The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Wale jamaaa wana roho mbaya sana saiv na Pep anawinda makombe 3, FA....ucl....ligi, na wachezaji anawaaminisha sana kwamba wanaeza beba yote
Hahaha, nimecheka kwa sababu yaani kukutana na Man City wakati huu unajikuta unaomba Mungu akuepushie hicho kikombe.
Majamaa yana njaa ya ushindi. Nasubiri sana kuona battle ya City vs Juve UEFA