikiwa zaidi kipindi uwekezaji haupo kama ilivyo leo
Hauwezi kuipenda Man U hata kwa ajili yangu,?
Btw we are unitedwe fall seven times and stand up eight.
Ni kwasababu msimu huu mmepata uelekeo.Kumbuka Timu haijengwi kwa Mwaka Mmoja!
Klopp huu anelekea Mwaka wa 5 kila Msimu ananunua Wachezaji Kujenga Timu na Tunamstahamilia, Tunamkosoa tu lakini hatuja}wahi Kumuingiza kwenye Pressure ya KLOPP OUT.
Sasa sidhani kama Man U wataweza kumstahamilia OGS hata miaka 2 ijayo ya kujenga Timu.
Na akija Kocha mwengine hapewi muda wa kutosha wa kujenga Timu anatimuliwa jambo ambalo litaifanya Timu ichukuwe muda mrefu kukamilika.
Kipindi kile fergie anasajili wachezaji wa kawaida sababu tayari tuna backbone ya timu, kuna Giggs, scholes, Rooney, ferdinand, Garry neVille etc. Hata ukisajili mchezaji wa kawaida bado timu inakuwa nzuri sababu una majembe wazoefu.Wakati wa waingereza wapambanaji wenye vipaji haupo tena.
Waliobaki ni kujazwa ujinga na media zao.
Nilikuwa nakusubiri tujadili cha kufanya mechi hiyo ya Jumatano.
Maana top 4 inaweza kuyeyuka.


top 4 hatuitaki.Hahahahahahahahah mjitahidi sasa J5 mpate hata sare tu inatutosha.top 4 hatuitaki.
Acha City ashinde.
top 4 hatuitaki.
Acha City ashinde.
Hatutaki hata sare. Acha man city ashinde.Hahahahahahahahah mjitahidi sasa J5 mpate hata sare tu inatutosha.
Hatuwezi kushuka daraja tujajitahidi, come hell or high water.Sawa, na msimu ujao mnaweza kushuka daraja kwa mwendo huu.
...For Liver THE WAIT IS STILL ON, don't be carried away by your current results, the infamous Gerrard slip will catch up with you sooner than later...Welcome to the gang! I can imagine what it feels like. We at #LFC have said this for 28 years now.
#ManUtd fans had a good laugh at us. And now, for 6 yrs we seem to be in the same boat.
Our 28 was aslo 6 once, you'll find out soon.
#YNWA
Tofauti na wengine huyu uongozi umetamkia wazi wazi kuwa unampatia 250 za usajili. This time uongozi wenyewe umeona jinsi. hali ilivyo tete.
Yes kujenga timu kunachukua muda maana hata fergie alianzia mbali mpaka timu ikaja kusimama.
Nadhan linawezekana hilo
Wakati wa waingereza wapambanaji wenye vipaji haupo tena.
Waliobaki ni kujazwa ujinga na media zao.
Hamna shabiki kindakindaki wa Manchester united anayetaka Liver ishinde epl. Msimu huu kwa Manutd sio mzuri ila mashabiki wake wanaweza wakawa na furaha mwishoni kama liver haitachukua ubingwa. Ni matusi na dharau kubwa liver kubeba ubingwa tena kupitia mgongo wa Manu. Hizi timu mbili upinzani ni zaidi ya uwanjani.Hatutaki hata sare. Acha man city ashinde.
top 4 hatuitaki.
Acha City ashinde.
Hamna shabiki kindakindaki wa Manchester united anayetaka Liver ishinde epl. Msimu huu kwa Manutd sio mzuri ila mashabiki wake wanaweza wakawa na furaha mwishoni kama liver haitachukua ubingwa. Ni matusi na dharau kubwa liver kubeba ubingwa tena kupitia mgongo wa Manu. Hizi timu mbili upinzani ni zaidi ya uwanjani.
View attachment 1078033
FULL ARTICLE.


kwa moyo mweupe mimi sitamani Liverpool ashinde kabisa.Nilishatoa ahadi kwamba Liverpool akichukua ubingwa nitatembea uchi.Huu ni Uchawi wa waziwazi
Hamna shabiki kindakindaki wa Manchester united anayetaka Liver ishinde epl. Msimu huu kwa Manutd sio mzuri ila mashabiki wake wanaweza wakawa na furaha mwishoni kama liver haitachukua ubingwa. Ni matusi na dharau kubwa liver kubeba ubingwa tena kupitia mgongo wa Manu. Hizi timu mbili upinzani ni zaidi ya uwanjani.
View attachment 1078033
FULL ARTICLE.
...For Liver THE WAIT IS STILL ON, don't be carried away by your current results, the infamous Gerrard slip will catch up with you sooner than later...