Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapana degea yuko vizuri.. ila angalia defence iliyokaa mbele yake.. defence ya kina smalling .. jones.. young..? Unatarajia messi akuache kweli?

Degea akipata defence kama ya liverpool..mancity..hutomfunga kirahis. Man u hawana defence ya kueleweka.

Pogba nae hana hawez kucheza mwenyewe pale middle. Lazima tukubaliane kuwa fred sio kiungo mkabaji. Ni namba nane kama pogba. Halaf mkabaji unategema tominay na wenzie? Kweli?

Hawa wachezaj ni wazuri ila wamezungukwa na shit players.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi Man U, ila nlijua tunapigwa hata sikujisumbua kwenda vibanda umiza, kwa beki young hata big four tukiingia bahati sana,, kama tungepangwa na Ajax basi ingekuwa goli nyingi,,

Tukubali tu man hatuna beki,

Nimeamia AJAX Kujipoza machungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Martial ulimuona muda gani?

Manyumbu nzima alieonekana ni De Gea tu! Tena wakati anakojolewa hizo bao 3.

Pogba mpira ukamshinda akaanza kucheza kareti, mara anajitafutisha red ili atolewe Manyumbu yaanze kusema angekuepo Pogba tungeshinda
Pogba sio saizi ya utatu mtakatifu wa Barca pale kati hadi dogo Arthur ni Bora kuliko pogba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi Man U, ila nlijua tunapigwa hata sikujisumbua kwenda vibanda umiza, kwa beki young hata big four tukiingia bahati sana,, kama tungepangwa na Ajax basi ingekuwa goli nyingi,,

Tukubali tu man hatuna beki,

Nimeamia AJAX Kujipoza machungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na gundu ulilotoka nalo man u hata Ajax hapo ndyo mwisho wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana degea yuko vizuri.. ila angalia defence iliyokaa mbele yake.. defence ya kina smalling .. jones.. young..? Unatarajia messi akuache kweli?

Degea akipata defence kama ya liverpool..mancity..hutomfunga kirahis. Man u hawana defence ya kueleweka.

Pogba nae hana hawez kucheza mwenyewe pale middle. Lazima tukubaliane kuwa fred sio kiungo mkabaji. Ni namba nane kama pogba. Halaf mkabaji unategema tominay na wenzie? Kweli?

Hawa wachezaj ni wazuri ila wamezungukwa na shit players.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mictomnay si mlikuwa mnamfananisha na gatuso nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi Man U, ila nlijua tunapigwa hata sikujisumbua kwenda vibanda umiza, kwa beki young hata big four tukiingia bahati sana,, kama tungepangwa na Ajax basi ingekuwa goli nyingi,,

Tukubali tu man hatuna beki,

Nimeamia AJAX Kujipoza machungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Defence ni ya kununua mpya. Kama man city walivyofanya. Wakaondoa wote. Sahiz wana defence mpya kabisa angalia walipofika.
Na si defence tu... attacking hamna kabisa. Man u haina winga.. haina namba tisa.. namba 10..
Nusu ya timu ni ya kufukuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana degea yuko vizuri.. ila angalia defence iliyokaa mbele yake.. defence ya kina smalling .. jones.. young..? Unatarajia messi akuache kweli?

Degea akipata defence kama ya liverpool..mancity..hutomfunga kirahis. Man u hawana defence ya kueleweka.

Pogba nae hana hawez kucheza mwenyewe pale middle. Lazima tukubaliane kuwa fred sio kiungo mkabaji. Ni namba nane kama pogba. Halaf mkabaji unategema tominay na wenzie? Kweli?

Hawa wachezaj ni wazuri ila wamezungukwa na shit players.

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja kati ya watu wa ajabu kwenda Man U ni Paul Pogba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom