Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yes indeed. Mou huendakuwa alikuwa haelewani na wachezaji lakin he had a point.
Man u hakuna wachezaji wa kushindania ubingwa. Bunch of average players.
Nusu ya timu ni uozo.. kuanzia defence na attack . Hakuna mchezaji wa kueleweka.
Lazima wasajili kama wanataka kushindana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli najua alitofautiana na Paul Pogba na Anthony Martial, so ilimuweka wakati mgumu.

Man Utd ifumue kikosi chote kama Pep alivyofanya kwa Man City nakati aliikuta Ikiwa ilishatinga UEFA CL QUATER FINAL.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana Man U alipata zaidi ya nafasi 4 za wazi lkn walishindwa kuzitumia 7bu haina washambuliaji wenye maamuzi sahihi kwa golden chances kama Diego Costa au Kuna Aguero
Jidanganye ivyo ivyo Barca wakitaka kukufunga hata waweke kilema uwanjani wanakufunga sasa kama Liverpool ina draw na man u unafikir itaifunga Barca?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu yenye wachezaji wakicheza na Watford na Wolves wanazidiwa kimpira, wachezaji wanaocheza na Mark Noble na Pablo Zabareta wanazidiwa nguvu na speed unatagemea wataifunga Barcelona itakuwa ni ajabu ya 11 ya dunia.
Nimesema nitaacha kuishabikia Manchester msimu ujao kama itaendelea kutegemea Forward ya akina Martial, Rashford, na Lingard. Na Beki ya akina Young, Jones na Smailling
 
njoo unywe juice...

Kosa lenu ni kutufananisha na psg pumbavu...

Nadhani ulimuona king alivo kuwa anafanya skills za makusudi kuwaonyesha muwe na heshima..


This is BARCA
Yeah ndo shida ya manyua wakasema kama waliwapiga juve home na psg home basi na barca itakuwa hivyo
Ila kilichowatokea wanaugulia saiv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A Night Not to Remember

Blame to Ole, blame to week squad, blame to the board

Kuna hitaji la kuongeza watu 4-5 wa maana pale United (hili tunalisema kila siku)

Mechi ya jana imeonesha tuna kazi ya kufanya ili kufika where we belong

Ole asipoangalia mbele ya safari atajikuta pabaya kwa poor team selection (English Fc, Rashford over Lukaku, Jones over Dalot...... Kituko hicho)

Kuna wachezaji tutawapoteza next season (Lukaku mmoja wapo). Hivi Rashford anawezaji kumweka Lukaku benchi?

Bila kujali mambo mengine Barca wapo vizuri kuliko sisi, lakini with the right team selection tungeweza kufanya vizuri zaidi

Young ni fighter lakini uwezo mdogo, pengine umri unachangia, hivyo kumlaumu ni kumuonea tu

A NIGHT TO GIVE GLAZER AND ED A LESSON, THAT ..... THEY HAVE TO SPEND.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi mengi uweka upofu..

Walijidai sana first leg wakimbeza mesi hajaonekana wakati Messi alikuwa na role tofauti kabisa kikawapanda kichwani.. Wakategemea atakua na role ile ile tena hahaha...

Kawasumbua sana asee sanaaa... Manyua wanaweza shinda mechi kwa kuongea asee yanaongea kama polepole.
Yeah ndo shida ya manyua wakasema kama waliwapiga juve home na psg home basi na barca itakuwa hivyo
Ila kilichowatokea wanaugulia saiv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A Night Not to Remember

Blame to Ole, blame to week squad, blame to the board

Kuna hitaji la kuongeza watu 4-5 wa maana pale United (hili tunalisema kila siku)

Mechi ya jana imeonesha tuna kazi ya kufanya ili kufika where we belong

Ole asipoangalia mbele ya safari atajikuta pabaya kwa poor team selection (English Fc, Rashford over Lukaku, Jones over Dalot...... Kituko hicho)

Kuna wachezaji tutawapoteza next season (Lukaku mmoja wapo). Hivi Rashford anawezaji kumweka Lukaku benchi?

Bila kujali mambo mengine Barca wapo vizuri kuliko sisi, lakini with the right team selection tungeweza kufanya vizuri zaidi

Young ni fighter lakini uwezo mdogo, pengine umri unachangia, hivyo kumlaumu ni kumuonea tu

A NIGHT TO GIVE GLAZER AND ED A LESSON, THAT ..... THEY HAVE TO SPEND.






Sent using Jamii Forums mobile app
Week squad ni nini chief?
 
Back
Top Bottom