everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
nani alikuwa superb instead??Pogba anazingua na wachezaji wa mbele wakipoteza mipira ndio basi tena wanakabia Macho
Najua kuwa haikuwa offside, ndiyo maana nimesa refa akiwa mkorofi.ile si offside wala si huruma ya refa
No clean sheet. Mwaka huu tunaongoza kwa kuwa na clean sheet chache kuliko team zote za EPL.
Ile Man city anashinda kweupe labda mtafute timu nyingine muegemee.Hongereni kwa ushindi, niko na ninyi wakuu hasa game ya Man City.
Pale kati kuna kauvivu flani hiv. Haswa pogba na matic.
Matic age ni kubwa sasa.. kiwango kinashuka..anacheza kama vile amechoka sana. Pogba nae utoto mwingi sana.. why?
Kama goli la mwisho mabeki wesimama tu wanatazama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile Man city anashinda kweupe labda mtafute timu nyingine muegemee.
Half em muwe serius kesho, si unajua mpo kweny race ya ubingwa? Shindeni kesho muoneshe kweli mna machungu na ukame wa kutosha wa kuchukua kombe.
Apart from pogba ,Tulisema humu Pogba ana utoto na masifa mengi tukaanza kuletewa simulizi za ubora, ooh ukitaja viungo watano bora Pogba hakosi.
Madrid wakimkomalia mimi naona auzwe tu, ela inunue mchezaji mpambanaji.
Nimeona kuna muda amefanya utoto wake Jones akamkasirikia vibaya sana. Hapo ndio ninapompendea Jones.
Apart from pogba ,
Kuna mchezaji mwingine umeona amecheza vibaya.
Sent using simu mbovu
Wolves wasumbufu sana, ila Leo wamekula kipigo vizuri.