Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Lukaku lazima asepe pale sio kwa kumfanyia hivyo.
A Night Not to Remember
Blame to Ole, blame to week squad, blame to the board
Kuna hitaji la kuongeza watu 4-5 wa maana pale United (hili tunalisema kila siku)
Mechi ya jana imeonesha tuna kazi ya kufanya ili kufika where we belong
Ole asipoangalia mbele ya safari atajikuta pabaya kwa poor team selection (English Fc, Rashford over Lukaku, Jones over Dalot...... Kituko hicho)
Kuna wachezaji tutawapoteza next season (Lukaku mmoja wapo). Hivi Rashford anawezaji kumweka Lukaku benchi?
Bila kujali mambo mengine Barca wapo vizuri kuliko sisi, lakini with the right team selection tungeweza kufanya vizuri zaidi
Young ni fighter lakini uwezo mdogo, pengine umri unachangia, hivyo kumlaumu ni kumuonea tu
A NIGHT TO GIVE GLAZER AND ED A LESSON, THAT ..... THEY HAVE TO SPEND.
Sent using Jamii Forums mobile app



