kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Jidanganye ivyo ivyo Barca wakitaka kukufunga hata waweke kilema uwanjani wanakufunga sasa kama Liverpool ina draw na man u unafikir itaifunga Barca?Hakuna kitu pale Barca kaokota embe dodo kwenye mchongoma, maana laiti kama Man Utd ingekuwa na washambuliaji wenye njaa kama Liverpool au Man City Barca ni nyeupe kama Simba tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app




