severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Wazee nadhani lukaku angeanza. Ila poa ngoja tuone
Yupo benchCome on come on...
Lukaku please send us to semi
God first
Mendy anapiga kross lakini vipi kuhusu umakini wa hizo krosi, ninachoongelea ni krosi za maana
Kuna mtu amekuja na hoja kuwa Mendy ametoa assist nyingi japo kacheza mechi chache, ni kweli lakini hiyo ni down to City's style of play and not Mendy's brilliance.
Kwa mfumo wa City hata Delph anaweza mzidi Shaw assists, je Delph ni mkali kuliko Shaw kule kushoto. Kwa mfumo wa United Pogba siku za nyuma alionekana si lolote, si chochote vipi kuhusu mfumo wa sasa na majukumu aliyopewa?
Kwamba akina sterling wanatupia tu magoli sababu ya Mendy!! Kati ya wapika mabao City huyo Mendy hayumo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee,n way ngoja tusubiri tuone mana wako na Ferguson huko huenda na yeye ametia neno
Ashley young sijui kwa nn anaanza daaahanyway GGMU
Sent from my iPhone using JamiiForums
SawaMan utd haishind mech ya leo!!!