Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,319
- 201,540
Mkuu nipo nimekuwa msomaji nawaachaia vijana maanake mpira wa kisasa nahisi siuelewi. Mechi hii wala sikujisumbua kuangalia kwasababu nilikuwa najua nini kitatokea. Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kutegemea matokeo tofauti na kilichotokea.
Mashabiki wanaotumia hisia zaidi kuliko uhalisia hawawezi kukuelewa wengine tulitoa tahadhari baada ya hatua ya robo fainali kutangazwa kwamba timu hii haiwezi kutegemea bahati muda wote lakini tuliitwa wapumbavu